Maswali kuhusu Bandari mpya ya Bagamoyo

Maswali kuhusu Bandari mpya ya Bagamoyo

__800x800_544f27fcdd306.jpg
 
Kwa maana hiyo sisi watanzania hatuwezi kujenga hiyo bandari yaaani kumpa contract hata mchina akafanya kazi ya kujenga tu hiyo bandari?

Shida inakuwa ni nini hapo?
Tunaweza lakini kwa uchumi tulionao kwa hivi sasa, kuweza kuumaliza mradi kama huo kwa pesa zetu wenyewe inaweza kutuchukua miaka kadhaa... kwa uchache kumi! Sasa wakati tunajitia kiburi cha kwamba, hata kama itatuchukua miaka 15 kumaliza potelea mbali ili mradi tu tuujenge kwa pesa zetu wenyewe, kwa upande mwingine tunatakiwa kujiuliza, je katika kipindi hicho cha miaka 10+ tutakuwa tumepoteza kiasi gani? I mean, assume Wachina wanamaliza mradi ndani ya miaka 3 na sisi kwa kutumia pesa yetu tunamaliza ndani ya miaka 15... hapa kati kati kuna miaka 12... tufanye miaka kumi ambayo hakutakuwa na mzigo wowote umeingia na kwa maana hiyo hakutakuwa na kodi yoyote iliyokusanywa! Aidha, wakati sie tunataka kujikongoja kwa kuonesha jeuri ya kujitegemea, wapo ambao wata-opt kutumia njia ya PPP kama tunayofanya hivi sasa! Mathalani, Kenya nao wana mradi unaofanana na huu na wao wanatafuta mwekezaji vile vile ambae ataachiwa miaka kadhaa a-operate bandari husika! Hii maana yake ni kwamba, wakati sie tutakuwa tunajikongoja ili kuonesha jeuri ya kujitegemea, baada ya miaka 3-5 competitors wetu watakuwa tayari kwenye game... hadi wewe unamaliza ujenzi, mwenzako tayari ameshajenga credibility kwenye industry... wale ambao ulitaraji wangekuwa wateja wa kwanza kutumia your new port, watakuwa tayari wameshaanza kutumia ya mshindani wako zaidi ya miaka 5 iliyopita!!

Asikudanganye mtu... bishara za sasa ni za kuliana timing na ndio maana nashangaa wale wanaoponda kauli inayosemwa kwamba, kwenye gas, tuharakishe mambo coz' jirani yetu Mozambique anamegundua billions of cubic feet za gas! Zambia anahitaji gas, Zimbabwe nae atahitaji gas, South Africa atahitaji gas na kadhalika na kadhalika! Mataifa ya Ulaya nayo yanahitaji gasi... huku na kule nako wanahitaji gas! Atakayekuwa wa kwanza kutoa huduma ndie atakayeanza kuhodhi soko haya mengine ni siasa tu! Jambo muhimu ni kuhakikisha maslahi ya nchi yanapewa kipaumbele na ucheleweshaji wa mradi hauna uhusiano wa moja kwa moja na maslahi ya nchi! Unaweza kuchukua miaka 5 ku-study mkataba na bado ukaishia kwenye stupid conclusion!
 
kwanini wasiendeleze bandari ya Mtwara na kuipunguzia mzigo bandari ya Dar, bandari ya Mtwara ndiyo bandari yenye kina cha asili kwa Afrika mashariki mpaka pembe ya Afrika tofauti na bandari ya Dar ambayo kila baada ya muda inachimbwa ili kuongeza kina. Bandari ya Mtwara ni ya asili haihitaji kuchimbwa ili kuongeza kina, waiboreshe hii halafu wajenge barabara yenye urefu wa KM 654 ya kutoka Mtwara kwenda Songea kwa kiwango cha lami. Ni kitu cha kushangaza gari inatoka bandari Dar kwenda Msumbiji ila inapita Custom TRA iliyopo ndani bandari ya Mtwara au ufuta kulimwa Mtwara halafu unapelekwa bandari ya Dar kusafirishwa.
Huu mradi haujaelekezwa kwenye bandari ya Mtwara coz' lengo ni kuifanya bandari ya Mtwara i-accommodate meli za mafuta na gas! Ikiwa issue za mafuta na gas zitafanikiwa basi bandari ya Mtwara itakuwa busy na shughuli za mafuta na gas! Usisahau kwamba mimeli ya mafuta na gasi ni mikubwa mno... sasa pakishachangamka pale (Mtwara) itakuwa ni vurugu kutaka mizigo mingine nayo ipitie pale pale wakati kuna mimeli ya mafuta na gas imetinga nanga ikichukua mzigo kwa siku kadhaa!!
 
Kwa maana hiyo sisi watanzania hatuwezi kujenga hiyo bandari yaaani kumpa contract hata mchina akafanya kazi ya kujenga tu hiyo bandari?

Shida inakuwa ni nini hapo?

Ndugu, unaijua $10B au unaisikia tu?

Jua kuwa hatuna uwezo huo,hasa kwa sasa hivi, ni pesa nyingi sana.

Hiivi unaweza kumuambia mtu mwenye kipato cha chini,let's say anayelipwa laki 5 kwa mwezi ajenge gorofa la bilioni moja?Jibu ni haiwezekani.

Uchumi wetu hauturuhusu kufanya commitment za $10B. Actually ni faida kwetu wakijenga wachina, na kumiliki kwa kipindi flani, kwani wao ndio kiwanda cha dunia, Meli zote lazima ziende china at one point in time. Sisi kuwa sehemu muhimu ya stratergy yao kunatusaidia kupata market share ya usafirishaji wa maji kwa urahisi zaidi. Kumbuka bandari ni meli.
 
Ndugu, unaijua $10B au unaisikia tu?

Jua kuwa hatuna uwezo huo,hasa kwa sasa hivi, ni pesa nyingi sana.

Hiivi unaweza kumuambia mtu mwenye kipato cha chini,let's say anayelipwa laki 5 kwa mwezi ajenge gorofa la bilioni moja?Jibu ni haiwezekani.

Uchumi wetu hauturuhusu kufanya commitment za $10B. Actually ni faida kwetu wakijenga wachina, na kumiliki kwa kipindi flani, kwani wao ndio kiwanda cha dunia, Meli zote lazima ziende china at one point in time. Sisi kuwa sehemu muhimu ya stratergy yao kunatusaidia kupata market share ya usafirishaji wa maji kwa urahisi zaidi. Kumbuka bandari ni meli.

Hizi ndizo akili nisizozitakaga. Eti $10B nchi haina wala haiwezi kuwa nayo, are you serious??
Kwahiyo unataka kuniambia hii nchi ni wataalam wa ufisadi TU, hatuwezi kujenga bandari wala kiwanda ??

Ukiwa na port nzuri yenye vigezo vyote meli zitakuja haijalishi una meli au huna.
 
Hizi ndizo akili nisizozitakaga. Eti $10B nchi haina wala haiwezi kuwa nayo, are you serious??
Kwahiyo unataka kuniambia hii nchi ni wataalam wa ufisadi TU, hatuwezi kujenga bandari wala kiwanda ??

Ukiwa na port nzuri yenye vigezo vyote meli zitakuja haijalishi una meli au huna.

Ndugu,

Usilete siasa, ingekuwa rahisi hivyo, bajeti yetu ya mwaka mzima isingekuwa $5-6B kwa mwaka, Hatuna uwezo huo usilazimishe mambo.

Una mengi ya kujifunza kuhusu uchumi, nakushauri usome vitabu vingi ili kuelewa vitu kama hivi vinavyokwenda na sio kurukia mambo na kutafuta majiibu mepesi kwa maswali magumu.

hizo $10B hatuna na hatujawahi kuwa nazo, unajua foreign reserve zetu zinachezea kiasi gani? purchasing power yetu ikoje?
 
Ndugu,

Usilete siasa, ingekuwa rahisi hivyo, bajeti yetu ya mwaka mzima isingekuwa $5-6B kwa mwaka, Hatuna uwezo huo usilazimishe mambo.

Una mengi ya kujifunza kuhusu uchumi, nakushauri usome vitabu vingi ili kuelewa vitu kama hivi vinavyokwenda na sio kurukia mambo na kutafuta majiibu mepesi kwa maswali magumu.

hizo $10B hatuna na hatujawahi kuwa nazo, unajua foreign reserve zetu zinachezea kiasi gani? purchasing power yetu ikoje?

Kwa uchumi wako huu wa kina makengeza jiridhishe tu kwamba Tanzania haiwezi na haitakaa iweze milele lkn kwa watu makini wanaojua nini wanatakiwa wafanye kama nchi that's not a big deal.

Miaka ya 1980 uchumi wetu ulikuwa sawa na hao wachina, sasa wao walimchinjia mungu mbuzi wakapata uchumi wao ukapaa au.
Hebu panua wigo wa ubongo wako zaidi
 
Kwa uchumi wako huu wa kina makengeza jiridhishe tu kwamba Tanzania haiwezi na haitakaa iweze milele lkn kwa watu makini wanaojua nini wanatakiwa wafanye kama nchi that's not a big deal.

Miaka ya 1980 uchumi wetu ulikuwa sawa na hao wachina, sasa wao walimchinjia mungu mbuzi wakapata uchumi wao ukapaa au.
Hebu panua wigo wa ubongo wako zaidi

Shida yako unataka majibu mepesi kwa maswali magumu.

hizo make-wish thinking, sivyo uchumi au ukuaji wa uchumi unavyokwenda. sasa nani alikudanganya mwaka 1980 uchumi wa TZ ulikuwa sawa na uchumi wa china? Nadhani hii mada iko nje ya uwezo wako, nakushauri usome wanayoandika watu humu upate kujifunza zaidi, sio kila hadithi ya kijiweni inaweza kuandikwa humu.
 
Shida yako unataka majibu mepesi kwa maswali magumu.

hizo make-wish thinking, sivyo uchumi au ukuaji wa uchumi unavyokwenda. sasa nani alikudanganya mwaka 1980 uchumi wa TZ ulikuwa sawa na uchumi wa china? Nadhani hii mada iko nje ya uwezo wako, nakushauri usome wanayoandika watu humu upate kujifunza zaidi, sio kila hadithi ya kijiweni inaweza kuandikwa humu.

Acha nibaki zangu kijiweni wewe baki na vitabu vyako kwamba huwezi na hutakaa uweze chochote coz ndiyo vitabu vyako vinakujuza hivyo
 
999, Kimweri,

..mimi nadhani hiyo usd 10 billion inaweza kupatikana, ama kwa mkopo, au kwa kubanana humu ndani.

..lakini kwa upande mwingine nadhani kutumia kiasi kikubwa namna hiyo kwa ujenzi wa bandari peke yake inaweza isiwe busara.

..kwa nchi kama Tz hizo 10 billion inabidi tuzigawe kwenda kwenye umeme, reli, barabara, bandari, etc, na hapo ndipo uamuzi wa kutumia muwekezaji toka China kwenye ujenzi wa bandari unapokuwa na mantiki.

..Kenya wanajenga container terminal Mombasa na wamealika wawekezaji watakaojenga na kuendesha eneo hilo kwa miaka 25. Kwa hiyo tusione kwamba kilichotokea kwa Tanzania ni jambo la ajabu.

..Mimi kama mimi, ningependa wa-Tz tuwe na mradi mmoja mkubwa ambao tutaukamilisha kwa nguvu na fedha zetu wenyewe. Wenzetu wa Ethiopia wana mradi mkubwa wa bwawa la umeme ambao kwa sasa hivi ni fahari ya nchi yao.

cc NasDaz, Sangarara
 
Last edited by a moderator:
999, Kimweri,

..mimi nadhani hiyo usd 10 billion inaweza kupatikana, ama kwa mkopo, au kwa kubanana humu ndani.

..lakini kwa upande mwingine nadhani kutumia kiasi kikubwa namna hiyo kwa ujenzi wa bandari peke yake inaweza isiwe busara.

..kwa nchi kama Tz hizo 10 billion inabidi tuzigawe kwenda kwenye umeme, reli, barabara, bandari, etc, na hapo ndipo uamuzi wa kutumia muwekezaji toka China kwenye ujenzi wa bandari unapokuwa na mantiki.

..Kenya wanajenga container terminal Mombasa na wamealika wawekezaji watakaojenga na kuendesha eneo hilo kwa miaka 25. Kwa hiyo tusione kwamba kilichotokea kwa Tanzania ni jambo la ajabu.

..Mimi kama mimi, ningependa wa-Tz tuwe na mradi mmoja mkubwa ambao tutaukamilisha kwa nguvu na fedha zetu wenyewe. Wenzetu wa Ethiopia wana mradi mkubwa wa bwawa la umeme ambao kwa sasa hivi ni fahari ya nchi yao.

cc NasDaz, Sangarara

Siku Jakaya anahutubia Bunge letu kwa mara ya kwanza baada ya kuwa Rais, kwenye ile hotuba almaarufu hotuba ya wauza Unga, alisema kwamba yeye anatekeleza mikakati ya miaka mitano baaaaaasi.
 
999, Kimweri,

..mimi nadhani hiyo usd 10 billion inaweza kupatikana, ama kwa mkopo, au kwa kubanana humu ndani.

..lakini kwa upande mwingine nadhani kutumia kiasi kikubwa namna hiyo kwa ujenzi wa bandari peke yake inaweza isiwe busara.

ndugu $10B kuwekeza kwenye bandari ya Transhipment ni ukosefu wa Busara, kwani hatuna interest za kueleweka kwenye sekta ya maji duniani. Wachina kuwekeza $10B Tanzania kwenye sekta wenye maslahi nayo makubwa hiyo ni masterstroke.CCM hawajafanya kosa hata moja kuhusu bandari ya bagamoyo, Tusilazimishe kuwakosoa hawa watu hata pale wanapokosea.

..kwa nchi kama Tz hizo 10 billion inabidi tuzigawe kwenda kwenye umeme, reli, barabara, bandari, etc, na hapo ndipo uamuzi wa kutumia muwekezaji toka China kwenye ujenzi wa bandari unapokuwa na mantiki.

Sasa kama makusanyo ya bajeti yetu ya nchi nzima ni chini ya $5B kwa mwaka unajustify vipi mradi wa $10B?huu zi utakuwa ujuaji usio na faida?

..Kenya wanajenga container terminal Mombasa na wamealika wawekezaji watakaojenga na kuendesha eneo hilo kwa miaka 25. Kwa hiyo tusione kwamba kilichotokea kwa Tanzania ni jambo la ajabu.
What Kenya is doing is a petty project not even worth $500M,we can do that anytime, we have actually done that with bomba la gesi at $1B na ushehe.Sio kila wakati Kenya wako Sahihi, na sie tunakosea. Hili la Bagamoyo, ni kitu pekee ninachoweza sema JK amefanya cha heri bila kumungunya maneno.

..Mimi kama mimi, ningependa wa-Tz tuwe na mradi mmoja mkubwa ambao tutaukamilisha kwa nguvu na fedha zetu wenyewe. Wenzetu wa Ethiopia wana mradi mkubwa wa bwawa la umeme ambao kwa sasa hivi ni fahari ya nchi yao.

cc NasDaz, Sangarara

Nakushauri uwe muhalisia, Hatuwezi kuanza kuota ndoto za project ya $10B wakati mapato ya nchi yetu ya kodi mwaka mzima hata nusu ya hizo fedh akufika ni tabu. Sasa huduma za jamii zisiwepo,barabara zisijengwe,mishahara isilipwe,kwa kuwa tu tunataka kujionesha tuna ubavu wa kufanya project ya $10B hizi zitakuwa sifa za kijinga.

Sio lazima tuanze na project kubwa, tunaweza kuanza kwa project zilizoko ndani ya uwezo wetu. Mfano UDOM, ingawa serikali imekopa, lakini zimetumika almost $1B pale, hilo ni jambo la heri.

Iko siku tutakuwa na uwezo wa kukusanya hizo $10B sasa hivi hatuna uwezo huo. Soko letu la hisa ni kiashiria kizuri cha uwezo wetu wa kukusanya mitaji bila kukopa, katazame capitalization yake ni kiasi gani, utaelewa kwa nini nakueleza hizo $10B ni ndoto za alinacha sasa hivi.

huwaeleza hata vijana wadogo wanaomaliza vyuo na kuajiriwa, wengi huwa na ndoto za kumiliki magari wanayoendesha wazazi wao, kuwa na majumba makubwa ya kifahari n.k, wakati uhalisia hauoneshi hivyo, wengi huishia kuwa disappointed, na wachache huishia kuiba au kupokea rushwa.

Sisi kama taifa uwezo wetu mdogo, tunatakiwa kujenga uwezo, sio kuota ndoto za alinacha.
 
999, Kimweri,

..mimi nadhani hiyo usd 10 billion inaweza kupatikana, ama kwa mkopo, au kwa kubanana humu ndani.

..lakini kwa upande mwingine nadhani kutumia kiasi kikubwa namna hiyo kwa ujenzi wa bandari peke yake inaweza isiwe busara.

..kwa nchi kama Tz hizo 10 billion inabidi tuzigawe kwenda kwenye umeme, reli, barabara, bandari, etc, na hapo ndipo uamuzi wa kutumia muwekezaji toka China kwenye ujenzi wa bandari unapokuwa na mantiki.

..Kenya wanajenga container terminal Mombasa na wamealika wawekezaji watakaojenga na kuendesha eneo hilo kwa miaka 25. Kwa hiyo tusione kwamba kilichotokea kwa Tanzania ni jambo la ajabu.

..Mimi kama mimi, ningependa wa-Tz tuwe na mradi mmoja mkubwa ambao tutaukamilisha kwa nguvu na fedha zetu wenyewe. Wenzetu wa Ethiopia wana mradi mkubwa wa bwawa la umeme ambao kwa sasa hivi ni fahari ya nchi yao.

cc NasDaz, Sangarara
JokaKuu umeongea vizuri sana kwamba fedha zinapatikana either mkopo au hapa ndani au inaweza ikawa halfhalf(mkopo na hela ya ndani) vyovyote itakavyokuwa.

Na hizi zinakuwaga ni project za muda Mrefu may be 10yrs to come tutafanya kitu hiki so tunaanza kujiandaa mapema kwa hiyo mpaka muda huo unafika unakuta maandalizi yalishafanyika shughuli za utekelezaji zinaanza.

Wenzetu wanaplan project za miaka 20-30 ijayo na wanafanya yote hayo ni maandalizi mazuri yanafanyika lkn mwenzangu Kimweri hataki hilo.

Tukiwa na serikali makini hakuna linaloshindikana
 
Last edited by a moderator:
Kimweri,

..I think we are on the same page.

..tofauti yetu ipo ktk uwasilishaji tu.

..huo mradi utatekelezwa kwa awamu.

..we have to think BIG. huo ni ushauri ambao JK alipewa na Bill Gates.

cc 999
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: 999
JokaKuu umeongea vizuri sana kwamba fedha zinapatikana either mkopo au hapa ndani au inaweza ikawa halfhalf(mkopo na hela ya ndani) vyovyote itakavyokuwa.

Na hizi zinakuwaga ni project za muda Mrefu may be 10yrs to come tutafanya kitu hiki so tunaanza kujiandaa mapema kwa hiyo mpaka muda huo unafika unakuta maandalizi yalishafanyika shughuli za utekelezaji zinaanza.

Wenzetu wanaplan project za miaka 20-30 ijayo na wanafanya yote hayo ni maandalizi mazuri yanafanyika lkn mwenzangu Kimweri hataki hilo.

Tukiwa na serikali makini hakuna linaloshindikana

Tatizo usichoelewa wewe ni kuwa sio kila project financing iko feasible. Ndio maana kuna ranking agencies. Ingekuwa rahisi hivyo kila maskini duniani angeplani 20-30 years halafu akaenda kukopa mabilioni benki. Kabla ya kukopa lazima uwe na capacity ya kurudisha mkopo, na uwezo wa kuhandle hiyo financing.

Nenda kesho CRDB waoneshe bank statement yako na collaterals zako, lets assume total portfolio yako iwe around 50M, halafu waambie wakupe mkopo wa bilioni 10 za kitanzania, ukimaliza hapo, waletee hadithi za plani za muda mrefu, n,k uone afisa mikopo atakujibu kitu gani.

Kuna uhalisia na ndoto za alinacha.
 
Kimweri,

..I think we are on the same page.

..tofauti yetu ipo ktk uwasilishaji tu.

..huo mradi utatekelezwa kwa awamu.

..we have to think BIG. huo ni ushauri ambao JK alipewa na Bill Gates.

cc 999

Kuna limit za ku-think big, hii sio empty sentence tu, ndio maana hata hiyo kampuni aliyoianzisha yeye leo hii ina market share ya asilimia chini ya 3 kwenye simu za mkononi. Ingekuwa kila ku-think big kunakuletea matokeo unayoyataa wewe, wasingekuwa nyuma ya washindani wao.

Uongozi ni pamoja na kupima uwezo wako, na kupanga kutokana na rasilimali zako. hii ni hatua ya kwanza kabisa. Sikatai kuwa rasilimali za TZ zinatumika vibaya, lakini sioti ndoto za alinacha kuhusu ku-attempt project zilizo nje ya uwezo wetu. Binafsi hiyo bandari isingekuwa supported na wachina,na isingekuwa transhipment, nisingeisapoti pia, kwani tusingekuwa na sababu wala uwezo wa kusupport 20M TEU yearly.
 
Tatizo usichoelewa wewe ni kuwa sio kila project financing iko feasible. Ndio maana kuna ranking agencies. Ingekuwa rahisi hivyo kila maskini duniani angeplani 20-30 years halafu akaenda kukopa mabilioni benki. Kabla ya kukopa lazima uwe na capacity ya kurudisha mkopo, na uwezo wa kuhandle hiyo financing.

Nenda kesho CRDB waoneshe bank statement yako na collaterals zako, lets assume total portfolio yako iwe around 50M, halafu waambie wakupe mkopo wa bilioni 10 za kitanzania, ukimaliza hapo, waletee hadithi za plani za muda mrefu, n,k uone afisa mikopo atakujibu kitu gani.

Kuna uhalisia na ndoto za alinacha.

Simama kama NCHI ya TZ not an individual person.
Mimi nashindwa kukuelewa au sijui huelewi nini au labda unataka kuniambia TANZANIA hatuwezi lolote sisi tusubiri kufanyiwa tu na hao wazungu or wachina na wahindi?
Are we serious kweli??
 
Simama kama NCHI ya TZ not an individual person.
Mimi nashindwa kukuelewa au sijui huelewi nini au labda unataka kuniambia TANZANIA hatuwezi lolote sisi tusubiri kufanyiwa tu na hao wazungu or wachina na wahindi?
Are we serious kweli??

Then Hiyo nchi yako ya Tanzania ni nchi maskini, huo mfano nimekupa ili uelewe kuna ndoto za mchana na uhalisia.get a grip.

Kama hatutaki mikopo na misaada, well, i support that stance, then hakuna sababu ya kuparamia au kulazimisha kufanya miradi iliyo nje ya uwezo wetu.

uwezo wa nchi kama Tanzania ni miradi midogo za zaidi hata ya hii iliyokuwepo. Miradi mikubwa mingi tunapigwa boost na hiyo misaada/grants.

Nyerere alipoleta siasa za kujitegemea alikuwa sahihi kabisa, lakini hakuanzisha project za mabilioni zilizo nje ya uwezo wa nchi. Waliko nchi tajiri tutafika siku moja, kama tukifanya kazi kwa bidii, na kuwa na nidhamu.

Ila hatuwezi kuamka siku moja na kutaka kujifannanisha na uchina au marekani.

Hata hizo nchi zenye uchumi mkubwa duniani kuna project hawawezi kuzifanya wao peke yao. ndio maana kuna internatinal financial institutions, private investors etc.

wewe unafikiri wamarekani wanaona raha kupunguza bajeti ya NASA n.k, uwezo.
 
Kwa uchumi wako huu wa kina makengeza jiridhishe tu kwamba Tanzania haiwezi na haitakaa iweze milele lkn kwa watu makini wanaojua nini wanatakiwa wafanye kama nchi that's not a big deal.

Miaka ya 1980 uchumi wetu ulikuwa sawa na hao wachina, sasa wao walimchinjia mungu mbuzi wakapata uchumi wao ukapaa au.
Hebu panua wigo wa ubongo wako zaidi
Are you serious? Ni miaka ya 80 's ipi au ya karne gani ambayo uchumi wa Tanzania ulikuwa sawa na ule wa China? Hivi kweli unaifahamu vizuri historia ya uchumi wa Tanzania ndugu yangu? Hivi kuna wakati ambayo Tanzania ili-suffer kiuchumi kama hiyo miaka ya 80?

Turudi kwenye bajeti ya Tanzania ambayo almost 30% inakuwa financed na donors! Unapotaka kuu-finance mradi wa $ 10 billion wewe mwenyewe maana yake ni kwamba, tukate bajeti ya wizara mbali mbali na kuzielekeza kwenye ujenzi wa bandari! Hatujawahi kuwa na bajeti ya $10 billion kwa mwaka basi let's assume hiyo ndiyo bajeti yenyewe ambayo almost 30% inakuwa financed na outsiders! Now tell me, utapangaua bajeti ya wizara ipi ili pesa zake uelekeze kwenye ujenzi wa bandari ambapo hakuna wizara hata moja ambayo inapata angalau $1 kwa mwaka!!! More interestingly, ingawaje hakuna wizara hata moja ambayo inapata angalau $ 1 billion kwa mwaka lakini hata hiyo portion ambayo kwa wizara nyingi ni chini ya $ 500 million bado huwa haitoki, then hizo za kufinance ujenzi wa badari utatumia formula ipi kuhakikisha mfuko wa ujenzi wa bandari mpya unapata pesa ya kutosha na mambo mengine yanaendelea kama kawaida? Hata tukisema tukate bajeti ya kila wizara kwa 10% bado hatutakuwa na uwezo wa kupata angalau $1 billion kwa mwaka! Potelea mbali, let's assume baada ya kukata panga huku na kule, tunakuwa na uwezo wa kupata $1 billion kwa mwaka, je itakuchukua muda gani kumaliza project inayo-cost $ 10 billion hasa ukizingatia kwamba kadri muda unavyoenda ndipo gharama za mradi zitakavyoendelea kupanda juu! Ikiwa gharama and everything will remain constant, then the project will take 10 years to be completed but as long as there's no way everything will remain constant, then with your formular it'll take at least 15 years to be completed!

Itoshe tu kusema kwamba, dunia ya kwamba tuache tu kwani mwambao wa bahari ni wetu na tutakuja kujenga mwaka wowote tukipata uwezo dunia hiyo hivi sasa hatunayo tena!!!
 
Then Hiyo nchi yako ya Tanzania ni nchi maskini, huo mfano nimekupa ili uelewe kuna ndoto za mchana na uhalisia.get a grip.

Kama hatutaki mikopo na misaada, well, i support that stance, then hakuna sababu ya kuparamia au kulazimisha kufanya miradi iliyo nje ya uwezo wetu.

uwezo wa nchi kama Tanzania ni miradi midogo za zaidi hata ya hii iliyokuwepo. Miradi mikubwa mingi tunapigwa boost na hiyo misaada/grants.

Nyerere alipoleta siasa za kujitegemea alikuwa sahihi kabisa, lakini hakuanzisha project za mabilioni zilizo nje ya uwezo wa nchi. Waliko nchi tajiri tutafika siku moja, kama tukifanya kazi kwa bidii, na kuwa na nidhamu.

Ila hatuwezi kuamka siku moja na kutaka kujifannanisha na uchina au marekani.

Hata hizo nchi zenye uchumi mkubwa duniani kuna project hawawezi kuzifanya wao peke yao. ndio maana kuna internatinal financial institutions, private investors etc.

wewe unafikiri wamarekani wanaona raha kupunguza bajeti ya NASA n.k, uwezo.
Kimweri tuko pamoja sana.
Kuna sehemu umeniambia 'tukifanya kazi kwa bidii na nidhamu tutafika huko' Mimi ndiyo nasimania ktk hilo.
Tukiwa na serikali makini hakuna kinachoshindikana kaka.
TZ tuna rasimali nyingi ambazo ni utajiri mkubwa sana lkn hazitumiki ipasavyo.
Ukiangalia kila mwaka habari tunazodiscuss ni wizi tu, kuongelea suala la maendeleo kama hili la bandari hatupo huko ndiyo maana unaona hata hapa kwenye mjadala huu inatupa shida coz hatujazoea kufanya maendeleo zaidi ya wizi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom