Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

kwa mama kibello, Changbay, Onyonya Ukunonze kiboroloni, Miami Bar pale kitandu kwa hamadi , Uptown shanty town .... dah
Dah!Pale Miami ilikuwa taabu tupu! Miaka hiyo especially kuanzia saa sita usiku! Halafu kulikuwa na wadada wakali sana kutoka sehemu mbali mbali mfano Morogoro, kulikuwepo wasomali pia. Hamad dada yake anayeitwa Fatma,kuna wakati ndiye alikuwa pale akisimamia wakati hayuko nk. Niliwahi kuja kumuona kazeeka. Uptown kwa Mukesh bado pako, kwa mbele kuna joint imefunguliwa panaitwa "Bikers". Unyonya bado wako, siyo kwa kasi ile ile, ila bado wako na nguruwe uchomaji ule ule. Changbay napo bado wako na "signature chicken" zao ambazo huweka cabbage na pilipili, Daah! East and west...
 
Ras ommy.

Speaking of rastas....kuna rasta mmoja alikua akiitwa "peter mzungu". Huyu aliishi opposite na MDC spmarket kwenye zile nyumba za national housing.

Huyu rasta alikua akitumia baiskeli yenye nakshi nyingi na baby wake vile vile alikuwa rasta! Enzi zile kapo yao ilipendeza sana nadhani wengi walihamasika kua marasta sababu ya hii kapo!

Sijui yuko wapi peter mzungu?
 
Speaking of rastas....kuna rasta mmoja alikua akiitwa "peter mzungu". Huyu aliishi opposite na MDC spmarket kwenye zile nyumba za national housing.

Huyu rasta alikua akitumia baiskeli yenye nakshi nyingi na baby wake vile vile alikuwa rasta! Enzi zile kapo yao ilipendeza sana nadhani wengi walihamasika kua marasta sababu ya hii kapo!

Sijui yuko wapi peter mzungu?
Toshi. Peter Tosh alikuwa akiitwa. Mkewe akiitwa moms. Alikuwepo nadhani maeneo ya Dar Street. Kahamia Dar now kama sikosei mkuu.
 
Enzi hizo Arush Mosh kulikua na marasta wengi . pampoja na Ras Omar walikuwepo kina Ras Ramole nakumbuka Ile Datsun picki up yake rangi damu ya mzee,kina Ras Kisanga wa Kiborilon na mdogo wake Jerry na Ile Landover Yao nyeupe wagon TZ 888_. Arush walikuwepo kina Ringostar,Ras E. mollel_ _ _
 
Mchoma
Wewe mkora huwenda nakujua
Nilikua na demu kule mtaa wa mraba hayo maeneo ndio nilikua nazuga hapo kwa mchoma mahindi
mahindi gani,kunijua ni lazima utanijua tu maana ni maarufu kidogo pia.unamjua jamaa mmoja anaitwa tajiri.
 
Mchoma
Wewe mkora huwenda nakujua
Nilikua na demu kule mtaa wa mraba hayo maeneo ndio nilikua nazuga hapo kwa mchoma mahindi
mahindi gani,kunijua ni lazima utanijua tu maana ni maarufu kidogo pia.unamjua jamaa mmoja anaitwa tajiri.
 
Ya ya lazima utakuwa unanifaham vizuri kabisa.mngodo nilimaliza nae primary tumeangalia sana TV na video pale kwao.
Mzee tesha alishafariki
Mgondo alikua na mpwa wake msukuma anaitwa George
Unaikumbuka hii chapa?
Wewe wa mtaani kabisa
 
Mzee tesha alishafariki
Mgondo alikua na mpwa wake msukuma anaitwa George
Unaikumbuka hii chapa?
Wewe wa mtaani kabisa[/QUOflaniTE]
George yaap jamaa flani mtanashati kweli kweli na mkimya sana baba take alikuwa mambo safi watu wakamuondosha kiajabuajabu.stori hii
 
Mzee tesha alishafariki
Mgondo alikua na mpwa wake msukuma anaitwa George
Unaikumbuka hii chapa?
Wewe wa mtaani kabisa
Au demu wako alikuwa Helena kapinga nadhani ni kati ya hao Helena au joice kapinga maana ndio walikuwa vifaa na wenye hadhi mtaa ule.
 
Au demu wako alikuwa Helena kapinga nadhani ni kati ya hao Helena au joice kapinga maana ndio walikuwa vifaa na wenye hadhi mtaa ule.
Mzee kapinga fensi kubwa gril za maana
Tv kipindi hicho kwake mtaa wote wa kumbakumba
Umasikin ule enzi zile watoto wale utaanzaje?
Zetu wakina mage nyuma ya kwenu
Unawajua wale vijana karib na missisip ilipo?
Walikua wanauza maji zaman
Waupe wako wengi wamefanana?
Ali mafiat?machine za kusaga pale kwa rimoy nyuma ya sawaya?
 
Back
Top Bottom