nilivyosoma mapacha wote tra maswali yamekuja kichwan mengi tu kuhusu ajira zao..
pili kuna mtu kawasifia vichwa sana. but maswali bado yamekuja kuhusu vichwa vya nchi kusoma muccobs undergraduate.. nalo jibu limesema hapana sio kweli?
hawa wapo smart kuliko vichwa vya b com udsm, baf mzumbe etc etc hadi wote washinde interview sehem moja nyeti tra arusha.
je huko arusha wakat wa usaili vichwa kutoka vyuo vingine hawakuomba nafasi?
Aiseee nipo na wewe swali ulilojiuliza kipengele cha mwisho tuu ila hivo vipengele vingine vimenipa maswali pia kuhusu wewe kufikiria kwako... Hv Tanzania ya leo ilivojaa watu wengi na kila mtu anapenda kusoma kweli bado unafikiri the so called vichwa wanatoka udsm na hvyo vyuo vingine umetaja? Tupo maofisini na tunaona performance na uwezo wa watu kutoka vyuo tofauti,wapo watu wamesoma vyuo havina majina kama ud lakini wanautendaji wa kazi na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi kwa ufasaha mnooo kuliko hata mtu alietoka chuo chenye jina... wapo walimu/maproffesor wa udsm wanafundisha vyuo vingine pia,siku zote usione jambo afanyalo mwingine ni rahisi km hujawah fanya nakuona urahisi wake,
wht i know muccobs z one of the best universities in tz nakushangaa wewe unayesema muccobs hakiwezi toa vichwa zaidi ya udsm etc.