Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Aliitwa jumanne alitokeaga tanga kunani,wenzie wakamwambia gari hizo hazinaga makosa na hazikamatwi.yeye akajitutumua kuzikamata.majipu na machunusi yalimtoka makubwa kama taa treni.akawa amenyoka baada ya kupelekwa kuomba msamaha.aaah Kirenga mzoefuuu
Ilibidi RPC wa Kilimanjaro wakati huo ampeleke yeye mwenyewe kwa Mzee kumuombea Msamaha,na kabla hawajaenda walinunua vitu kibao mahitaji ya home kama vile ndoo mafuta ya kula,viroba ya mchele,unga Sukari na vingine vingi.
 
Kuna jamaa rasta yule alikuwa na sehemu ya kuchongea vinyago karibu na bureau de change ya Laswai pale double road. Alikuwa mshabiki mkubwa wa NCCR Mageuzi na Mrema Enzi hizo!Jamaa alipagawa hadi akawa anavaa magunia. Watu wakawa wanamuona ni chizi! Kumbe siyo, sasa hivi ni mmojawapo wa matajir hapo Moshi. Maisha hayana formula.Ila ukiwa na akili chini ya ccm utapata taabu sana. Mfano jamaa asingeweza kuprove tofauti, watu wngeishia kusema mvuta bangi tu yule! Kumbe ni mtu genius aliyekuwa kachoshwa na ccm.
 
711 waliwahi kuihusisha na yule jamaa aliyewahi kuwa waziri kama sikosei. Bado ipo vyema tu na wapangaji.Sema kuna wakati ilikuwa ni floors kadhaa tu na hivyo bado inatakiwa kuendelezwa.

OSY Grand ya Buni Ramole bado ipo.

Hiyo Golden view ni ya kina Malya ambao ni ndugu na Babuu Sambeke(Nadhani Sambeke Malya ambaye ni baba yake Babu, na huyu mwenyeGolden view ni mtu na kaka yake).

Moshi view naikumbuka lakini imenitoka kidogo, labda unikumbushie maeneo.

btw Vincent Laswai mwenye Kibo Palace, anajenga na yeye hotel moja karibu kabisa na Osy Grand ya Buni Ramole. As we speak, nadhani ujenzi unaendelea kwa kasi.

Moshi view hotel iko kiusa street karibu na diwani ngasa wa chadema

Ni hotel maarufi kidogo pia iko karibu na white star mtaa mmoja na hotel flan mpya jina limenitoka
 
Hayo maeneo yote sasa hivi ni lami tupu! Hapo Seven Up maeneo hayo pameendelezwa kiasi flani, ila miundo mbinu ndo poa.

Ni kweli mkuu nilikuwa moshi mwaka jana mitaa karibia yote ni lami

Mpaka uswahilini kule karibu na shukran hotel
 
711 waliwahi kuihusisha na yule jamaa aliyewahi kuwa waziri kama sikosei. Bado ipo vyema tu na wapangaji.Sema kuna wakati ilikuwa ni floors kadhaa tu na hivyo bado inatakiwa kuendelezwa.

OSY Grand ya Buni Ramole bado ipo.

Hiyo Golden view ni ya kina Malya ambao ni ndugu na Babuu Sambeke(Nadhani Sambeke Malya ambaye ni baba yake Babu, na huyu mwenyeGolden view ni mtu na kaka yake).

Moshi view naikumbuka lakini imenitoka kidogo, labda unikumbushie maeneo.

btw Vincent Laswai mwenye Kibo Palace, anajenga na yeye hotel moja karibu kabisa na Osy Grand ya Buni Ramole. As we speak, nadhani ujenzi unaendelea kwa kasi.

Ok nimeelewa sasa niliona ujenzi karibu na osy grand ila sikujua nini haswa kinaendelea

Nasikia tamamu guest house nayo imefanyiwa ukarabati 🤣🤣
 
Kuna jamaa rasta yule alikuwa na sehemu ya kuchongea vinyago karibu na bureau de change ya Laswai pale double road. Alikuwa mshabiki mkubwa wa NCCR Mageuzi na Mrema Enzi hizo!Jamaa alipagawa hadi akawa anavaa magunia. Watu wakawa wanamuona ni chizi! Kumbe siyo, sasa hivi ni mmojawapo wa matajir hapo Moshi. Maisha hayana formula.Ila ukiwa na akili chini ya ccm utapata taabu sana. Mfano jamaa asingeweza kuprove tofauti, watu wngeishia kusema mvuta bangi tu yule! Kumbe ni mtu genius aliyekuwa kachoshwa na ccm.

Nasikia siku izi kanunua nyumba karibu na kkt ya uku juu ambayo inatizamana na al jezeera kuna mnara wa voda
 
Nasikia siku izi kanunua nyumba karibu na kkt ya uku juu ambayo inatizamana na al jezeera kuna mnara wa voda
Inawezekana, anayo nyingine kule mtaa wa chini ambako alikuwa akiishi. Ana biashara pale, naskia amenunua nyumba maeneomengi tu muhimu, kuna moja mbele ya Kindoroko Hotel(nadhani ya kukodi lakini kama si msajili), kabla haujavuka ile barabara kuelekea msikiti wa Riadha. Ana duka moja kubwa na la ukweli kabisa. Vinyago vya high quality standards. Na biashara unaona inaenda kisomi, anapiga dola za kutosha pale. Huyo ni yule Rasta ambaye mambo yalikuwa mabaya sana kipindi cha Mkapa na yeye alikuwa ni NCCR mageuzi damu damu. Hata Mrema alikuwa akija Moshi lazima ampungie pale na yeye lazima anede kwenye zile ofisi zao ambazo hazikuwa mbali na pale(karibia na sokoni ile njia yenye kuelekea Osy Grand Hotel). Rasta alikuwa akikimbia double road yote amevaa gunia huku amebeba bendera ya NCCR mageuzi, polisi mabomu everywhere.
 
Moshi view hotel iko kiusa street karibu na diwani ngasa wa chadema

Ni hotel maarufi kidogo pia iko karibu na white star mtaa mmoja na hotel flan mpya jina limenitoka
Siyo ile ambayo kwa chini sasa hivi wamefungua frames wamepangisha? Nadhani ya yule mzee Mwacha kama sikosei. Mwacha mwenye undugu na yule baba yao kina Ben Mwacha waliowahi kuwa na ile petrol station ambayo sasa hivi kuna ule mgahawa maarufu wa Mekus Bistro.
 
Siyo ile ambayo kwa chini sasa hivi wamefungua frames wamepangisha? Nadhani ya yule mzee Mwacha kama sikosei. Mwacha mwenye undugu na yule baba yao kina Ben Mwacha waliowahi kuwa na ile petrol station ambayo sasa hivi kuna ule mgahawa maarufu wa Mekus Bistro.

Mmmh mkuu moshi yote iko kiganjani mwako

Seems nyie ndo wenye moshi yenu
 
Kuna jamaa rasta yule alikuwa na sehemu ya kuchongea vinyago karibu na bureau de change ya Laswai pale double road. Alikuwa mshabiki mkubwa wa NCCR Mageuzi na Mrema Enzi hizo!Jamaa alipagawa hadi akawa anavaa magunia. Watu wakawa wanamuona ni chizi! Kumbe siyo, sasa hivi ni mmojawapo wa matajir hapo Moshi. Maisha hayana formula.Ila ukiwa na akili chini ya ccm utapata taabu sana. Mfano jamaa asingeweza kuprove tofauti, watu wngeishia kusema mvuta bangi tu yule! Kumbe ni mtu genius aliyekuwa kachoshwa na ccm.
Yes.
Walitaka kumvua ile kiwanja yake lakini jamaa alikomaa.
Jina yake nikiikumbuka nitaweka hapa.
 
“Taka kubba taka dogo”?
Hahaaa muhindi kanitembeza kwa mnooo...yani nimesoma mawenzi primary...naishi majengo..nauli enzi hizo kibasi sh hamsini...dah nauli nanunua juice..kifuatacho...kutembeahadi nyumbani ...utoto rahaaa
 
Back
Top Bottom