Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Wakuu kuna bar ya seven up, tausi nazo za zamani kweli tangu niko mdogo nasoma jamhuri

Siku izi zimekuwa za kisasa kweli
Motel silver,kwa janni(cheuro koni ice cream na juisi), milans hotel , florida bar, black star hotel, tausi bar,kirikiri bar, Plaza(sinema),uhuru park, first and last, YMCA,leopard hotel,mawenzi bar,kncu hotel(ilikuwa na lift), shah tours...
Nakumbushia tu
 
Motel silver,kwa janni(cheuro koni ice cream na juisi), milans hotel , florida bar, black star hotel, tausi bar,kirikiri bar, Plaza(sinema),uhuru park, first and last, YMCA,leopard hotel,mawenzi bar,kncu hotel(ilikuwa na lift), shah tours...
Nakumbushia tu
Da! kweli wewe mkali mawenzi p/s shule yangu 1995 nilimaliza pale na kina mapambano, mahmod kiumbe yaani ilikuwa raha kipindi hicho Jani pamepamba
 
Thomas Kidumbuyo.

Ni mkibosho wa kwetu mzee fulani hivi sahivi kazeeka ana gari lake Prado anabebea migomba na mbolea ya ng'ombe, enzi hizo wanachuana na Babu yngu kwa utajiri miaka ya 70's rudi nyuma, daaah tunamuita Thomaa kidumbuyo.
 
Da! kweli wewe mkali mawenzi p/s shule yangu 1995 nilimaliza pale na kina mapambano, mahmod kiumbe yaani ilikuwa raha kipindi hicho Jani pamepamba
Nlikuwa napatia madem kwa Jani,wakitoka kibosho ama ashira weekends unaenda pale unajipatia,unmpeleke gesti pale VUNJO unakula zako mzigo kiulaini
 
Back
Top Bottom