Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 901
- 907
Ha ha hasasa utata unatokea wapi hapo?
hizo ni stress tu.
lakini pia jambo muhimu la kujifunza ni kwa wateule wa nfasi za juu lazima wawe na maadili yasiyotiliwa shaka.
ukosefu wa maadili ni tatuzi kubwa sana kwa viongozi wetu, VITENDO VYA RUSHWA NA NGONO, NGONO, NGONO maofisini ni tatizo sana sana, Ngono ngono