Mkuu umemaliza mwaka gani.Pale kwa shedrack au wapis wapis bar
Mkabala na majengo sec
Vikogwe tumo humu
Mwizi tu yule tukileta jalada hapa watatafutanaPale Central Garden alipapata kwa dhuluma sana
If you still in moshi nikija ntakutafutaChangbay inamilikiwa na mama mmoja hivi ambaye alianza kuwa maarufu kwa jina la “mama kuku”.
Basi lilotumbukia mto Karanga, lilikuwa likiitwa Safina! Kuna watu walitajirikia pale, maana wafanyabiashara enzi hizo walisafiri na kiasi kikubwa cha pesa kwenda kununua bidhaa kutoka Dar to Arusha na Moshi.
Mzee Mwariko sina uhakika kuhusu alipo kwa sasa, ila alikuwa na gallery maeneo ya Dar St kama sikosei ilikuwa ikiitwa Mwariko’s Art Gallery. Enzi hizo mzee Makassy akiwepo kama sikosei.
Hahahah wa moshi ama?Ndo ungese wa maisha hakuna formula maalum. Kuwa tajiri ni kuamua tu. Kuna jamaa namfahamu aliamua kukwapua pesa akaenda kusoma ili awe professional serial killer. Na jamaa ni pro kwelikweli na analipwa vitita virefu na wanaomtuma kazi.
Mhindi yule anaitwa bandia msemo wake maarufu ukienda kunywa juice anakwambia ""taka moto au taka baridii''Opposite na benki ya mawenzi kulikua na kaduka ka mhindi anauza juice ya kutengenezea nyumbani. Mnamkumbuka? Nadhani jina lake 'bandia'. Alikuwa anavaa KAPTULA tu. Juisi chupa ndogo fupi. Juisi sijui zina spices gani zile za kihindi hindi ila tam sana. Hivi mzee bandia kuna aliemuona sk za karibuni?
Halaf mtaa huo huo kuna mhindi mwingine mwembamba anapenda kutoa meno nje nae toka miaka hiyo anavaa kaptula hadi leo!
Hapana ni wa Mara. Anaishi ng'ambo. Anakuambia hataki habari za mbinguni anataka kupata raha hapahapa.Hahahah wa moshi ama?
Hapo palikuwa ni kwa singasinga mmoja akiitwa mayuri.ndie alikuwa na gereji dizaini hiyo.Mzee Sambeke alikuwa na watoto wa aina zote Babu alikuwa jambazi,Kaka yake upadri alianzia West Africa.Kulikuwa na story nyumbani kwake pale karanga kulikuwa na handaki eti gari likiingia linatoka limebadilishwa kila kitu
1990Mkuu umemaliza mwaka gani.
Mowo aka Lord MowoUna uhakika mnamzungumiza mtu mmoja? Kuna jamaa mwenye kiwanda Nigeria ambaye yeye mjengo wake wa nguvu sana upo kwenye ile njia panda ya kuelekea KCMC kama unatokea YMCA
UsiacheIf you still in moshi nikija ntakutafuta
Hahaha mo town yerewiii
dah poa sisi tulimaliza 1994.1990
mbuta nangaa,those days in moshi.au uraaaa.Usiache
Ile nyumba naiheshimu Sana,kiwanda chake kinaitwaje mkuu???Mowo aka Lord Mowo
Aliandika maishapopote
Nimegundua watu wa aina niliyoitaja hapo Juu,Hawajulikani kabisa Hapa Dar es Salaam,sijajua sababu ila nadhani matajiri wa hapa Dar wanapata media Coverage nyingi na pia wanapata connection nyingi mno na Kuwa Mega kama sio Super Rich Kabisa au Maarufu kuliko wa mikoani.
Kwa kuwa wanaaminika na na kujulikana mno huwa wanawafunika wa Mikoani kwa Kila kitu,na hata hawa wa mikoani wakija Hapa Dar huwa wanakosa exposure na kujiamini kabisa.
Leo nawaleta kwenu watu Maarufu,Matajiri,Watoto wa Mjini,ambao wapo Mkoa wa Kilimanjaro hususani Moshi Mjini na Arusha,Naomba wadau wa Mikoa hii wanisaidie kujazia Nyama na Information na kutaja majina Mengine Ambayo yatasaidia kuwapa Exposure Wenzetu Hawa
Karibuni
1.Patrick Ngiloi Ulomi: Mfanyabiashara maarufu mno mikoa Hiyo anamiliki vituo vya Mafuta vya kutosha,Hotel za Kitalii za Kutosha,supermarket za kutosha, na Pia Anamiliki timu ya Mpira wa Miguu iliyoyoko Ligi Daraja la Kwanza Tanzania.
kwa sasa Anaishi Moshi baada ya Kuhama Dar es Salaam
- Anapendwa Mno
- Anaheshimika Mno
- Amesaidia Vijana wengi Ajira
2.Laswai 🙁Trust Bureau de Change)
Huyu Ni Mfanyabiashara mwingine maarufu mno mkoani kilimanjaro,hayupo social sana ila anajulikana anamiliki hoteli kadhaa za kitalii ikiwemo Kibo Palace,pia akiwa kama Main Importer wa betri za Tiger,Utitiri wa bureau de change(mkumbuke Moshi na Arusha ni miji ya Kitalii)
na biashara nyingine nyingi.
Anaishi Moshi na Arusha.
- Anaheshimika Mno
- Multi Trade
3.Philemon Ndesamburo (Retired MP-CDM)
Need to say More?
4.Willy Lucas Tarimo-Snow Crest Original Owner
- Keys Hotel And Apartments( Moshi,Dar and Arusha)
- Keys Hotel and apartments (London)
- Keys Tours and Safaris-hapa Vehicles zote ni VX
- Kilimanjaro Marathon Host and owner
- utitiri wa Vituo vya Mafuta
- Hotel za Kitalii,ikiwemo snowcrest( ina Mgogoro)
- and other Business.
5. Papa King-Mining
Owner of Triple A Investment.
Update:
6.Sunda: Mining and other Investment
7.Benson :Electronics Internet and Mobile Networks
7. Mrema: Impala Hotels,Ngurdoto Hotel,Naura Springs
8.Mathias Manga: Mining esp.Tanzanite
9.Willy Chambulo..aka Kaburu: Tourism and Hospitality ( Kibo Guides and Hotels)
10.Michael Ngaleku Shirima: Aviation ( Precision Air)
11.Pandit: Tanzanite
12.Kanunga;Tanzanite and Mining
13.Mbise: Hotels and Accomodation
14.Shidollya Tours;Tourism and Hospitality
15.Charles Makoi: Hotels and Hospitality
16.Alex Masawe (*******) tumweke au tumtoe
17.Mawalla Advocate; lawyers and Advocates
18.Gody : Tanzanite and Gemstone
19.Curthbert Swai: Ahsante Tours Moshi
20.Seif : cultural heritage( Vinyago na urembo)
naendelea kuzibadilisha kadri itakavyoonekana,inaonekana Makoi watu wanaona kashachoka,kuna kina Njake sijaona katajwa humu,list ikifika watu 100 wanaoeleweka tunaanza kuwapanga kwa number from baba lao,to upcoming Bilionairs.
Moshi naona mmezubaa wengi hapa ni matajiri wa arusha,siwaoni kina maleko,boisafi na wengineo nashindwa kuwachomeka maana sijui vizuri hali zao kwa sasa...pls update me
Karibuni
711 waliwahi kuihusisha na yule jamaa aliyewahi kuwa waziri kama sikosei. Bado ipo vyema tu na wapangaji.Sema kuna wakati ilikuwa ni floors kadhaa tu na hivyo bado inatakiwa kuendelezwa.Mkuu vipi buni ramole mwenye osy grand
Na mwenye moshi view hotel
Au golden view hotel
Usisahau seven eleven
Hayo maeneo yote sasa hivi ni lami tupu! Hapo Seven Up maeneo hayo pameendelezwa kiasi flani, ila miundo mbinu ndo poa.Wakuu kuna bar ya seven up, tausi nazo za zamani kweli tangu niko mdogo nasoma jamhuri
Siku izi zimekuwa za kisasa kweli
Halafu huwa anapiga ma barbeque ya ukweli most weekends. Utaona yale majiko makubwa ya barbeque hapo nje na mirange rover tuu ndo imepaki. Kuna watu wanaishi kama ulaya kabisa.Ile nyumba naiheshimu Sana,kiwanda chake kinaitwaje mkuu???