Nashauri Azam FC wawape Yanga SC points zao Sita ( 6 ) za Ligi Kuu ya NBC kabla hawajacheza nao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,172
Haiwezekani kila mkikutana na Yanga SC mnarudia makosa yale yale yanayowagharimu na Kufungwa kila mkikutana.

Yaani Kocha mwenye Akili anaweza kumuweka Nje Kipa namba moja wa Timu aliyekuwa amekaa Benchini?

Hivi Wachezaji kama Kipre Jr, Amoah na Idi Nado ni wa kutoanza katika First Eleven ya Kocha Mpuuzi wa Azam FC?

Kipa tokea mwanzo tu ameshatuonyesha kuwa Anaogooa na Hajiamini kwanini bado unaendelea Kumuamini na kulikopelekea Kufungwa magoli ambayo angekuwa Imara Kiumakini asingefungwa.

Azam FC sasa ni Mteja wa Kudumu wa Yanga SC na kutizama Mechi zao kwa Siku za baadae ni kupoteza muda tu na ni bora huo muda unaotaka kuangalia Mechi ya Azam FC na Yanga SC ukautumia kwa Kuusoma Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari yetu wa Kampuni ya DP World ili Uelimike zaidi.
 
Haiwezekani kila mkikutana na Yanga SC mnarudia makosa yale yale yanayowagharimu na Kufungwa kila mkikutana.

Yaani Kocha mwenye Akili anaweza kumuweka Nje Kipa namba moja wa Timu aliyekuwa amekaa Benchini?

Hivi Wachezaji kama Kipre Jr, Amoah na Idi Nado ni wa kutoanza katika First Eleven ya Kocha Mpuuzi wa Azam FC?

Kipa tokea mwanzo tu ameshatuonyesha kuwa Anaogooa na Hajiamini kwanini bado unaendelea Kumuamini na kulikopelekea Kufungwa magoli ambayo angekuwa Imara Kiumakini asingefungwa.

Azam FC sasa ni Mteja wa Kudumu wa Yanga SC na kutizama Mechi zao kwa Siku za baadae ni kupoteza muda tu na ni bora huo muda unaotaka kuangalia Mechi ya Azam FC na Yanga SC ukautumia kwa Kuusoma Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari yetu wa Kampuni ya DP World ili Uelimike zaidi.
Huku kwetu kuna msemo "hadi ndonya tunasaga"

Yeyote atakayekatiza ktk huu msitu hatoki salama.
 
Sio Kwa Yanga ya Jana!Yanga hii ni mbovu lazima tukubali ukweli ingawa hatutaki kuusikia,Ile yanga ya akina Mayele ya mikimiki Jana lile Shati la Azam na makosa ya mabeki wa Azam na back pasi zao za hovyo wangekula nyingi.
Mara ya mwisho Yanga kumfunga 2-0 ni lini?. Yanga ni nzuri, ulinzi na viungo wameupiga mwingi sana, tunapata changamoto pale mbele kwenye kumalizia, panajitaji kazi zaidi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu bado tupo Tanga na Ile tahadhari yako bado tunaizingatia.

Yanga wamefanikiwa kupita SIMBA muwe makini Leo kama ulivyoshauri hapa kwenye Uzi wa Jana.

 
Yanga imecheza vizuri sana kuanzia eneo la ulinzi,kiungo na mawinga shida kubwa ilikua kwenye eneo la mwisho la ushambuliaji Musonda bado hana utulivu.
Hafiz bado hajacheza ngoja acheze tuone utulivu wake Hapo ndio tutapata majibu ya Yanga hii imekamilika kila idara au laaah.
Lakini kwasasa nafikiri kocha angeanza kumuamini pia Mzinze nimependa jana alivyokua haraka wa kufanya maamuzi.
 
Haiwezekani kila mkikutana na Yanga SC mnarudia makosa yale yale yanayowagharimu na Kufungwa kila mkikutana.

Yaani Kocha mwenye Akili anaweza kumuweka Nje Kipa namba moja wa Timu aliyekuwa amekaa Benchini?

Hivi Wachezaji kama Kipre Jr, Amoah na Idi Nado ni wa kutoanza katika First Eleven ya Kocha Mpuuzi wa Azam FC?

Kipa tokea mwanzo tu ameshatuonyesha kuwa Anaogooa na Hajiamini kwanini bado unaendelea Kumuamini na kulikopelekea Kufungwa magoli ambayo angekuwa Imara Kiumakini asingefungwa.

Azam FC sasa ni Mteja wa Kudumu wa Yanga SC na kutizama Mechi zao kwa Siku za baadae ni kupoteza muda tu na ni bora huo muda unaotaka kuangalia Mechi ya Azam FC na Yanga SC ukautumia kwa Kuusoma Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari yetu wa Kampuni ya DP World ili Uelimike zaidi.
unajua kocha ndio mwenye siri ya yote hayo
 
Yanga imecheza vizuri sana kuanzia eneo la ulinzi,kiungo na mawinga shida kubwa ilikua kwenye eneo la mwisho la ushambuliaji Musonda bado hana utulivu.
Hafiz bado hajacheza ngoja acheze tuone utulivu wake Hapo ndio tutapata majibu ya Yanga hii imekamilika kila idara au laaah.
Lakini kwasasa nafikiri kocha angeanza kumuamini pia Mzinze nimependa jana alivyokua haraka wa kufanya maamuzi.
Mzize nae akianza kuna wakati hua anaharibu may be anakua na presha sana ya kufunga
 
Back
Top Bottom