Maswali yenye Utata Kifo cha Balozi C. Mushi. Nini kipo nyuma yake?

sasa utata unatokea wapi hapo?
hizo ni stress tu.

lakini pia jambo muhimu la kujifunza ni kwa wateule wa nfasi za juu lazima wawe na maadili yasiyotiliwa shaka.
ukosefu wa maadili ni tatuzi kubwa sana kwa viongozi wetu, VITENDO VYA RUSHWA NA NGONO, NGONO, NGONO maofisini ni tatizo sana sana, Ngono ngono
Ha ha ha
 
Yap nakumbuka jamaa alikuwa katibu/msaidizi wa waziri mkuu lowasa.
Jamaa mtu wa totozi sana alikuwa anamkula hoisi temu akamuunganisha kazi UN zen akamconect kwenye ubalozi.
Jamaa alikuwa muhunimuhuni flani
Marehemu alikuwa anakojolea pazuri.
R.I.P
 
Huyu jamaa taarifa nilizonazo ni kweli kuwa alirudishwa home kwa kuwa pale Swiss alituhumiwa kubaka.Na kwa mujibu wa watu wa karibu na marehemu aliyemtuhumu marehemu kwamba alitaka kubakwa ni mwanamke ambaye walikuwa nae katika mahusiano.Ingawa taarifa hiyo haikuweka wazi kuwa mwanamke huyo alikuwa wa Uswis au nchi nyingine.Taarifa zinasema kuwa ,mtu huyo alifikisha taarifa kwa mamlaka za nchi hiyo ya bara la Ulaya kuhusu kutaka kubakwa na marehemu balozi.Aidha taarifa zinasema kuwa ,inawezekana' kabisa kuwa marehemu Balozi alikuwa katika mahusiano na mtu huyo lakin baada ya mahusiano kuvunjika na vurugu za hapa na pale ndio mwanamke huyo alipofikisha taarifa za kubakwa kwa mamlaka za huko Ulaya.Taarifa hizo zinadai kuwa mwanamke huyo alikuwa na ushahid wa picha na video za vitendo hivyo vya balozi.Aidha imedaiwa kuwa mwanamke huyo alifanya kitendo hicho baada ya kuona mawasiliano ya balozi na mke wake .Ingawa balozi alimdanganya kwanza kuwa hana mke.Kwa mujibu wa taarifa hizo ,mke wa balozi ambaye pia anaishi Ulaya ni mtanzania ,mwanasheria na ni mfanyakaz wa shirika la umoja wa mataifa.Kwa upande mwingine kifo cha balozi kimeleta simanzi na huzuni kwa kuwa amekufa kwa utata.
Kwamba mapenzi yana run dunia?
 
Yale yale ya Imran Kombe,

Huyu balozi kama kweli alikuwa na kesi ya ubakaji huko ughaibuni ndio maana akakimbilia nyumbani,aliisha kuwa "compromised"sasa inawezekana waliotaka ku "mrecruit"waliona Bora wamuondoe,au Kuna Siri alivujisha,Idara ikaona huyu hafai Tena,Bora atulizwe milele.

Kwa idara yetu,ambayo ipo bize kuiba kura,na kuilinda ccm,nchi haipo salama,Nina hakika,wanadiplimasia wetu wengi,wapo compromised sana,wanavujisha Siri za nchi,kwa kujua ama kutokujua!!

Sasa sijuhi ni kwa kiwango gani,nchi yetu na systems zipo penetrated.
Kwahiyo idara ya usalama wa taifa ni idara ya usalama wa cccm
 
Back
Top Bottom