Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,537
- 4,435
We mkali sana God/mawazo,kasirika, Luis Ambrose Hapo jirani mjimpya/miembeni ps du long time Sana
Nimecheza sana mpira kwenye ule uwanja mbovu wa mawenzi.Hahaha umenikumbusha Nkya, vipi kaijage ulimkuta?
Nimecheza sana mpira kwenye ule uwanja mbovu wa mawenzi.
Mwal Nkya alkuwa kiboko hadi tukawa tunamwita jike dume.
Yes mkuu.Mwaka gani mkuu? Zambezi uliikuta?
Uwanja wa mapambano ya ndondiYes mkuu.
Unaupata uwanja wa damu??
Naaaam mkuu.Uwanja wa mapambano ya ndondi
hivi pale juu kwenye kijukwaa cha zege bado panaishi kweliNaaaam mkuu.
Hapo walikuwa wanaenda wababe tuu
Na watazamaji
Zambezi hili neno lilianzishwa na Mwl.kiwelu enzi tupo STD 4 mwaka 92 kipindi hicho Kuna wababe mno kina samora msomali, amran, mapambano,Yes mkuu.
Unaupata uwanja wa damu??
uwanja wa mawe nusu saa ya mapumziko ilikuwa balaaa mechi za madarasa kwa darasa ilikuwa ni balaaNaaaam mkuu.
Hapo walikuwa wanaenda wababe tuu
Na watazamaji
92 duuh asee bro shkamooZambezi hili neno lilianzishwa na Mwl.kiwelu enzi tupo STD 4 mwaka 92 kipindi hicho Kuna wababe mno kina samora msomali, amran, mapambano,
Marhabaa dogo92 duuh asee bro shkamoo
kumbe mda mwingine watu wanabishana na 'baba zao' kabisa asee tena utaona mtu anakuita ZWAZWAMarhabaa dogo
mi nimemkuta somebody mboya hata sura siikumbuki kwakweliMwl mkuu alikuwa Mr maembe mama monyo
Mawazo ukuje hapa
Ukiwa na hii kitu basi wewe uko vizuri crusher inalipa sana.True, ila sasa hivi yuko vizuri sana. Pia ana mashine yake ya kutengeneza kokoto somewhere kuelekea Dar maeneo ya kati, sina uhakika kama ni upareni ama Tanga. Ila anawasupply hao watu wa constructions na hizo materials. Fursa ni nyingi sema uongozi mbovu.
ahaaa gari gani mukuluMawazo yupo dar ubungo terminal anakata tikeki za mabasi
A
ahaaa gari gani mukulu