Mkuu umeulizwa ka uko denmark,au unatafuta kiki.
Mshamba tu huyo kila akichangia lazima aseme yuko denmark utafikiri kaulizwa,mashauzi mpauko tu.
Mkuu umeulizwa ka uko denmark,au unatafuta kiki.
Aisee ni balaa, kama huyu dogo wa mikocheni kamaliza form four mwaka juzi ila saizi ni kiburudisho cha mzee Kimei........kamnunulia ka Vits.......huu ni ufisadi uliokubuhu wa kuharibu watoto wetu kisa umasikini wao
nilichouliza ni kwamba wanafunzi vichwa waliofaulu vizuri toka secondary, a level etc kuchagua kusoma muccobs undergraduate wakati uwezo wao ungeruhusu wachaguliwe vyuo vingine kama udsm, mzumbe etc je inawezekana kweli?
naomba unitajie mwanafunzi mmoja tu aloyewahi kuingia top ten ya taifa ( best student top 10) aliyewahi kusoma muccobs undergraduate kwa uamuzi wake mwenyewe na akamaliza hapo muccobs, naomba jina lake na mwaka aliomaliza.
usibishe tu mradi unabisha. naomba ubishe kwa facts. hao mapacha wangekuwa vichwa kweli kweli waliofauku vizuri form 6 wasingeishia kusoma muccobs... hao ni average students tu network imewabeba hapo tra
nilichouliza ni kwamba wanafunzi vichwa waliofaulu vizuri toka secondary, a level etc kuchagua kusoma muccobs undergraduate wakati uwezo wao ungeruhusu wachaguliwe vyuo vingine kama udsm, mzumbe etc je inawezekana kweli?
naomba unitajie mwanafunzi mmoja tu aloyewahi kuingia top ten ya taifa ( best student top 10) aliyewahi kusoma muccobs undergraduate kwa uamuzi wake mwenyewe na akamaliza hapo muccobs, naomba jina lake na mwaka aliomaliza.
usibishe tu mradi unabisha. naomba ubishe kwa facts. hao mapacha wangekuwa vichwa kweli kweli waliofauku vizuri form 6 wasingeishia kusoma muccobs... hao ni average students tu network imewabeba hapo tra
CPA( t) ndio imewabeba wamekomaa wamepata cpa( t) freshhhh ! Kama huna CPA(.t) na kazi inahitaji kuwa na CPA( t ). ?
Kweli hao mapacha hata kituo cha kazi kimoja ina maana hata bwana atakuwa mmoja
CPA( t) ndio imewabeba wamekomaa wamepata cpa( t) freshhhh ! Kama huna CPA(.t) na kazi inahitaji kuwa na CPA( t ). ?
Kweli hao mapacha hata kituo cha kazi kimoja ina maana hata bwana atakuwa mmoja
Mkuu hapo unakosea.. Ina maana UD tu ndio inapokea vichwa wote Tanzania?? Binafsi nimesoma arusha miaka kadhaa iliyopita na najua ni kwa jinsi gani watoto Wa arusha na moshi (wengi wao) hawapendi kusoma nje ya mikoa hiyo..
Wakati niko high school kule kuna Kijana mmoja alitutangulia alipata 1 ya 5 EGM lakini alichagua kusoma Uhasibu Njiro Arusha (AIA).. Sio kila mtu anashoboka na majina ya chuo.. Watoto wa kule wanahusudu vya kwako AIA, Makumira na Muccobs..
Lakini kama una mashaka nao bado, Mkuu Ngongo kakwambia hapo juu hao mabinti wana CPA (T), sasa jiulize hao vichwa wako wa hapo UD wote wamepata hiyo kitu??
Acha kutulisha makasa dogo
CPA( t) ndio imewabeba wamekomaa wamepata cpa( t) freshhhh ! Kama huna CPA(.t) na kazi inahitaji kuwa na CPA( t ). ?
Mkuu mtu ambae hajapga msuli wa Cpa(T) hawez elewa unaongelea nn kabsaa mkuu!