Matapeli wakubwa 5 kuwahi kutokea Tanzania

Mkuu Kiranga,

Hii stori ni ya kweli? Kama ni kweli huyu jamaa anakamata namba moja. Julius huyu aliyekuwa anaogopwa bado kidume kikamuingiza mjini.

Hapana, nimemkubali.

Nyerere alikuwa bonge la debonair kwa watu wake.

Kuna mshkaji alikuwa anaenda Ikulu, akawa anafukuza tausi, walinzi wa Ikulu wakawa wanataka kumghasi, Nyerere akamuita (jamaa mtoto kama miaka kumi hapo) akaanza kumuuliza kwa nini unawakimbiza tausi, dogo akasema anataka kuwafuga aone kama kweli manyoya yao yanang'aa kwenye giza na kama akiyawahi kuyaweka pamoja yanaweza kuzaliana.

Nyerere alikuwa anaongea naye kama na yeye mtoto, bado kidogo ampe tausi mpaka mlinzi mlinzi mmoja akaanza kumwambia.Habari za nyara za taifa na nini, ikabidi aseme "kweli" akaghairi.

Kwa hiyo Nyerere huyu huyu anayeonekana mkali baba wa taifa, alikuwa na angles zake ukimpatia alikuwa mtu poa sana.

Kuna wafanyakazi wa Ikulu kibao walikuwa wanamlia timing mzee nina matatizo haya na yale sijui kimepanda kimeshuka, ukiangalia mzee wa Kindengereko kafanya kazi Ikulu mpishi mpishi, kapita pita kwa Butiku kapewa audience ya dakika tano na Nyerere , mzee anaagiza Mzee Mbonde ajengewe kijumba cha kiushkaji.

Nyerere alikuwa na huruma Fulani za kibinadamu, lakini akibadilika kabadilika.

Kuna siku alibadilisha baraza la mawaziri, Edgar Maokola-Majogo alikuwa naibu waziri akaambiwa katupwa nje, akaenda akamlilia Nyerere mpaka Nyerere kamrudisha.

Nikaona duh, huyu ndiye anayeitwa haambiliki kumbe na yeye ana soft spots zake.

Batenga alijua kama Nyerere angetaka kumtupa jela angemtupa bila hata kesi. Kwa hiyo hakujisifia, waliokuja kutoa mkanda walinzi wa Nyerere.

Batenga alijua Nyerere si mtu wa kumind sana mali.

Akampiga kama hana akili nzuri, mpaka Nyerere mwenyewe akachekecha akashindwa kummaliza Muhaya yule.

Sasa rais mzima am drag Batenga mahakamani waende kugombwa matofali?

Akaagiza mengine tu, usikute alifyatuliwa na JKT, National Housing or something
 
Aah nimemkumbuka mzee wa vijipesa vya UGORO vya IPTL J.RUGEMALIRA......na tapeli wa Rada a.k.a mzee wa vijisenti.....pia mzee liyumbas na bot twin towers......kamanda zombi na kesi ya mauaji wale marehemu wauza madini wa kilosa
 
Babu wa Loliondo nampa kombe.

Babu mimi namtetea. Hakuwa tapeli mkubwa wala mdogo.

Kwa nini Babu hakuwa tapeli?

Kwa sababu hakuwa anadanganya chochote. Aliweka wazi kabisa kuwa dawa yake hiyo iliyokuwa inatolewa kwenye kikombe kimoja ilikuwa ni ya kiimani zaidi.

Yaani kama huna imani, hata ukipewa hicho kikombe na ukakimaliza itakuwa ni kazi bure tu.

Hiyo dawa yake ilikuwa ni kipozauongo au placebo (kwa Kiingereza), kwa maoni yangu. Na ile nafuu uliyokuwa ukiisikia kutoka kwa wagonjwa ilikuwa ni placebo-effect.

Na haya mambo ya placebo wala si mageni. Hata kwenye mahospitali ya kisasa hutumika.

Jambo jingine ni utongozaji. Sikuona popote pale ambapo Babu alikuwa akitongoza (solicit) watu waende huko Samunge wakapate tiba yake.

Nilichokiona mimi ni contagion iliyoenezwa na neno la mdomo kabla ya vyombo vya habari navyo kuanza kuripoti na kueneza habari kuhusu uwepo wake.

Wewe uliwahi kuona tangazo lolote lile la kibiashara popote pale ambalo linaweza kuwa-traced kwa Babu? Mimi sikuwahi!

Kwa hiyo naona kama vile kumuweka Babu kwenye kundi la matapeli si sawa. Si sawa kwa sababu sioni alichodanganya.

Alisema wazi kuwa dawa yake ni ya kiimani zaidi.

Kwa maana ya kwamba kama ukiamua kwenda kupata dozi ya kikombe halafu usiwe na imani thabiti basi ni sawa na kazi-bure.

Na hakuwa akiwafuata watu na kuanza kuwatongoza ili wanunue huduma yake. Watu walikuwa wanaenda kwa hiari yao wenyewe. Naweza kusema labda shida na matatizo yao nayo yalichangia kwa kiasi kikubwa lakini kamwe siwezi kumuita Babu tapeli. Atakuwaje tapeli wakati watu walikuwa wakijipeleka wenyewe kwenda kupata kikombe?


But kidding aside, Babu made a killing while the craze lasted. I'm sure he made a whole lot of zeroes.

Lakini si yeye tu aliyenufaika. Mi nakumbuka pale Maji Machafu (wale wazawa wa Dar bado tunapaita hivyo) au Sayansi nilikuwa naona Coaster zimepaki tayari kwenda Samunge na nauli ilikuwa ni laki moja unusu.

Na nilikuwa naambiwa vilikuwa vinajaa abiria!

So you can imagine......
 
Ha ha ha
Babu yangu alishawahi kunisimulia habari za bwana batenga nikajua babu anataka tu aendelee kupata raundi nyingine ya bia (maana ni mnywaji na ana stori nyingi sana akishalewa) ila niliendelea kumsikiliza maana stori za huyo batenga ni za kusisimua mno,bahati nzuri leo nmekutana nazo humu nimecheka sana itabidi weekend nikamtembelee babu pale mbezi anipe stori zaidi!
asante sana kiranga'
 
Imekuwaje na ujanja wangu wote nisimjue huyu legend? kweli niliuchezea utoto wangu.

Ahahahahahahahahahahaha hapa tuache watoto wa born here here as were.
Unachabo wazee wakigawana maumivu ya huyu kakake Bishanga
Semeji !huyu alikuwa baraaaaa
 
Last edited by a moderator:
Sarah Simbaulanga?

Na yule mwenzie jina limenitoka kidogo.......
Simbaulangas mbili nafkr zinaweza kuingia kwenye hii list
Mi naijua Me.mzee flani handiiiii hiv!
Alikuwa anakaa magomeni!
Enhenhenhenhe hiyo nae numeral nyingineeee!
Kashajipumzikia sa hiz!
 

Attachments

  • 1398391857340.jpg
    1398391857340.jpg
    65.1 KB · Views: 347
Nyerere alikuwa bonge la debonair kwa watubwake.

Muna mshkaji alikuwa anaenda Ikulu, akawa anafukuza tausi, walinzi wa Ikulu wakawa wanataka kumghasi, Nyerere akamuita (jamaa mtoto kama miaka kumi hapo) akaanza kumuuliza kwa nini unawakimbiza tausi, dogo akasema anataka kuwafuga aone kama kweli manyoya yao yanang'aa kwenye giza na kama akiyawahi kuyaweka pamoja yanaweza kuzaliana.

Nyerere alikuwa anaongea naye kama na yeye mtoto, bado kidogo ampe tausi mpaka mlinzi mlinzi mmoja akaanza kumwambia.habari za nyara za taifa na nini, ikabidi aseme "kweli" akaghairi.

Kwa hiyo Nyerere huyu huyu anayeonekana mkali baba wa taifa, alikuwa na angles zake ukimpatia alikuwa mtu poa sana.

Kuna wafanyakazi wa Ikulu kibao walikuwa wanamlia timing mzee nina matatizo haya na yale sijui kimepanda kimeshuka, ukiangalia mzee wa Kindengereko kafanya kazi Ikulu mpishi mpishi, kapita pita kwa Butiku kapewa audience ya dakika tano na Nyerere , mzee anaagiza Mzee Mbonde ajengewe kijumba cha kiushkaji.

Nyerere ikuwa.na.huruma.filani.za.kibinadamu, lakini.akibadilika.kabadilika.

Kuna siku alibadilisha baraza la mawaziri, Edgar Maokola-Majogo alikuwa.naibu waziri akaambiwa katupwa nje, akaenda akamlilia Nyerere mpaka Nyerere kamrudisha.

Nikaona.duh, huyu ndiye anayeitwa haambiliki kumbe na yeye ana.soft spots zake.

Batenga alijua kama Nyerere angetaka kumtupa.jela angemtupa bila hata kesi. Kwa hiyo hakujisifia, waliokuja kutoa mkanda walinzi.wa Nyerere.

Batenga alijua Nyerere si mtu wa kumind.sana mali.

Akampiga kama hana akili nzuri, mpaka Nyerere mwenyewe akachekecha akashindwa kummaliza.Muhaya yule.

Sasa rais mzima am drag Batenga mahakamani waende kugombwa matofali?

Akaagiza mengine tu, usikute alifyatuliwa.na JKT, National Housing or something

JK alikuwa anatulizwa na yeye!
Thabitha Siwale aliwahi kumpangisha foleni ofisini kwake
Siwale akiwa Headmistress
JK akiwa Raids
Na baaado ulipofika muda wa vipindi since zamu yake ilikuwa bado,mama akenda zake kupiga BIOS darasani after 80mins akarudi,enhee niwasaidie nini ndugu zaangu!
Ahahahahahahahahahahaha JK akaona yeeeeees hiki kichwa nakitaka hiki!
By that time waziri wa elimu alikuwa nani sijui ( Kiranga nikumbush) enh waaaah Chediel Mgonja kama sikosei.(mtu apitie archives fresh)
Jamaa akawa anajisevia videnish pale zanaki na jangwani sec.JK akaipata hiyo!
Ah akaona huu wehu,airtime RTD fasta natengua uteuzi wa huyu kama waziri wa elimu
Natangaza uteuzi wa Thabita Siwale kuwa waziri wa elimu!

Niliambiwa kisa cha JK kuwa ofsn kwa Headmistress ilikuwa summons ya wazazi ambao watoto wao walipigwa suspension!!!
Kwa hiyo Nyerere nae kuna nyakati alikuwa anatulizwa na anatulia vizuri tu!
 
Last edited by a moderator:
Tapeli wa kwanza ni ccm wamejitengenezea mchezo wa kulazimisha s2 huku walijua haikubaliki hili wale posh za wajinga. Ndio maana walijijaza wao tu. Mkulu alichagua marafiki waliosahulika kwenye orodha pendwa ya walaji mob
 
Ahahahahahahahahahahaha hapa tuache watoto wa born here here as were.
Unachabo wazee wakigawana maumivu ya huyu kakake Bishanga
Semeji !huyu alikuwa baraaaaa

Hahahah watoto wa born herehere ndo enzi za Muhimbili au enzi zetu za Ocean Road? Wengine chandimu na mabolibo vilituzengua mpaka Sokoine alipoibuka na mambo ya Uhujumu uchumi ndo tukajua kumbe nchi ilikuwa na viongozi. lol
 
Last edited by a moderator:
JK alikuwa anatulizwa na yeye!
Thabitha Siwale aliwahi kumpangisha foleni ofisini kwake
Siwale akiwa Headmistress
JK akiwa Raids
Na baaado ulipofika muda wa vipindi since zamu yake ilikuwa bado,mama akenda zake kupiga BIOS darasani after 80mins akarudi,enhee niwasaidie nini ndugu zaangu!
Ahahahahahahahahahahaha JK akaona yeeeeees hiki kichwa nakitaka hiki!
By that time waziri wa elimu alikuwa nani sijui ( Kiranga nikumbush) enh waaaah Chediel Mgonja kama sikosei.(mtu apitie archives fresh)
Jamaa akawa anajisevia videnish pale zanaki na jangwani sec.JK akaipata hiyo!
Ah akaona huu wehu,airtime RTD fasta natengua uteuzi wa huyu kama waziri wa elimu
Natangaza uteuzi wa Thabita Siwale kuwa waziri wa elimu!

Niliambiwa kisa cha JK kuwa ofsn kwa Headmistress ilikuwa summons ya wazazi ambao watoto wao walipigwa suspension!!!
Kwa hiyo Nyerere nae kuna nyakati alikuwa anatulizwa na anatulia vizuri tu!

Hahahah mwalimu hebu nambie hii hadithi umeisoma kwenye kitabu cha nani? Kama cha Paul Sozigwa naweza kuikubali. Khaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Nyerere alikuwa bonge la debonair kwa watubwake.

Muna mshkaji alikuwa anaenda Ikulu, akawa anafukuza tausi, walinzi wa Ikulu wakawa wanataka kumghasi, Nyerere akamuita (jamaa mtoto kama miaka kumi hapo) akaanza kumuuliza kwa nini unawakimbiza tausi, dogo akasema anataka kuwafuga aone kama kweli manyoya yao yanang'aa kwenye giza na kama akiyawahi kuyaweka pamoja yanaweza kuzaliana.

Nyerere alikuwa anaongea naye kama na yeye mtoto, bado kidogo ampe tausi mpaka mlinzi mlinzi mmoja akaanza kumwambia.habari za nyara za taifa na nini, ikabidi aseme "kweli" akaghairi.

Kwa hiyo Nyerere huyu huyu anayeonekana mkali baba wa taifa, alikuwa na angles zake ukimpatia alikuwa mtu poa sana.

Kuna wafanyakazi wa Ikulu kibao walikuwa wanamlia timing mzee nina matatizo haya na yale sijui kimepanda kimeshuka, ukiangalia mzee wa Kindengereko kafanya kazi Ikulu mpishi mpishi, kapita pita kwa Butiku kapewa audience ya dakika tano na Nyerere , mzee anaagiza Mzee Mbonde ajengewe kijumba cha kiushkaji.

Nyerere ikuwa.na.huruma.filani.za.kibinadamu, lakini.akibadilika.kabadilika.

Kuna siku alibadilisha baraza la mawaziri, Edgar Maokola-Majogo alikuwa.naibu waziri akaambiwa katupwa nje, akaenda akamlilia Nyerere mpaka Nyerere kamrudisha.

Nikaona.duh, huyu ndiye anayeitwa haambiliki kumbe na yeye ana.soft spots zake.

Batenga alijua kama Nyerere angetaka kumtupa.jela angemtupa bila hata kesi. Kwa hiyo hakujisifia, waliokuja kutoa mkanda walinzi.wa Nyerere.

Batenga alijua Nyerere si mtu wa kumind.sana mali.

Akampiga kama hana akili nzuri, mpaka Nyerere mwenyewe akachekecha akashindwa kummaliza.Muhaya yule.

Sasa rais mzima am drag Batenga mahakamani waende kugombwa matofali?

Akaagiza mengine tu, usikute alifyatuliwa.na JKT, National Housing or something

Nimewahi kusoma habari za maisha ya Nyerere. Nakubaliana na wewe, huyu mwalimu kuna watu kadhaa wamenufaika kupitia mikononi mwake.

Ahsante kwa hili darsa.
 
Back
Top Bottom