100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,720
- 12,449
Sahihi mkuu. Mchungaji anasema ni pepo njoo nikuombee. 😂Naam,
Na kuna wengine wanarithi mambo genetically kabisa, mtu anakuwa na addictive personality, hata akishika hela kubwa ndiyo kwanza anakuwa mlevi wa pombe au madawa, pesa badala ya kumletea maendeleo, zinamuua. Kwa sababu genetically ana addictive personality ya kurithi.
Yani huyo bora awe masikini ndiyo anaweza kuishi muda mrefu, akiwa na hela ni majanga matupu.
Sasa huyu naye tusipomuelewa tunaweza kusema huyu jamaa lofa mlevi tu, kumbe ana matatizo ya kibaiolojia kwenye vinasaba hatujui tu.