Maswali magumu kuhusu mapacha hawa TRA Arusha

Maswali magumu kuhusu mapacha hawa TRA Arusha

Huu ni usongo na roho mbaya tu, anaewasema hao wanawake mapacha ni roho mbaya tu, hana uwezo zaidi yao. Hivyo ni vichwa.
 
Huyu yawezekana ni staff member hapo TRA,maana nilijua kuna la maana kumbe uzandiki tu.
 
Nimahawara wa mmoja wa waliopiga picha nao.
 
Mkuu buswelu moja bahati nzuri wote wawili nawafahamu,wote wawili wamesoma ushirika Moshi BAF na wote wawili wana CPA (T) kabla hawajapata ajira TRA.Mara baada ya kumaliza chuo Carolight aliajiriwa Safari Legacy kama Account Receivable Controller.

1.Tukitaka kuanza lawama kwanza tuwalaumu Moshi Co-operative University (MUCCoBS) ni kwanini walikubali mapacha wasome pamoja tena course moja ?.

2. Ni kwanini NBAA walikubali kuwapokea mapacha katika program ya CPA (T) katika awamu mmoja tena wakafauli wote wakati mmoja huku wakijua hawa ni mapacha.

3. Ni kwanini wazazi wao walikubali hawa mapacha wasome kozi moja,hapa wazazi walistahili lawama pengine mmoja angesoma Law na mwingine angesoma nursing kusingekuwa na chance ya kupata ajira sehemu mmoja.

4. Tuwalaumu mapacha wenyewe ni kwanini wao ni mapacha na ni kwanini wanapenda kuvaa viatu sawa,nguo sawa na nk.


Maswali mengine nje ya hawa mapacha.

Jiulize katika awamu yao ya ajira ni wangapi walikuwa na CPA (T) wakaachwa wakajirwa wao ?.Labda kama una inventory ya wafanyakazi wa TRA niambie wafanyakazi wangapi ni CPA (T) holder ?.Mimi ni mlipa kodi nawajua Regional Managers wenye diploma,nawajua District Managers wenye certificates (A Tech II) tena karibu watastaafu,nawajua wafanyakazi wengi wa TRA Form IV kuanzia level ya mkoa na wilaya unaweza kukuta hawa wapo kundi la kulalamika hawajapewa scholarship wakati umri wa kustaafu umekaribia,sifa za kwenda kusoma level ya juu hawana ndio maana wamebaki na majungu.

Tuache lawama zisizo na maana kama ni kulalamika nilitarajia ungelalamikia serekali yako ya Tanganyika kwa kukubali kutoa ajira katika wizara za muungano 21% kwa waZanzibar.





Wakuu wa JF poleni na majukumu ya kila kukicha katika kuhakikisha taifa hili linasonga mbele hususani katika masuala ya uwazi na uwajibikaji.
Leo ninaleta taarifa mpya kabisa kutoka mamlaka ya mapato(TRA) mkoani Arusha nah ii si nyingine ni kuhusu wasichana wawili ambao ni mapacha na watumishi wa mamlaka hii mkoani hapa.

Mapacha hawa wa kike mmoja anaitwa Carolight Ntinku na mwingine anaitwa Caroline Ntinku,hawa kwa taarifa tulizonazo hawana muda mrefu tangu wapate ajira ndani ya ofisi hii.

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya chini kwa chini kutoka kwa baadhi ya watumishi wa TRA Arusha kuhusu wasichana hawa na miongoni mwao ni kuhusu suala la upendeleo unaofanyika kwa watu hawa.

Baadhi ya watumishi wanalalamika chini kwa chini sisi tumeamua kuanika wazi sasa kwamba wanapendelewa nafasi za mafunzo kupitia TRA nje ya nchi na taarifa za ndani ni kwamba hivi karibuni wamepata scholarship nje ya nchi kupitia mgongo wa TRA kwenda kusoma .

Baadhi ya watumishi wanadai kwamba wao wana muda mrefu ndani ya ofisi hii na walishajaribu mara kadhaa kuomba nafasi ya kwenda kimasomo nje ya nchi kupitia TRA lakini hawajapata nafasi hizo lakini kwa muda mchache wasichana hawa wamepata nafasi ghafla hali ambayo inaibua mzozo mkubwa.

Kuna taarifa ambazo si rasmi kwamba kuna kigogo wa TRA makao makuu kwenye nafasi ya Human Resource wana undugu naye wa karibu na yeye ndiye amekuwa akihusishwa na mpango wa kuwatengenezea mchongo wasichana hawa.

Kingine ni kuhusu malalamiko kwamba wasichana hawa wamekuwa na kiburi na jeuri ndani ya TRA katika majukumu yao ya kikazi,kwa kuwa wanalindwa na baadhi ya vigogo ndani ya TRA H.Q mwenye ukweli juu ya hili atuletee tuwajue.

Lakini kuna taarifa nyingine zilizozagaa hapa mjini Arusha kuwa wasichana hawa mapacha wamekuwa wanadaiwa kwamba wamekuwa wakitumia vyeo vyao kuwatishia baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao,na madai ya kuomba na kupokea rushwa tunaomba TAKUKURU Arusha sasa waingilie kati hili.

Wadau tunaomba mtu yoyote mwenye mapenzi mema na nchi yetu atumwagie data za wasichana hawa kama ni kweli au la ili tuujue ukweli wa ndani,naamini tutachangia bila jazba kwa lengo la kujenga na si kubomoa,asante tumeweka na picha ya mmoja wa wasichana hao aitwaye caroline

wadau
 
Last edited by a moderator:
Pigeni majungu tu kwa kulalia bahati za wenzenu milango wazi,kuajiriwa imekua nongwa walivosoma arusha sec na ushirika pamoja hamjahoji! Kazi ndo mwaitolea macho? Looh,acheni jamani
 
roho mbaya roho za husda ufitini uzandiki ufukunyuku ushiranga tu hakuna kingine tupia kule kwenye kapu
namshukuru mungu kunileta Denmark. Nitaosha vyombo nakufagia kwa aman.bongo ni shida kila mara. Mitanzania tunaoneana sana. Al stick my damn phaqin asssssss here for along time.
 
by Manyerere Jackton;
Mbona hamjoji baba, mama na mtoto ambao wote ni wajumbe wa NEC


Mkuu Manyerere Jackton Umezichoka kucha zako?
 
Last edited by a moderator:
Oohoooo...how lucky they are...huenda ikawa Mungu wao kawapigania km alivyowapigania ktk masomo yao
 

Attachments

  • 1412174501842.jpg
    1412174501842.jpg
    29.8 KB · Views: 1,389

Wakuu wa JF poleni na majukumu ya kila kukicha katika kuhakikisha taifa hili linasonga mbele hususani katika masuala ya uwazi na uwajibikaji.
Leo ninaleta taarifa mpya kabisa kutoka mamlaka ya mapato(TRA) mkoani Arusha nah ii si nyingine ni kuhusu wasichana wawili ambao ni mapacha na watumishi wa mamlaka hii mkoani hapa.

Mapacha hawa wa kike mmoja anaitwa Carolight Ntinku na mwingine anaitwa Caroline Ntinku,hawa kwa taarifa tulizonazo hawana muda mrefu tangu wapate ajira ndani ya ofisi hii.

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya chini kwa chini kutoka kwa baadhi ya watumishi wa TRA Arusha kuhusu wasichana hawa na miongoni mwao ni kuhusu suala la upendeleo unaofanyika kwa watu hawa.

Baadhi ya watumishi wanalalamika chini kwa chini sisi tumeamua kuanika wazi sasa kwamba wanapendelewa nafasi za mafunzo kupitia TRA nje ya nchi na taarifa za ndani ni kwamba hivi karibuni wamepata scholarship nje ya nchi kupitia mgongo wa TRA kwenda kusoma .

Baadhi ya watumishi wanadai kwamba wao wana muda mrefu ndani ya ofisi hii na walishajaribu mara kadhaa kuomba nafasi ya kwenda kimasomo nje ya nchi kupitia TRA lakini hawajapata nafasi hizo lakini kwa muda mchache wasichana hawa wamepata nafasi ghafla hali ambayo inaibua mzozo mkubwa.

Kuna taarifa ambazo si rasmi kwamba kuna kigogo wa TRA makao makuu kwenye nafasi ya Human Resource wana undugu naye wa karibu na yeye ndiye amekuwa akihusishwa na mpango wa kuwatengenezea mchongo wasichana hawa.

Kingine ni kuhusu malalamiko kwamba wasichana hawa wamekuwa na kiburi na jeuri ndani ya TRA katika majukumu yao ya kikazi,kwa kuwa wanalindwa na baadhi ya vigogo ndani ya TRA H.Q mwenye ukweli juu ya hili atuletee tuwajue.

Lakini kuna taarifa nyingine zilizozagaa hapa mjini Arusha kuwa wasichana hawa mapacha wamekuwa wanadaiwa kwamba wamekuwa wakitumia vyeo vyao kuwatishia baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao,na madai ya kuomba na kupokea rushwa tunaomba TAKUKURU Arusha sasa waingilie kati hili.

Wadau tunaomba mtu yoyote mwenye mapenzi mema na nchi yetu atumwagie data za wasichana hawa kama ni kweli au la ili tuujue ukweli wa ndani,naamini tutachangia bila jazba kwa lengo la kujenga na si kubomoa,asante tumeweka na picha ya mmoja wa wasichana hao aitwaye caroline

wadau

He! We jamaa yaani huogopi! Una hamu ya kung'olewa meno na kucha kwa nyundo sio ehe! Huyo sio mwenzio, ogopa hao jamaa wenye makoti.
 
Inshort wanauwezo mkubwa darasan nadhan wanastahili
 
Wakati wa mzee ben mkapa, wizara ya maendeleo ya jamii ilikuwa hivi: waziri alikuwa asha-rose migiro. Katibu wa wizara alikuwa mwantumu. Hawa wote ni ndugu moja.
 
Back
Top Bottom