Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
.........
Swali lilikuwa ni kwanini wakristo shule zao zote zimerudishwa na za waislam zimeendelea kushikiliwa na serikali.

Kwapamoja Waislam waliunga mkono tamko kwa kauli moja.
mkuu mi naona kama huna data za kutosha bora ukae kimya tu kuliko kuongea kwa hisia.....kuna Bunch of schools za wakristo ambazo serikali walichukua na hazijarudishwa tena nyingine mpaka ma raisi wetu wamesoma huko including fisadi Mkwere
 
mkuu mi naona kama huna data za kutosha bora ukae kimya tu kuliko kuongea kwa hisia.....kuna Bunch of schools za wakristo ambazo serikali walichukua na hazijarudishwa tena nyingine mpaka ma raisi wetu wamesoma huko including fisadi Mkwere

Nadhani baada ya kupiga mpunga na nyama walikua wanaropoka tu ili kumridhisha aliyewadhamini mpunga. sidhani kama wameangalia kwa kina kuhusu hili suala la shule.
 
Sasa si mnyamaze mbona kiroho juu mkisikia tamko tu, ngoja action ndio muharo utawatoka, subiri utajua ni wazee wa pilau au la

What actions??? Who do you think you'll scare with your empty threats??? you're nothing but a bunch of losers!! Try us.... I'm telling you... you'll be baffled!!!!
 
Hivi hao wanaotoa haya matamko si ndo wale
makada wa ccm ambao kabla ya mkutano wa Mbayuwayu walikuwa wanaitwa Wazee wa DSM? Sura ni zilezile tofauti ni mavazi!
 
What actions??? Who do you think you'll scare with your empty threats??? you're nothing but a bunch of losers!! Try us.... I'm telling you... you'll be baffled!!!!

Terrified already, wait and see
 
Sasa si mnyamaze mbona kiroho juu mkisikia tamko tu, ngoja action ndio muharo utawatoka, subiri utajua ni wazee wa pilau au la

Ndiyo imani yenu inavyowafundisha kutumia maneno machafu kama hayo! Poleni sana. Pamoja na uchafu wa lugha yako, imani yangu inanifundisha nikujibu kistaarabu. By the way, una taarifa kuwa kesho kuna sherehe ya kumtoa bi nanii? Nasikia hata ubwabwa utakuwepo.
 
Ndiyo imani yenu inavyowafundisha kutumia maneno machafu kama hayo! Poleni sana. Pamoja na uchafu wa lugha yako, imani yangu inanifundisha nikujibu kistaarabu. By the way, una taarifa kuwa kesho kuna sherehe ya kumtoa bi nanii? Nasikia hata ubwabwa utakuwepo.

Wewe huna imani bado, unafuata mkumbo
 
kwakweli kukosa elimu ni tatizo kubwa.yaan bakwata nzima.matusi inaita tamko hamna hata mmoja wa kuweza kutetea hoja badala yake wanatoa matamko ya kutukana na kuita tamko
 
Waislam mwanza leo wameunga mkono tamko la diamond jubilee.

----------------------

Waislam jijini Mwanza leo wakiwa wamekutana katika viwanja vya shule ya msingi Mbugani ndani ya wilaya ya Nyamagana.

Kongamano hilo lilihudhuliwa na mamia ya Waislam kutoka maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikoa jirani na jiji la Mwanza.

Kongamano hilo lilihutubiwa na wahadhiri maarufu ambao ni pamoja na Ustadh Ilunga Hassan kapungu pamoja na Mohammed Issa kutoka shinyanga.Mada ya kwanza ilitolewa na Ustadh Ilunga ambayo ilihusu historia ya uislam kabla ya uhuru na baada ya uhuru ambapo mada hiyo ilielezea kwa mapana madhila yaliyowakuta waislam pamoja na mfumo kristo katika serikali.

Aidha mada ya pili ilielezea kuhusu katiba,ambapo Ustadh Mohammed Issa aliwataka waislam kuingia katika mjadala wa katiba badala ya kupuuzia na kusema hayo ni ya siasa.Mwisho Ustadh Kabeke alisoma tamko kwa niaba ya waislam wote na madhehebu yote.

Pia suala la madai ya shule ya Msingi ya Mbugani yaliibuka tena,na hilo limetokana na uandikishwaji wa wanafunzi wapya.Shule hiyo iliyojengwa na waislam enzi za uhai wa EAMWAS na kutaifishwa na serikali ya awamu ya kwanza.Madai haya si mapya kwani shule hiyo ilikua kwenye mchakato wa kurudishwa lakini chakushangaza wanafunzi wapya wameandikishwa.

Swali lilikuwa ni kwanini wakristo shule zao zote
zimerudishwa na za waislam zimeendelea kushikiliwa na serikali.

Kwapamoja Waislam waliunga mkono tamko kwa kauli moja.
si shule zote za wakistro zimerudishwa-kama wanataka hio shule yao moja ya msingi-warudishe chuo cha morogoro na wakistro wachukue shule zao zote,kila mtu ajue chake
 
Kimsingi imani ya uislamu haiwezi kutekelezwa kikamilifu katika nchi ambayo inaongozwa katika mfumo husio fungamana na dini yeyote. Hicho ndicho kiini hasa cha tatizo, hayo yanayosemwa ni dalili tu za tatizo.
 
Waislam mwanza leo wameunga mkono tamko la diamond jubilee.

----------------------

Waislam jijini Mwanza leo wakiwa wamekutana katika viwanja vya shule ya msingi Mbugani ndani ya wilaya ya Nyamagana.

Kongamano hilo lilihudhuliwa na mamia ya Waislam kutoka maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikoa jirani na jiji la Mwanza.

Kongamano hilo lilihutubiwa na wahadhiri maarufu ambao ni pamoja na Ustadh Ilunga Hassan kapungu pamoja na Mohammed Issa kutoka shinyanga.Mada ya kwanza ilitolewa na Ustadh Ilunga ambayo ilihusu historia ya uislam kabla ya uhuru na baada ya uhuru ambapo mada hiyo ilielezea kwa mapana madhila yaliyowakuta waislam pamoja na mfumo kristo katika serikali.

Aidha mada ya pili ilielezea kuhusu katiba,ambapo Ustadh Mohammed Issa aliwataka waislam kuingia katika mjadala wa katiba badala ya kupuuzia na kusema hayo ni ya siasa.Mwisho Ustadh Kabeke alisoma tamko kwa niaba ya waislam wote na madhehebu yote.

Pia suala la madai ya shule ya Msingi ya Mbugani yaliibuka tena,na hilo limetokana na uandikishwaji wa wanafunzi wapya.Shule hiyo iliyojengwa na waislam enzi za uhai wa EAMWAS na kutaifishwa na serikali ya awamu ya kwanza.Madai haya si mapya kwani shule hiyo ilikua kwenye mchakato wa kurudishwa lakini chakushangaza wanafunzi wapya wameandikishwa.

Swali lilikuwa ni kwanini wakristo shule zao zote zimerudishwa na za waislam zimeendelea kushikiliwa na serikali.

Kwapamoja Waislam waliunga mkono tamko kwa kauli moja.

Mkwere lazima afurahie maana anayoyataka ndio yanaanzakutimia kupandikiza udini, HUYU FISADI INABIDI AONDOLEWE HARAKA SANA KABLA YA UDINI HAJAUSAMBAZA MAANA YUKO MAGOGONI KUISAMBAZA UDINI KWA KUTOCHONGANYISHA WENYEWE KWA WENYEWE.:A S-fire1:
 
Inasikitisha sana ukisoma comments za wanaJF wengine. Sehemu ambayo inategemewa kuwa kimbilio la suluhisho badala yake inageuzwa kijiwe cha kahawa na sehemu ya kuongea upepo.

Suala la matamko ya waislamu linapewa msukumo mkubwa na uongozi wa nchi. Mpaka sasa Raisi hajakemea maaskofu wala masheikh wanaotoa matamko. Hii ni weakness kubwa sana ya Raisi wetu.

Angekuwa kiongozi jasiri angetamka waziwazi bila kuficha na kuwakemea viongozi wa dini kuacha kupandikiza chuki.

Huo uonevu wa waislamu unafanywa na nani? JK, IGP, Usalama wa Taifa, Makamba? Jaji Mkuu? Waziri wa Mambo ya Ndani? Je hao hawaswali nao kuwaekeza kuhusu huo uonevu? Hao ma-ustadh na masheikh hawajui nani wa kumueleza matatizo yao?

Haya, wametoa tamko. Wat next? Chuki inayopandikizwa kwa baraka za viongozi walioko madarakani itakuja kuwa majuto. Mpango uliopo ni kuisolate CDM na waislamu ili CCM iendelee kutawala. Waislamu wanatumika. CCM wanajua kabisa CUF ikijaa waislamu wakristo watashun away. And that way CUF n CDM will not oust CCM. That is there thinking!
 
What actions??? Who do you think you'll scare with your empty threats??? you're nothing but a bunch of losers!! Try us.... I'm telling you... you'll be baffled!!!!

Mwache huyo anadhani sisi ni kama wao wanodanganywa na ubwabwa na pilau.
 
Wazee wa ubwabwa na pilau ndiyo zao hizo. Hawana jipya. Tumewazoea. Wakati wao wanalalamika, sisi tunasonga mbele kama kawa.

Wazee wa pombe, wabakaji, na wazinzi wa kukaa kimada bila ndoa! tumewazoea. Utafiti unaonyesha ukimwi umewaathiri zaidi kwa sababu ya ukosefu wa Elimu ya maadili!

Poleni ndugu zetu! angalia ukimwi uko zaidi Kagera, Kilimanjaro, Arusha, nk. lakini Zanzibar, Tanga, Mtwara, Dar, Kilwa, Pwani na maeneo wanayoishi Waislamu wengi yameathirika kidogo zaidi! na ndio maana hata nchi za Kiislamu barani Afrika gonjwa hili halina nafasi! gonga hapa uone Ukimwi unavyoathiri nchi wanazoishi Wakristo wengi! AidsinAfrica.net - HIV AIDS Epidemic Map

Tubadilike jamani elimu kama haikusaidii kujilinda tutakwisha!
 
to me religion is an individual business God/Allah for US all, why make Religion a political issue this is nonsense and it can not be tolerated, we should not let few glattons to destroy the nation stability, by using religion as political agenda. we muslim and X-ans we live together in a stable society why should we let few religious leaders destroy nation stability. all religiuos issue should be left in the MOSQUES and CHURCHS. this is the time to concentrate on relevant issues and keep a side irrelevant matter. Tanzania belong to us all and the Government of Tanzania is not a Church or MOSQUES. Lets drop That trash and concentrate on nation building.
 
Wazee wa pombe, wabakaji, na wazinzi wa kukaa kimada bila ndoa! tumewazoea. Utafiti unaonyesha ukimwi umewaathiri zaidi kwa sababu ya ukosefu wa Elimu ya maadili!
[/url]
Zubeda ulikuwa wapi wewe? siku nyingi sijakuona jamvini...., sasa tutafanyaje ebu nisaidie ili hayo hapo juu yasijenikumba na mimi....
 
Inasikitisha sana ukisoma comments za wanaJF wengine. Sehemu ambayo inategemewa kuwa kimbilio la suluhisho badala yake inageuzwa kijiwe cha kahawa na sehemu ya kuongea upepo.

Suala la matamko ya waislamu linapewa msukumo mkubwa na uongozi wa nchi. Mpaka sasa Raisi hajakemea maaskofu wala masheikh wanaotoa matamko. Hii ni weakness kubwa sana ya Raisi wetu.

Angekuwa kiongozi jasiri angetamka waziwazi bila kuficha na kuwakemea viongozi wa dini kuacha kupandikiza chuki.

Huo uonevu wa waislamu unafanywa na nani? JK, IGP, Usalama wa Taifa, Makamba? Jaji Mkuu? Waziri wa Mambo ya Ndani? Je hao hawaswali nao kuwaekeza kuhusu huo uonevu? Hao ma-ustadh na masheikh hawajui nani wa kumueleza matatizo yao?

Haya, wametoa tamko. Wat next? Chuki inayopandikizwa kwa baraka za viongozi walioko madarakani itakuja kuwa majuto. Mpango uliopo ni kuisolate CDM na waislamu ili CCM iendelee kutawala. Waislamu wanatumika. CCM wanajua kabisa CUF ikijaa waislamu wakristo watashun away. And that way CUF n CDM will not oust CCM. That is there thinking!

ili upate kusolve tatizo lolote lazima ufahamu kwamba tatizo lipo!, Kikwete tayari keshasema kuwa kuna tatizo la udini, maaskofu wamekataa kua hakuna udini, unajua kwa nini? udini ni mtaji wa Maaskofu, hautakiwi kuwekwa wazi! ukiweka wazi wewe ni adui namba moja! nani asiyejua kwamba tokea ukoloni kulikuwa na ubaguzi wa makusudi wa kidini, na ukaendelezwa kwa kasi na kijanja sana na nyerere, yeyote aliyetaka kubalance mambo alionekana msaliti na hii hadi leo ndio ina apply! Chuki imeanza kupandikizwa na maaskofu vigeugeu kwa kuelekeza waumini wamchague kikwete leo, na kesho wakawaelekeza wamchague Slaa , kesho kutwa watawaeleza waumini wamchague nani? Baada ya kuyumba kwa maaskofu kwa viloe ni watu wanaotangazwa eti ni wasomi huku ni watu wa hovyo hovyo na wadini wakubwa , leo wanataka kukataa hakuna udini, shame on them! Tunajua kwamba walisema kikwete ni chaguo la Mungu kwa sababu walitaka kupewa upendeleo kama walivyozoea! walivyoona hawaupati kama walivyotarajia wameshamuona hafai wakamtaka Slaa, slaa kashindwa sasa wanataka nchi isitawaliki, kna kwa sababu kuna wasomi uchwara kama ninyi matapaza masauti mkisikia matamnko ya waislamu na mtashangilia na kuunga mkono utumbo wa maaskofu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom