CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Kwa kweli na miss sana Ufm kwenye kutangaza hizi mechi, bahati mbaya haya majamaa ya tbccm yameshinda tenda ya kutangaza ligi redioni.
Yaani kwanza mechi zote lazima dakika 5 zinapotea kwenye matangazo sijui wanashindwaje ku balance muda, ikifika half time uchambuzi ni hovyo kabisa ukitoa Jesse John kwa kweli hao wengine ni huruma kabisa pengo la kashasha lipo kabisa.
Ambiance siyo nzuri kabisa hata quality huwezi linganisha na ufm kabisaaaa
Kurudi kipindi cha pili lazima zipotee tena dak 5 nyingine ,kwa ujumla tbc wanatutangzia dk 80 tu
Yaani kwanza mechi zote lazima dakika 5 zinapotea kwenye matangazo sijui wanashindwaje ku balance muda, ikifika half time uchambuzi ni hovyo kabisa ukitoa Jesse John kwa kweli hao wengine ni huruma kabisa pengo la kashasha lipo kabisa.
Ambiance siyo nzuri kabisa hata quality huwezi linganisha na ufm kabisaaaa
Kurudi kipindi cha pili lazima zipotee tena dak 5 nyingine ,kwa ujumla tbc wanatutangzia dk 80 tu