Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nimefuatilia maswali ambayo yanaulizwa na ITV kwa kile kinachoitwa "Kipima Joto". Maswali haya ambayo yana lengo la kupoll kujua watu wana misimamo gani juu ya masuala mbalimbali ya kisiasa na kijamii. Naomba nikiri kuwa hadi hivi sasa maswali haya tayari yanaashiria wanataka jibu gani (suggestive questions) kiasi kwamba ni vigumu kweli kupata mtu anayepinga au mwenye msimamo tofauti.
Pendekezo: Jaribu kuuliza maswali ambayo hayaashirii jibu mnalolitaka.
Huwezi kumuuliza mtu "Je, mauaji ya Albino yalaaniwe?" au "Unafikiri wanaokula rushwa wafikishwe mahakamani?"!
Pendekezo: Jaribu kuuliza maswali ambayo hayaashirii jibu mnalolitaka.
Huwezi kumuuliza mtu "Je, mauaji ya Albino yalaaniwe?" au "Unafikiri wanaokula rushwa wafikishwe mahakamani?"!