wilchuma
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,102
- 333
It doesn't matter what u know, but whom u know.
oh yeah just like in the A man of the people.
It doesn't matter what u know, but whom u know.
Kimei yeye ana dogodogo moja pale Michocheni B ndio anamega kiaina.....kamnunulia gari aina ya Vits.......chezeya wenye cheo wewe
namshukuru mungu kunileta Denmark. Nitaosha vyombo nakufagia kwa aman.bongo ni shida kila mara. Mitanzania tunaoneana sana. Al stick my damn phaqin asssssss here for along time.
Aisee ni balaa, kama huyu dogo wa mikocheni kamaliza form four mwaka juzi ila saizi ni kiburudisho cha mzee Kimei........kamnunulia ka Vits.......huu ni ufisadi uliokubuhu wa kuharibu watoto wetu kisa umasikini waoJamani ivi huyo Kimea anatatizo gani? Mbona anawatafuna hivi?
Mmoja alikuwa kitengo cha copotare tax wakati naaznisha kikampuni changu alinisaidia sana si kwa maana ya rushwa la hasha nilikumbana na maswali kibao bahati mbaya hakujua mimi ni mhasibu aliyekubuu kwahiyo maswali yake yote nilimjibu sawa sawa kwakuwa nilijua ningeterereka kiduchu angenitandika kodi ya kufa mtu.
Ki ukweli wapo vizuri sana hawana dalili za rushwa wapo makini sana.Sema mfumo wa TRA si rafiki sana kwa wafanakazi wa aina yao.Wameridhika na kazi na mishahara wanayolipwa.Huo ndio ukweli mchungu ndio maana wale waMama wa siku nyingi (Mama Mushi,Mama Sekei,Mama mke wa RPC Mwanza........ hawana elimu wala uelewa wa mambo sana sana wanataka rushwa ) lazima watawapiga vita kwasababu hawana elimu wala ujuzi stahiki.
Jiulize wafanyakazi wa TRA Arusha wangapi wana CPA utakuta hawazidi wafanyakazi 5 mkoa mzima wanapoona kuna damu changa imeingia katika anga zao lazima watatia fitina ya kufa mtu.
Nami pia. Enzi za mwalimu Serereni, etc...
Nawakumbuka sana hawa walishafanya fild TANESCO ARUSHA watoto wanagawa mbunye hao usiombe, ha ha haaaa kumbe wapo TRA muda tu utaskia wapo wizara ya fedha. Nchi inawenyewe hii na wanatabia moja ya kuchangia mwanaume!!!
Kwahiyo ukioa mmoja mwingine bonus? Una uhakika mkuu?
Kimei yeye ana dogodogo moja pale Michocheni B ndio anamega kiaina.....kamnunulia gari aina ya Vits.......chezeya wenye cheo wewe
Rished Bade, aliehaharibu Barclays wakamshusha cheo....leo hii ndio anakuwa mkurugenzi wa TRA!!
Nchii haiwezi kuendelea hadi mfumo huu wa ki-CCM ufe.
buy one.....!!!!
WAlikuwa wapo njema sana kichwani...Kwa kifupi lile darasa lao la Kina Anjela |Kibada lilikuwa powa sana...
Kama avatar yako mkuu
Ni sheeedah
nilivyosoma mapacha wote tra maswali yamekuja kichwan mengi tu kuhusu ajira zao..
pili kuna mtu kawasifia vichwa sana. but maswali bado yamekuja kuhusu vichwa vya nchi kusoma muccobs undergraduate.. nalo jibu limesema hapana sio kweli?
hawa wapo smart kuliko vichwa vya b com udsm, baf mzumbe etc etc hadi wote washinde interview sehem moja nyeti tra arusha.
je huko arusha wakat wa usaili vichwa kutoka vyuo vingine hawakuomba nafasi?
namshukuru mungu kunileta Denmark. Nitaosha vyombo nakufagia kwa aman.bongo ni shida kila mara. Mitanzania tunaoneana sana. Al stick my damn phaqin asssssss here for along time.