Matani ya Wakenya

Matani ya Wakenya

Mbwa wenu ni mvivu sana. Jana mchana walikuja majambazi kwa nyumba yenu. Mbwa wenu alikuwa kalala chini ya mti mbele ya nyumba. Alichofanya alifumbua jicho moja tu na akawaambia: Hivi nyie waizi mbona hamna akili. Mnakuja mchana wote huu wa saa sita mnadhani ni nani atakayewakimbiza wakati mi nimejipumzisha hapa!. Hebu ibeni haraka muondoke mkirudi usiku ndo nitawakimbiza!.
 
Nimecheka sana na hii matani ya wakenya wako talented...nacheki Inspector Mwala citizen,wanatisha
 
nimependa zaidi hii

"Wewe mnono mpaka ukivaa yellow watoto wanafikiria ni schoolbus".
 
Dah wenzetu kiswahili ni issue.Ila si nasikia wanaongoza kwa kutoa magraduands wa kiswahili?

na isitoshe wageni wanaenda kwao kusoma lugha ya kiswahili...

lakini ukifika mombasa wanaongea kiswahili kile standard kama cha unguja .. kitamu we acha tu!
 
Hakya Mungu, we ni mkenyaaaaaaaaa au ni kipaji tu? very nice!
mbona znachapishwa kwenye magazet ya kenya kama taifa le2 na mengne...haya magazet hapa tz yanapatkana sehem za namanga,holili na sirari..
 
sio vichekesho vyetu bongo vya kulazimisha. Jamaa wapo very advanced. wabongo tujifunze, tujikaze jamaa wanakuja mpaka home sasa. tujifunze kuchekesha na watu wazima sio kukazana kuchekesha watoto tu.
 
Back
Top Bottom