Maswali magumu kuhusu mapacha hawa TRA Arusha

Maswali magumu kuhusu mapacha hawa TRA Arusha

Nmesoma nao hawa arusha sec na chuo cha ushirika moshi

oooh...wamesoma Arusha na ajira pia wamepata Arusha...
TELL US PERFORMANCE YAO KIMASOMO ILIKUWAJE...ARE THEY DESERVING THAT SHOT??.
although there are still some doubts...
 
oooh...wamesoma Arusha na ajira pia wamepata Arusha...
TELL US PERFORMANCE YAO KIMASOMO ILIKUWAJE...ARE THEY DESERVING THAT SHOT??.
although there are still some doubts...

Perfomance yao ni yajuu inshort wanaweza they deserve it kbsa no doubts
 
Kama hujanufaika katika awamu hii na una kitengo hutanufaika tena. Urefu was kamba... Tufuge kuku tu....
 
Duh! Hii kali! Ndugu wawili pacha, wote wamepata kazi kwenye taasisi moja ya umma, kwa mujibu wa uzi, wote wana madaraka katika hiyo taasisi, wote wamepata scholarship kwenda kusoma nje!
Kama hawajaolewa bora waolewe na mume mmoja!
Hata Asha Rose Migiro na Mwantum Malale ilipogundulika makosa yamefanyika kuwaweka wizara moja wakiwa waziri na katibu mkuu walihamishwa!
 
Hata siwafahamu,sijawahi waona,sijawahi wasikia...niko arusha muda mrefu na hapo tra niko mara kwa mara.....anyway kila kitu na wakatti wake.
 
mjini msingi kiuno?? wamezungusha na kusambaza upendo
 
Mmoja alikuwa kitengo cha copotare tax wakati naaznisha kikampuni changu alinisaidia sana si kwa maana ya rushwa la hasha nilikumbana na maswali kibao bahati mbaya hakujua mimi ni mhasibu aliyekubuu kwahiyo maswali yake yote nilimjibu sawa sawa kwakuwa nilijua ningeterereka kiduchu angenitandika kodi ya kufa mtu.

Ki ukweli wapo vizuri sana hawana dalili za rushwa wapo makini sana.Sema mfumo wa TRA si rafiki sana kwa wafanakazi wa aina yao.Wameridhika na kazi na mishahara wanayolipwa.Huo ndio ukweli mchungu ndio maana wale waMama wa siku nyingi (Mama Mushi,Mama Sekei,Mama mke wa RPC Mwanza........ hawana elimu wala uelewa wa mambo sana sana wanataka rushwa ) lazima watawapiga vita kwasababu hawana elimu wala ujuzi stahiki.

Jiulize wafanyakazi wa TRA Arusha wangapi wana CPA utakuta hawazidi wafanyakazi 5 mkoa mzima wanapoona kuna damu changa imeingia katika anga zao lazima watatia fitina ya kufa mtu.

Hata siwafahamu,sijawahi waona,sijawahi wasikia...niko arusha muda mrefu na hapo tra niko mara kwa mara.....anyway kila kitu na wakatti wake.
 
TRA wote waovu, pamoja na wewe mleta mada. Kwa hiyo mwache naye afanye uovu kwa nafasi yake...japo hatupendi maouvu hayo lakini TRA hilo ni jambo la kawaida. Kabla ya kuwarushia tuhuma hawa tuambie: wewe hujawahi pokea rushwa TRA?

Naunga hoja mkono .
 

Wakuu wa JF poleni na majukumu ya kila kukicha katika kuhakikisha taifa hili linasonga mbele hususani katika masuala ya uwazi na uwajibikaji.
Leo ninaleta taarifa mpya kabisa kutoka mamlaka ya mapato(TRA) mkoani Arusha nah ii si nyingine ni kuhusu wasichana wawili ambao ni mapacha na watumishi wa mamlaka hii mkoani hapa.

Mapacha hawa wa kike mmoja anaitwa Carolight Ntinku na mwingine anaitwa Caroline Ntinku,hawa kwa taarifa tulizonazo hawana muda mrefu tangu wapate ajira ndani ya ofisi hii.

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya chini kwa chini kutoka kwa baadhi ya watumishi wa TRA Arusha kuhusu wasichana hawa na miongoni mwao ni kuhusu suala la upendeleo unaofanyika kwa watu hawa.

Baadhi ya watumishi wanalalamika chini kwa chini sisi tumeamua kuanika wazi sasa kwamba wanapendelewa nafasi za mafunzo kupitia TRA nje ya nchi na taarifa za ndani ni kwamba hivi karibuni wamepata scholarship nje ya nchi kupitia mgongo wa TRA kwenda kusoma .

Baadhi ya watumishi wanadai kwamba wao wana muda mrefu ndani ya ofisi hii na walishajaribu mara kadhaa kuomba nafasi ya kwenda kimasomo nje ya nchi kupitia TRA lakini hawajapata nafasi hizo lakini kwa muda mchache wasichana hawa wamepata nafasi ghafla hali ambayo inaibua mzozo mkubwa.

Kuna taarifa ambazo si rasmi kwamba kuna kigogo wa TRA makao makuu kwenye nafasi ya Human Resource wana undugu naye wa karibu na yeye ndiye amekuwa akihusishwa na mpango wa kuwatengenezea mchongo wasichana hawa.

Kingine ni kuhusu malalamiko kwamba wasichana hawa wamekuwa na kiburi na jeuri ndani ya TRA katika majukumu yao ya kikazi,kwa kuwa wanalindwa na baadhi ya vigogo ndani ya TRA H.Q mwenye ukweli juu ya hili atuletee tuwajue.

Lakini kuna taarifa nyingine zilizozagaa hapa mjini Arusha kuwa wasichana hawa mapacha wamekuwa wanadaiwa kwamba wamekuwa wakitumia vyeo vyao kuwatishia baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao,na madai ya kuomba na kupokea rushwa tunaomba TAKUKURU Arusha sasa waingilie kati hili.

Wadau tunaomba mtu yoyote mwenye mapenzi mema na nchi yetu atumwagie data za wasichana hawa kama ni kweli au la ili tuujue ukweli wa ndani,naamini tutachangia bila jazba kwa lengo la kujenga na si kubomoa,asante tumeweka na picha ya mmoja wa wasichana hao aitwaye caroline

wadau
Duhh wakubwa wanafaidi
 
Mkuu mada imenigusa kwa kiasi flan pia kaa ukijua hii ndo nchi yetu dola yake imeshikiliwa na mafisadi wa ccm ila kwa hao pacha kupata ajira ww isikupe shida kaza buti halafu jiulize iv ww mngezaliwa mapacha ingekuwaje? Ikatokea mpangwe kazi sehem 1 ungekubaliana nalo au ungepingan nalo? :thumbup::thumbup:
 
Back
Top Bottom