Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Hahaha umenikumbusha Nkya, vipi kaijage ulimkuta?
kaijage nilimuacha pale kitu kama 2004 hivi....mwalimu ambaye amedumu kitambo ni nkya asee sitamsahau yule maza yale makofi yake ni shida .....anakubust shavu ya kulia kabla hujakaa sawa anakupa kushoto daaaah nshawahi kuachia ushuzi ghafla bin vuuuu!! akaishia kucheka tu
 
kaijage nilimuacha pale kitu kama 2004 hivi....mwalimu ambaye amedumu kitambo ni nkya asee sitamsahau yule maza yale makofi yake ni shida .....anakubust shavu ya kulia kabla hujakaa sawa anakupa kushoto daaaah nshawahi kuachia ushuzi ghafla bin vuuuu!! akaishia kucheka tu
Yule nkya noma alihamia pale 1991 kitu Kama hicho hakuna aliyefua dafu kwa ukari wake
 
Yule nkya noma alihamia pale 1991 kitu Kama hicho hakuna aliyefua dafu kwa ukari wake
noma sana yule maza ....nataman sana siku nirudi moshi nikashangae kidogo maana since 2004 sijawahi kanyaga kule na nimepamiss hatari
 
Mimi nikiwa hai nitafanya ziara mawenzi ps na old school shule zangu pendwa
mie ni moshi yote kwa ujumla...Yale mazingira japokuwa nilikua chalii ila yalinifundisha vingi sana japo nahisi ningeendelea kuishi moshi ningekuja kuwa mtu hatari sana maana hapa kwenyewe Nina akili flani za ajabu hadi huwa najishangaa ila nipo kwenye matibabu ya roho yangu nisije kuishia pabaya
 
mie ni moshi yote kwa ujumla...Yale mazingira japokuwa nilikua chalii ila yalinifundisha vingi sana japo nahisi ningeendelea kuishi moshi ningekuja kuwa mtu hatari sana maana hapa kwenyewe Nina akili flani za ajabu hadi huwa najishangaa ila nipo kwenye matibabu ya roho yangu nisije kuishia pabaya
Kuishi Ms ni akili ni bonge la ujanja
 
Wewe utakua zao la Labre
Kabisa mkuu hujakosea alikuwa mkali sana Labre second master wake Munisi daah Mlamaa nikikumbuka wimbo wa shule yaani shule yetu ya Mlamaa kweli ninakupendaa sana. ....... Haha
 
Hela ndio amezikamatia DSM.

Ila before anapajua sana KDC. Vijana wa zamani wanalifaham eneo hilo kwa upekee wake kwenye jambo fulani.

Baada ya hapo alikuja kuwa dereva wa mke wa mtu mzito serikalini then life ndio likabadilika
Mkuu umenikumbusha mbali sana! Pale KDC kuna mzee flani hivi jina kama sikosei ni Macha alikuwa na mawe sana baada ya kufa sijui kawa watoto wake waliindeleza mali ya mzee wao.
 
Back
Top Bottom