711 waliwahi kuihusisha na yule jamaa aliyewahi kuwa waziri kama sikosei. Bado ipo vyema tu na wapangaji.Sema kuna wakati ilikuwa ni floors kadhaa tu na hivyo bado inatakiwa kuendelezwa.
OSY Grand ya Buni Ramole bado ipo.
Hiyo Golden view ni ya kina Malya ambao ni ndugu na Babuu Sambeke(Nadhani Sambeke Malya ambaye ni baba yake Babu, na huyu mwenyeGolden view ni mtu na kaka yake).
Moshi view naikumbuka lakini imenitoka kidogo, labda unikumbushie maeneo.
btw Vincent Laswai mwenye Kibo Palace, anajenga na yeye hotel moja karibu kabisa na Osy Grand ya Buni Ramole. As we speak, nadhani ujenzi unaendelea kwa kasi.