SoC01 Matajiri hawaweki akiba ya fedha

Stories of Change - 2021 Competition

Masibayi

Member
Jan 2, 2018
19
65
Rejea katika historia
Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine.

Ingawa kuna aina nyingi za akiba kutoka kwenye mazao mpaka nguo,mafuta, bidhaa n.k ila makala hii inajikita zaidi katika akiba ya fedha.

Zipo kanuni mbalimbali zinazotawala nguvu ya pesa ambazo zinabadilika kutoka kizazi hadi kizazi. Mfano; kanuni iliyotawala fedha kipindi cha zama za viwanda (industrial age) ni tofauti na kanuni inayotawala pesa kipindi cha zama za taarifa (information age). Nyakati za mapinduzi ya viwanda pesa ilikuwa ni kitu halisi na kilipewa nguvu kwa kutumia dhahabu. Zama za leo pesa si kitu halisi,ndo maana inaitwa "currency"; kwa maana ya kitu kinachomiminika kama maji na ndo maana serikali zinaweza kuchapisha noti mpya au la kwa kuzingatia mambo fulani fulani.

Mchwa wanaotafuna akiba ya pesa
Maamuzi ya uwekaji akiba wa pesa ni mithili ya mbwa aliyeficha mfupa kwa kuuchimbia ardhini. Huko kuna wadudu wanaoanza kuushambulia mara baada ya kuwa ameufukia. Baadhi ya mchwa wanaoshambulia pesa ni hawa wafuatao; kodi,tozo za benki,mfumko wa bei. Tutaangazia mchwa hawa kwa kisio kwamba mtu kaweka akiba ya pesa benki.
  1. Mfumko wa bei: Huu ni ule unaotokana na uchapaji wa pesa kwa wingi na kupelekea pesa kufurika kwenye mzunguko. Ni mbali na ule utokanao na uhaba wa bidhaa. Haijalishi pesa umeiweka benki au chini ya godoro lazima iathiriwe na mchwa hawa. Ni kodi ya kimya kimya ambayo hakuna anayeweza kuikwepa kuanzia tajiri mpaka masikini. Mfumko wa bei unasababisha kushuka kwa uwezo wa pesa kununua bidhaa. Kwa lugha rahisi ni kwamba bidhaa ambazo noti ya shilingi 1000 inaweza nunua leo ni nyingi ukilinganisha na bidhaa ambazo inaweza kununua baada ya miaka 10. Haijalishi umeweka akiba wapi,ila ujue wazi thamani ya pesa yako itapungua kutokana na mfumko wa bei.
  2. Kodi; Kanuni ya benki juu ya uwekaji wa akiba inaruhusu kulipa kodi katika viwango vya mapato,income tax cap rates. Kwa hiyo kama uliweka akiba kwa riba ya asilimia 5 kwa mwezi basi utakapokuja kuchukua pesa yako utatozwa kodi barabara na nanuni ya tozo la kipato. Kwa hiyo ukiachia mbali inflation bado kuna kodi ya serikali,PAYE( pay as you earn), ambayo itaitafuna hela yako.
  3. Tozo za benki; Hii ni gharama za utunzaji wa pesa kwenye akaunti benki.
Kanuni mpya ya pesa
Baada ya kuona mchwa hao unakuja kuona kwamba kuliko kuweka akiba ya pesa ni bora kuwekeza. Swali ni kwamba unawekeza kwa staili gani?

Ikiwa umeona kuna kodi,tozo na mfumko wa bei basi ni muhimu kuwekeza katika fursa ambazo zinafidia punguzo kinalotokana na mchwa hao.

Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa kanuni ya pesa katika zama za taarifa ni kuwekeza na siyo kuitunza kama akiba.

Aina za uwekezaji
Kuna kuwekeza kwa staili nyingi sana. Baadhi ya aina hizo ni hizi hapa chini;
  • Uwekezaji kwa ajili ya ongezeko la mtaji; Hii ni pale mtu anapoamua kununua bidhaa au kitu kwa gharama ndogo na kuuza kwa gharama kubwa. Faida anayoipata ndio inaitwa ongezeko la mtaji,capital gain.
  • Uwekezaji kwa ajili ya mtiririko wa pesa; Hii ni pale mtu ananunua assets ambazo zinakuwa zinampatia fedha mara kwa mara,(Investing for cashflow).Kwa mfano nyumba ya kupangisha. Hii ni mali ambayo inakupa pesa kila mwezi kwa kukusanya pango. Haijalishi kuna mfumko au mdololo wa bei.
  • Uwekezaji kwa ajili ya misamaha ya kodi(tax incentives); Huu ni uwekezaji katika miradi yenye misamaha ya kodi, miradi ambayo ni kipaumbele kwa serikali. Kwa mfano; miradi ya makazi, kilimo na ufugaji sanjari na uchimbaji wa madini. Aina hii ya uwekezaji huisaidia serikali kutoa huduma ambazo ilitakiwa kuzitoa. Kwa lugha rahisi ni uwekezaji unaoisaidia serikali kutekeleza majukumu yake kama vile utoaji wa ajira. Miradi hii hupata misamaha ya kodi.
Baada ya kuona staili hizi chache unaweza kujiuliza uwekeze kwa staili ipi?
Ushauri wangu
Badala ya kuweka hela benki,wekeza kwenye biashara au miradi ambayo itafidia thamani ya pesa yako kwa baadae kwa kuzingatia misamaha ya kodi na mfumko wa bei unaosababishwa na kuwepo kwa fedha nyingi kwenye mzunguko.

Kwa mfano; ukinunua nyumba kaa ajili ya kupangisha utapata ongezeko la mtaji kutokana na kupanda kwa thamani ya eneo, thamani ya nyumba na pia utapata mtiririko wa pesa wa kudumu kutokana na ukusanyaji wa pango.

Ikitokea soko la nyumba limedolola bado utaendelea kupata pesa za pango maana makazi ni hitaji la kila siku. Pia mapato ya pango kwa sasa hayatozwi kodi na serikali. Haijalishi kuna mdololo wa uchumi,kuna mdololo wa thamani ya pesa au la. Bado unauhakika wa kupata kipato.

Kumbuka,matajiri hawaweki akiba ya pesa benki. Wanawekeza kwenye mzunguko wa pesa. Tumia kanuni hii kunufaika na pesa yako.

Asante sana!
 
Anno, watanzania wengi liquidity ni first priority sababu hawana surplus ya kuinvest.

Ukimpa 70m obvious hawezi acha kukushauri uwekeze sehemu ambayo itazunguka na kuleta fedha kama uber.
Palikuwa na watu wawili walienda kununua bidhaa dukani.

Wa kwanza baadae aliamua kurudisha bidhaa na kudai hela yake.

Wa pili hakurudisha bidhaa ila alipata hela yake.

Nakwambia wa pili alikuwa na busara zaidi wa yule wa kwanza.

Moral of the story: Rudisho kutoka kwenye uwekezaji, ROI.

Ukiwekeza hakikisha hela yooote ulowekeza inarudi na asset ulonunua unaibakiza ikiendelea kukupa faida bure kabisa, cash in flow!
 
Thanks mkuu,
Nashukuru kwa somo mkuu!

Ajabu mada sensitive kama hii toka sep 30 ndani ya siku 13 ina post 15 tu wakati mimi nakuja kuiona nimetoka kusoma kisa cha dada ame-post kwamba alidanganywa na mwanaume kwamba anaishi Dubai siku anakuja akampokea wakapelekana lodge huyo jamaa akamtapeli Tecno yake na huo uzi ndani ya 43minutes ulikuwa una post 40 so utaona namna wabongo walivyo weupe kwenye mambo ya msingi.

Hawa ni wale ukiwaambia unajenga nyumba kwa ajili ya kupangisha kwa cost ya Tsh mill 70 wanaku-crush kwamba hazina faida ni biashara kichaa ukiwaambia wakupe idea hiyo 70 mill ufanye nini wanakwambia nunua IST sita ufanye biashara ya Uber.
Thanks mkuu, tuendelee kuvote na kushare!
 
Nothing is Safe..., kuna msemo ulikuwepo as Safe as a House; kwamba ukiwa na nyumba you are set, yaani upo Safe ila hata majanga yanayoweza kutokea unaweza kujikuta the safety net is gone.

Like with everything unaweza uka-invest kwenye chochote kile kikaenda bust, labda the point ya maana ni as one person once put it (Make your Pennies work for You) ; kwahio kuzalisha ni bora kuliko kuweka pekee, ila uzalishaji unakuja na risks; je risks hizo ni kubwa au ndogo kuliko kuweka na kupoteza 4% after one year.., kumbuka not everyone is investment savvy..., na kama namshauri mtu ni invest in something you know and have passion sio tu kufuata trend na what's big at the moment

Yep everyone wants cash to flow but it happens sometimes it ain't flowing (bad debt na watu kutokulipa madeni) kama wanavyosema one bird in hand is worth 10 in the bush..., Yaani Trillioni kadhaa benki ni bora kuliko Trillioni kadhaa na usheee ninazozidai serikali au Bakari wa mtaa wa nne...

Sipingi unachosema per se ila ni kujaribu kukuonyesha there are two sides to the story and life is not black or white; lots of grey areas in the middle

In the end kwa ushauri wangu ni invest in something you know na kile kichache kinachobaki ndio unaweza ukajirurahisha kuweka hapa na kule (hata hizo biashara ziki-go a belly up) hautabaki umeshika tama.... And what works for you might not work for him or her.....
Nimekupata maelezo yako mkuu wangu.

Kitu cha kuongezea n kwamba kuna haja ya kuelewa kwa kina juu ya kile unakifanya ili kupunguza hatari ya hasara na kukuza faida.

Tunajua hatari ya hasara haiwezi kuepukika bali kuipunguza inawezekana kwa kujielimisha kila leo.

Asante sana!
 
Rejea katika historia
Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine.

Ingawa kuna aina nyingi za akiba kutoka kwenye mazao mpaka nguo,mafuta, bidhaa n.k ila makala hii inajikita zaidi katika akiba ya fedha.

Zipo kanuni mbalimbali zinazotawala nguvu ya pesa ambazo zinabadilika kutoka kizazi hadi kizazi. Mfano; kanuni iliyotawala fedha kipindi cha zama za viwanda (industrial age) ni tofauti na kanuni inayotawala pesa kipindi cha zama za taarifa (information age). Nyakati za mapinduzi ya viwanda pesa ilikuwa ni kitu halisi na kilipewa nguvu kwa kutumia dhahabu. Zama za leo pesa si kitu halisi,ndo maana inaitwa "currency"; kwa maana ya kitu kinachomiminika kama maji na ndo maana serikali zinaweza kuchapisha noti mpya au la kwa kuzingatia mambo fulani fulani.

Mchwa wanaotafuna akiba ya pesa
Maamuzi ya uwekaji akiba wa pesa ni mithili ya mbwa aliyeficha mfupa kwa kuuchimbia ardhini. Huko kuna wadudu wanaoanza kuushambulia mara baada ya kuwa ameufukia. Baadhi ya mchwa wanaoshambulia pesa ni hawa wafuatao; kodi,tozo za benki,mfumko wa bei. Tutaangazia mchwa hawa kwa kisio kwamba mtu kaweka akiba ya pesa benki.
  1. Mfumko wa bei: Huu ni ule unaotokana na uchapaji wa pesa kwa wingi na kupelekea pesa kufurika kwenye mzunguko. Ni mbali na ule utokanao na uhaba wa bidhaa. Haijalishi pesa umeiweka benki au chini ya godoro lazima iathiriwe na mchwa hawa. Ni kodi ya kimya kimya ambayo hakuna anayeweza kuikwepa kuanzia tajiri mpaka masikini. Mfumko wa bei unasababisha kushuka kwa uwezo wa pesa kununua bidhaa. Kwa lugha rahisi ni kwamba bidhaa ambazo noti ya shilingi 1000 inaweza nunua leo ni nyingi ukilinganisha na bidhaa ambazo inaweza kununua baada ya miaka 10. Haijalishi umeweka akiba wapi,ila ujue wazi thamani ya pesa yako itapungua kutokana na mfumko wa bei.
  2. Kodi; Kanuni ya benki juu ya uwekaji wa akiba inaruhusu kulipa kodi katika viwango vya mapato,income tax cap rates. Kwa hiyo kama uliweka akiba kwa riba ya asilimia 5 kwa mwezi basi utakapokuja kuchukua pesa yako utatozwa kodi barabara na nanuni ya tozo la kipato. Kwa hiyo ukiachia mbali inflation bado kuna kodi ya serikali,PAYE( pay as you earn), ambayo itaitafuna hela yako.
  3. Tozo za benki; Hii ni gharama za utunzaji wa pesa kwenye akaunti benki.
Kanuni mpya ya pesa
Baada ya kuona mchwa hao unakuja kuona kwamba kuliko kuweka akiba ya pesa ni bora kuwekeza. Swali ni kwamba unawekeza kwa staili gani?

Ikiwa umeona kuna kodi,tozo na mfumko wa bei basi ni muhimu kuwekeza katika fursa ambazo zinafidia punguzo kinalotokana na mchwa hao.

Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa kanuni ya pesa katika zama za taarifa ni kuwekeza na siyo kuitunza kama akiba.

Aina za uwekezaji
Kuna kuwekeza kwa staili nyingi sana. Baadhi ya aina hizo ni hizi hapa chini;
  • Uwekezaji kwa ajili ya ongezeko la mtaji; Hii ni pale mtu anapoamua kununua bidhaa au kitu kwa gharama ndogo na kuuza kwa gharama kubwa. Faida anayoipata ndio inaitwa ongezeko la mtaji,capital gain.
  • Uwekezaji kwa ajili ya mtiririko wa pesa; Hii ni pale mtu ananunua assets ambazo zinakuwa zinampatia fedha mara kwa mara,(Investing for cashflow).Kwa mfano nyumba ya kupangisha. Hii ni mali ambayo inakupa pesa kila mwezi kwa kukusanya pango. Haijalishi kuna mfumko au mdololo wa bei.
  • Uwekezaji kwa ajili ya misamaha ya kodi(tax incentives); Huu ni uwekezaji katika miradi yenye misamaha ya kodi, miradi ambayo ni kipaumbele kwa serikali. Kwa mfano; miradi ya makazi, kilimo na ufugaji sanjari na uchimbaji wa madini. Aina hii ya uwekezaji huisaidia serikali kutoa huduma ambazo ilitakiwa kuzitoa. Kwa lugha rahisi ni uwekezaji unaoisaidia serikali kutekeleza majukumu yake kama vile utoaji wa ajira. Miradi hii hupata misamaha ya kodi.
Baada ya kuona staili hizi chache unaweza kujiuliza uwekeze kwa staili ipi?
Ushauri wangu
Badala ya kuweka hela benki,wekeza kwenye biashara au miradi ambayo itafidia thamani ya pesa yako kwa baadae kwa kuzingatia misamaha ya kodi na mfumko wa bei unaosababishwa na kuwepo kwa fedha nyingi kwenye mzunguko.

Kwa mfano; ukinunua nyumba kaa ajili ya kupangisha utapata ongezeko la mtaji kutokana na kupanda kwa thamani ya eneo, thamani ya nyumba na pia utapata mtiririko wa pesa wa kudumu kutokana na ukusanyaji wa pango.

Ikitokea soko la nyumba limedolola bado utaendelea kupata pesa za pango maana makazi ni hitaji la kila siku. Pia mapato ya pango kwa sasa hayatozwi kodi na serikali. Haijalishi kuna mdololo wa uchumi,kuna mdololo wa thamani ya pesa au la. Bado unauhakika wa kupata kipato.

Kumbuka,matajiri hawaweki akiba ya pesa benki. Wanawekeza kwenye mzunguko wa pesa. Tumia kanuni hii kunufaika na pesa yako.

Asante sana!
Thanks Mkuu.
 
Rejea katika historia
Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine.

Ingawa kuna aina nyingi za akiba kutoka kwenye mazao mpaka nguo,mafuta, bidhaa n.k ila makala hii inajikita zaidi katika akiba ya fedha.

Zipo kanuni mbalimbali zinazotawala nguvu ya pesa ambazo zinabadilika kutoka kizazi hadi kizazi. Mfano; kanuni iliyotawala fedha kipindi cha zama za viwanda (industrial age) ni tofauti na kanuni inayotawala pesa kipindi cha zama za taarifa (information age). Nyakati za mapinduzi ya viwanda pesa ilikuwa ni kitu halisi na kilipewa nguvu kwa kutumia dhahabu. Zama za leo pesa si kitu halisi,ndo maana inaitwa "currency"; kwa maana ya kitu kinachomiminika kama maji na ndo maana serikali zinaweza kuchapisha noti mpya au la kwa kuzingatia mambo fulani fulani.

Mchwa wanaotafuna akiba ya pesa
Maamuzi ya uwekaji akiba wa pesa ni mithili ya mbwa aliyeficha mfupa kwa kuuchimbia ardhini. Huko kuna wadudu wanaoanza kuushambulia mara baada ya kuwa ameufukia. Baadhi ya mchwa wanaoshambulia pesa ni hawa wafuatao; kodi,tozo za benki,mfumko wa bei. Tutaangazia mchwa hawa kwa kisio kwamba mtu kaweka akiba ya pesa benki.
  1. Mfumko wa bei: Huu ni ule unaotokana na uchapaji wa pesa kwa wingi na kupelekea pesa kufurika kwenye mzunguko. Ni mbali na ule utokanao na uhaba wa bidhaa. Haijalishi pesa umeiweka benki au chini ya godoro lazima iathiriwe na mchwa hawa. Ni kodi ya kimya kimya ambayo hakuna anayeweza kuikwepa kuanzia tajiri mpaka masikini. Mfumko wa bei unasababisha kushuka kwa uwezo wa pesa kununua bidhaa. Kwa lugha rahisi ni kwamba bidhaa ambazo noti ya shilingi 1000 inaweza nunua leo ni nyingi ukilinganisha na bidhaa ambazo inaweza kununua baada ya miaka 10. Haijalishi umeweka akiba wapi,ila ujue wazi thamani ya pesa yako itapungua kutokana na mfumko wa bei.
  2. Kodi; Kanuni ya benki juu ya uwekaji wa akiba inaruhusu kulipa kodi katika viwango vya mapato,income tax cap rates. Kwa hiyo kama uliweka akiba kwa riba ya asilimia 5 kwa mwezi basi utakapokuja kuchukua pesa yako utatozwa kodi barabara na nanuni ya tozo la kipato. Kwa hiyo ukiachia mbali inflation bado kuna kodi ya serikali,PAYE( pay as you earn), ambayo itaitafuna hela yako.
  3. Tozo za benki; Hii ni gharama za utunzaji wa pesa kwenye akaunti benki.
Kanuni mpya ya pesa
Baada ya kuona mchwa hao unakuja kuona kwamba kuliko kuweka akiba ya pesa ni bora kuwekeza. Swali ni kwamba unawekeza kwa staili gani?

Ikiwa umeona kuna kodi,tozo na mfumko wa bei basi ni muhimu kuwekeza katika fursa ambazo zinafidia punguzo kinalotokana na mchwa hao.

Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa kanuni ya pesa katika zama za taarifa ni kuwekeza na siyo kuitunza kama akiba.

Aina za uwekezaji
Kuna kuwekeza kwa staili nyingi sana. Baadhi ya aina hizo ni hizi hapa chini;
  • Uwekezaji kwa ajili ya ongezeko la mtaji; Hii ni pale mtu anapoamua kununua bidhaa au kitu kwa gharama ndogo na kuuza kwa gharama kubwa. Faida anayoipata ndio inaitwa ongezeko la mtaji,capital gain.
  • Uwekezaji kwa ajili ya mtiririko wa pesa; Hii ni pale mtu ananunua assets ambazo zinakuwa zinampatia fedha mara kwa mara,(Investing for cashflow).Kwa mfano nyumba ya kupangisha. Hii ni mali ambayo inakupa pesa kila mwezi kwa kukusanya pango. Haijalishi kuna mfumko au mdololo wa bei.
  • Uwekezaji kwa ajili ya misamaha ya kodi(tax incentives); Huu ni uwekezaji katika miradi yenye misamaha ya kodi, miradi ambayo ni kipaumbele kwa serikali. Kwa mfano; miradi ya makazi, kilimo na ufugaji sanjari na uchimbaji wa madini. Aina hii ya uwekezaji huisaidia serikali kutoa huduma ambazo ilitakiwa kuzitoa. Kwa lugha rahisi ni uwekezaji unaoisaidia serikali kutekeleza majukumu yake kama vile utoaji wa ajira. Miradi hii hupata misamaha ya kodi.
Baada ya kuona staili hizi chache unaweza kujiuliza uwekeze kwa staili ipi?
Ushauri wangu
Badala ya kuweka hela benki,wekeza kwenye biashara au miradi ambayo itafidia thamani ya pesa yako kwa baadae kwa kuzingatia misamaha ya kodi na mfumko wa bei unaosababishwa na kuwepo kwa fedha nyingi kwenye mzunguko.

Kwa mfano; ukinunua nyumba kaa ajili ya kupangisha utapata ongezeko la mtaji kutokana na kupanda kwa thamani ya eneo, thamani ya nyumba na pia utapata mtiririko wa pesa wa kudumu kutokana na ukusanyaji wa pango.

Ikitokea soko la nyumba limedolola bado utaendelea kupata pesa za pango maana makazi ni hitaji la kila siku. Pia mapato ya pango kwa sasa hayatozwi kodi na serikali. Haijalishi kuna mdololo wa uchumi,kuna mdololo wa thamani ya pesa au la. Bado unauhakika wa kupata kipato.

Kumbuka,matajiri hawaweki akiba ya pesa benki. Wanawekeza kwenye mzunguko wa pesa. Tumia kanuni hii kunufaika na pesa yako.

Asante sana!
Umenifungua baadhi ya vitu maana namuona kiyosaki huyu hapa nilikuwa nashidwa kuunganisha doti vizuri kwenye mazingira yanayo nizunguka
 
Rejea katika historia
Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine.

Ingawa kuna aina nyingi za akiba kutoka kwenye mazao mpaka nguo,mafuta, bidhaa n.k ila makala hii inajikita zaidi katika akiba ya fedha.

Zipo kanuni mbalimbali zinazotawala nguvu ya pesa ambazo zinabadilika kutoka kizazi hadi kizazi. Mfano; kanuni iliyotawala fedha kipindi cha zama za viwanda (industrial age) ni tofauti na kanuni inayotawala pesa kipindi cha zama za taarifa (information age). Nyakati za mapinduzi ya viwanda pesa ilikuwa ni kitu halisi na kilipewa nguvu kwa kutumia dhahabu. Zama za leo pesa si kitu halisi,ndo maana inaitwa "currency"; kwa maana ya kitu kinachomiminika kama maji na ndo maana serikali zinaweza kuchapisha noti mpya au la kwa kuzingatia mambo fulani fulani.

Mchwa wanaotafuna akiba ya pesa
Maamuzi ya uwekaji akiba wa pesa ni mithili ya mbwa aliyeficha mfupa kwa kuuchimbia ardhini. Huko kuna wadudu wanaoanza kuushambulia mara baada ya kuwa ameufukia. Baadhi ya mchwa wanaoshambulia pesa ni hawa wafuatao; kodi,tozo za benki,mfumko wa bei. Tutaangazia mchwa hawa kwa kisio kwamba mtu kaweka akiba ya pesa benki.
  1. Mfumko wa bei: Huu ni ule unaotokana na uchapaji wa pesa kwa wingi na kupelekea pesa kufurika kwenye mzunguko. Ni mbali na ule utokanao na uhaba wa bidhaa. Haijalishi pesa umeiweka benki au chini ya godoro lazima iathiriwe na mchwa hawa. Ni kodi ya kimya kimya ambayo hakuna anayeweza kuikwepa kuanzia tajiri mpaka masikini. Mfumko wa bei unasababisha kushuka kwa uwezo wa pesa kununua bidhaa. Kwa lugha rahisi ni kwamba bidhaa ambazo noti ya shilingi 1000 inaweza nunua leo ni nyingi ukilinganisha na bidhaa ambazo inaweza kununua baada ya miaka 10. Haijalishi umeweka akiba wapi,ila ujue wazi thamani ya pesa yako itapungua kutokana na mfumko wa bei.
  2. Kodi; Kanuni ya benki juu ya uwekaji wa akiba inaruhusu kulipa kodi katika viwango vya mapato,income tax cap rates. Kwa hiyo kama uliweka akiba kwa riba ya asilimia 5 kwa mwezi basi utakapokuja kuchukua pesa yako utatozwa kodi barabara na nanuni ya tozo la kipato. Kwa hiyo ukiachia mbali inflation bado kuna kodi ya serikali,PAYE( pay as you earn), ambayo itaitafuna hela yako.
  3. Tozo za benki; Hii ni gharama za utunzaji wa pesa kwenye akaunti benki.
Kanuni mpya ya pesa
Baada ya kuona mchwa hao unakuja kuona kwamba kuliko kuweka akiba ya pesa ni bora kuwekeza. Swali ni kwamba unawekeza kwa staili gani?

Ikiwa umeona kuna kodi,tozo na mfumko wa bei basi ni muhimu kuwekeza katika fursa ambazo zinafidia punguzo kinalotokana na mchwa hao.

Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa kanuni ya pesa katika zama za taarifa ni kuwekeza na siyo kuitunza kama akiba.

Aina za uwekezaji
Kuna kuwekeza kwa staili nyingi sana. Baadhi ya aina hizo ni hizi hapa chini;
  • Uwekezaji kwa ajili ya ongezeko la mtaji; Hii ni pale mtu anapoamua kununua bidhaa au kitu kwa gharama ndogo na kuuza kwa gharama kubwa. Faida anayoipata ndio inaitwa ongezeko la mtaji,capital gain.
  • Uwekezaji kwa ajili ya mtiririko wa pesa; Hii ni pale mtu ananunua assets ambazo zinakuwa zinampatia fedha mara kwa mara,(Investing for cashflow).Kwa mfano nyumba ya kupangisha. Hii ni mali ambayo inakupa pesa kila mwezi kwa kukusanya pango. Haijalishi kuna mfumko au mdololo wa bei.
  • Uwekezaji kwa ajili ya misamaha ya kodi(tax incentives); Huu ni uwekezaji katika miradi yenye misamaha ya kodi, miradi ambayo ni kipaumbele kwa serikali. Kwa mfano; miradi ya makazi, kilimo na ufugaji sanjari na uchimbaji wa madini. Aina hii ya uwekezaji huisaidia serikali kutoa huduma ambazo ilitakiwa kuzitoa. Kwa lugha rahisi ni uwekezaji unaoisaidia serikali kutekeleza majukumu yake kama vile utoaji wa ajira. Miradi hii hupata misamaha ya kodi.
Baada ya kuona staili hizi chache unaweza kujiuliza uwekeze kwa staili ipi?
Ushauri wangu
Badala ya kuweka hela benki,wekeza kwenye biashara au miradi ambayo itafidia thamani ya pesa yako kwa baadae kwa kuzingatia misamaha ya kodi na mfumko wa bei unaosababishwa na kuwepo kwa fedha nyingi kwenye mzunguko.

Kwa mfano; ukinunua nyumba kaa ajili ya kupangisha utapata ongezeko la mtaji kutokana na kupanda kwa thamani ya eneo, thamani ya nyumba na pia utapata mtiririko wa pesa wa kudumu kutokana na ukusanyaji wa pango.

Ikitokea soko la nyumba limedolola bado utaendelea kupata pesa za pango maana makazi ni hitaji la kila siku. Pia mapato ya pango kwa sasa hayatozwi kodi na serikali. Haijalishi kuna mdololo wa uchumi,kuna mdololo wa thamani ya pesa au la. Bado unauhakika wa kupata kipato.

Kumbuka,matajiri hawaweki akiba ya pesa benki. Wanawekeza kwenye mzunguko wa pesa. Tumia kanuni hii kunufaika na pesa yako.

Asante sana!
Shule Toyasha ya Robert Kiyosaki
 
Rejea katika historia
Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine.

Ingawa kuna aina nyingi za akiba kutoka kwenye mazao mpaka nguo,mafuta, bidhaa n.k ila makala hii inajikita zaidi katika akiba ya fedha.

Zipo kanuni mbalimbali zinazotawala nguvu ya pesa ambazo zinabadilika kutoka kizazi hadi kizazi. Mfano; kanuni iliyotawala fedha kipindi cha zama za viwanda (industrial age) ni tofauti na kanuni inayotawala pesa kipindi cha zama za taarifa (information age). Nyakati za mapinduzi ya viwanda pesa ilikuwa ni kitu halisi na kilipewa nguvu kwa kutumia dhahabu. Zama za leo pesa si kitu halisi,ndo maana inaitwa "currency"; kwa maana ya kitu kinachomiminika kama maji na ndo maana serikali zinaweza kuchapisha noti mpya au la kwa kuzingatia mambo fulani fulani.

Mchwa wanaotafuna akiba ya pesa
Maamuzi ya uwekaji akiba wa pesa ni mithili ya mbwa aliyeficha mfupa kwa kuuchimbia ardhini. Huko kuna wadudu wanaoanza kuushambulia mara baada ya kuwa ameufukia. Baadhi ya mchwa wanaoshambulia pesa ni hawa wafuatao; kodi,tozo za benki,mfumko wa bei. Tutaangazia mchwa hawa kwa kisio kwamba mtu kaweka akiba ya pesa benki.
  1. Mfumko wa bei: Huu ni ule unaotokana na uchapaji wa pesa kwa wingi na kupelekea pesa kufurika kwenye mzunguko. Ni mbali na ule utokanao na uhaba wa bidhaa. Haijalishi pesa umeiweka benki au chini ya godoro lazima iathiriwe na mchwa hawa. Ni kodi ya kimya kimya ambayo hakuna anayeweza kuikwepa kuanzia tajiri mpaka masikini. Mfumko wa bei unasababisha kushuka kwa uwezo wa pesa kununua bidhaa. Kwa lugha rahisi ni kwamba bidhaa ambazo noti ya shilingi 1000 inaweza nunua leo ni nyingi ukilinganisha na bidhaa ambazo inaweza kununua baada ya miaka 10. Haijalishi umeweka akiba wapi,ila ujue wazi thamani ya pesa yako itapungua kutokana na mfumko wa bei.
  2. Kodi; Kanuni ya benki juu ya uwekaji wa akiba inaruhusu kulipa kodi katika viwango vya mapato,income tax cap rates. Kwa hiyo kama uliweka akiba kwa riba ya asilimia 5 kwa mwezi basi utakapokuja kuchukua pesa yako utatozwa kodi barabara na nanuni ya tozo la kipato. Kwa hiyo ukiachia mbali inflation bado kuna kodi ya serikali,PAYE( pay as you earn), ambayo itaitafuna hela yako.
  3. Tozo za benki; Hii ni gharama za utunzaji wa pesa kwenye akaunti benki.
Kanuni mpya ya pesa
Baada ya kuona mchwa hao unakuja kuona kwamba kuliko kuweka akiba ya pesa ni bora kuwekeza. Swali ni kwamba unawekeza kwa staili gani?

Ikiwa umeona kuna kodi,tozo na mfumko wa bei basi ni muhimu kuwekeza katika fursa ambazo zinafidia punguzo kinalotokana na mchwa hao.

Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa kanuni ya pesa katika zama za taarifa ni kuwekeza na siyo kuitunza kama akiba.

Aina za uwekezaji
Kuna kuwekeza kwa staili nyingi sana. Baadhi ya aina hizo ni hizi hapa chini;
  • Uwekezaji kwa ajili ya ongezeko la mtaji; Hii ni pale mtu anapoamua kununua bidhaa au kitu kwa gharama ndogo na kuuza kwa gharama kubwa. Faida anayoipata ndio inaitwa ongezeko la mtaji,capital gain.
  • Uwekezaji kwa ajili ya mtiririko wa pesa; Hii ni pale mtu ananunua assets ambazo zinakuwa zinampatia fedha mara kwa mara,(Investing for cashflow).Kwa mfano nyumba ya kupangisha. Hii ni mali ambayo inakupa pesa kila mwezi kwa kukusanya pango. Haijalishi kuna mfumko au mdololo wa bei.
  • Uwekezaji kwa ajili ya misamaha ya kodi(tax incentives); Huu ni uwekezaji katika miradi yenye misamaha ya kodi, miradi ambayo ni kipaumbele kwa serikali. Kwa mfano; miradi ya makazi, kilimo na ufugaji sanjari na uchimbaji wa madini. Aina hii ya uwekezaji huisaidia serikali kutoa huduma ambazo ilitakiwa kuzitoa. Kwa lugha rahisi ni uwekezaji unaoisaidia serikali kutekeleza majukumu yake kama vile utoaji wa ajira. Miradi hii hupata misamaha ya kodi.
Baada ya kuona staili hizi chache unaweza kujiuliza uwekeze kwa staili ipi?
Ushauri wangu
Badala ya kuweka hela benki,wekeza kwenye biashara au miradi ambayo itafidia thamani ya pesa yako kwa baadae kwa kuzingatia misamaha ya kodi na mfumko wa bei unaosababishwa na kuwepo kwa fedha nyingi kwenye mzunguko.

Kwa mfano; ukinunua nyumba kaa ajili ya kupangisha utapata ongezeko la mtaji kutokana na kupanda kwa thamani ya eneo, thamani ya nyumba na pia utapata mtiririko wa pesa wa kudumu kutokana na ukusanyaji wa pango.

Ikitokea soko la nyumba limedolola bado utaendelea kupata pesa za pango maana makazi ni hitaji la kila siku. Pia mapato ya pango kwa sasa hayatozwi kodi na serikali. Haijalishi kuna mdololo wa uchumi,kuna mdololo wa thamani ya pesa au la. Bado unauhakika wa kupata kipato.

Kumbuka,matajiri hawaweki akiba ya pesa benki. Wanawekeza kwenye mzunguko wa pesa. Tumia kanuni hii kunufaika na pesa yako.

Asante sana!
Umeongea point mashaallah
 
Rejea katika historia
Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine.

Ingawa kuna aina nyingi za akiba kutoka kwenye mazao mpaka nguo,mafuta, bidhaa n.k ila makala hii inajikita zaidi katika akiba ya fedha.

Zipo kanuni mbalimbali zinazotawala nguvu ya pesa ambazo zinabadilika kutoka kizazi hadi kizazi. Mfano; kanuni iliyotawala fedha kipindi cha zama za viwanda (industrial age) ni tofauti na kanuni inayotawala pesa kipindi cha zama za taarifa (information age). Nyakati za mapinduzi ya viwanda pesa ilikuwa ni kitu halisi na kilipewa nguvu kwa kutumia dhahabu. Zama za leo pesa si kitu halisi,ndo maana inaitwa "currency"; kwa maana ya kitu kinachomiminika kama maji na ndo maana serikali zinaweza kuchapisha noti mpya au la kwa kuzingatia mambo fulani fulani.

Mchwa wanaotafuna akiba ya pesa
Maamuzi ya uwekaji akiba wa pesa ni mithili ya mbwa aliyeficha mfupa kwa kuuchimbia ardhini. Huko kuna wadudu wanaoanza kuushambulia mara baada ya kuwa ameufukia. Baadhi ya mchwa wanaoshambulia pesa ni hawa wafuatao; kodi,tozo za benki,mfumko wa bei. Tutaangazia mchwa hawa kwa kisio kwamba mtu kaweka akiba ya pesa benki.
  1. Mfumko wa bei: Huu ni ule unaotokana na uchapaji wa pesa kwa wingi na kupelekea pesa kufurika kwenye mzunguko. Ni mbali na ule utokanao na uhaba wa bidhaa. Haijalishi pesa umeiweka benki au chini ya godoro lazima iathiriwe na mchwa hawa. Ni kodi ya kimya kimya ambayo hakuna anayeweza kuikwepa kuanzia tajiri mpaka masikini. Mfumko wa bei unasababisha kushuka kwa uwezo wa pesa kununua bidhaa. Kwa lugha rahisi ni kwamba bidhaa ambazo noti ya shilingi 1000 inaweza nunua leo ni nyingi ukilinganisha na bidhaa ambazo inaweza kununua baada ya miaka 10. Haijalishi umeweka akiba wapi,ila ujue wazi thamani ya pesa yako itapungua kutokana na mfumko wa bei.
  2. Kodi; Kanuni ya benki juu ya uwekaji wa akiba inaruhusu kulipa kodi katika viwango vya mapato,income tax cap rates. Kwa hiyo kama uliweka akiba kwa riba ya asilimia 5 kwa mwezi basi utakapokuja kuchukua pesa yako utatozwa kodi barabara na nanuni ya tozo la kipato. Kwa hiyo ukiachia mbali inflation bado kuna kodi ya serikali,PAYE( pay as you earn), ambayo itaitafuna hela yako.
  3. Tozo za benki; Hii ni gharama za utunzaji wa pesa kwenye akaunti benki.
Kanuni mpya ya pesa
Baada ya kuona mchwa hao unakuja kuona kwamba kuliko kuweka akiba ya pesa ni bora kuwekeza. Swali ni kwamba unawekeza kwa staili gani?

Ikiwa umeona kuna kodi,tozo na mfumko wa bei basi ni muhimu kuwekeza katika fursa ambazo zinafidia punguzo kinalotokana na mchwa hao.

Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa kanuni ya pesa katika zama za taarifa ni kuwekeza na siyo kuitunza kama akiba.

Aina za uwekezaji
Kuna kuwekeza kwa staili nyingi sana. Baadhi ya aina hizo ni hizi hapa chini;
  • Uwekezaji kwa ajili ya ongezeko la mtaji; Hii ni pale mtu anapoamua kununua bidhaa au kitu kwa gharama ndogo na kuuza kwa gharama kubwa. Faida anayoipata ndio inaitwa ongezeko la mtaji,capital gain.
  • Uwekezaji kwa ajili ya mtiririko wa pesa; Hii ni pale mtu ananunua assets ambazo zinakuwa zinampatia fedha mara kwa mara,(Investing for cashflow).Kwa mfano nyumba ya kupangisha. Hii ni mali ambayo inakupa pesa kila mwezi kwa kukusanya pango. Haijalishi kuna mfumko au mdololo wa bei.
  • Uwekezaji kwa ajili ya misamaha ya kodi(tax incentives); Huu ni uwekezaji katika miradi yenye misamaha ya kodi, miradi ambayo ni kipaumbele kwa serikali. Kwa mfano; miradi ya makazi, kilimo na ufugaji sanjari na uchimbaji wa madini. Aina hii ya uwekezaji huisaidia serikali kutoa huduma ambazo ilitakiwa kuzitoa. Kwa lugha rahisi ni uwekezaji unaoisaidia serikali kutekeleza majukumu yake kama vile utoaji wa ajira. Miradi hii hupata misamaha ya kodi.
Baada ya kuona staili hizi chache unaweza kujiuliza uwekeze kwa staili ipi?
Ushauri wangu
Badala ya kuweka hela benki,wekeza kwenye biashara au miradi ambayo itafidia thamani ya pesa yako kwa baadae kwa kuzingatia misamaha ya kodi na mfumko wa bei unaosababishwa na kuwepo kwa fedha nyingi kwenye mzunguko.

Kwa mfano; ukinunua nyumba kaa ajili ya kupangisha utapata ongezeko la mtaji kutokana na kupanda kwa thamani ya eneo, thamani ya nyumba na pia utapata mtiririko wa pesa wa kudumu kutokana na ukusanyaji wa pango.

Ikitokea soko la nyumba limedolola bado utaendelea kupata pesa za pango maana makazi ni hitaji la kila siku. Pia mapato ya pango kwa sasa hayatozwi kodi na serikali. Haijalishi kuna mdololo wa uchumi,kuna mdololo wa thamani ya pesa au la. Bado unauhakika wa kupata kipato.

Kumbuka,matajiri hawaweki akiba ya pesa benki. Wanawekeza kwenye mzunguko wa pesa. Tumia kanuni hii kunufaika na pesa yako.

Asante sana!
Lakini pia nina Swali....vipi sasa kwa yule ambae huna mda wa kufanya Biashara mfano Mwanafunzi wa Chuo na hana pesa ya Kutosha kununua kitu ambacho kinaweza mtengenezea Cashflow.... Unamshauri nini?
 
Lakini pia nina Swali....vipi sasa kwa yule ambae huna mda wa kufanya Biashara mfano Mwanafunzi wa Chuo na hana pesa ya Kutosha kununua kitu ambacho kinaweza mtengenezea Cashflow.... Unamshauri nini?
Ukikosa muda au nia ya kufanya biashara, njia ya kuwekeza mahali ambapo mchwa hawatakuathiri kama kwenye akiba za benki ni kwenye mifuko ya uwekezaji wa pamoja. Hapa kwetu Tanzania UTT ndio huendesha mifuko kama hiyo.
 
Back
Top Bottom