Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
Atangaze mali zake ndio itamfanya kutimiza sifa za kutiwa mzalendo? Zzk anakuwa kama lori la budege kwa tamaa ya kujenga chama
Mmawia,punguza kidogo rafiki..................Uzalendo siyo wakuongea na wa kutenda...........