natumbaku Chambeho
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 551
- 209
Bandari ya Dar es Salaam ni badnari ya kawaida. Transshipment ports ni zile zinazofaulisha mizigo kwenda bandari ndogo za karibu.mfano bandari ya singapore inafanya kazi hii. kwa nini transhipment?kuleta meli 20 africa sio economical kama kuleta meli moja kubwa yenye kubeba mizigo yenye ujazo sawa na meli ndogo 20. halafu vimeli vidogo vinachukulia hapo kwenye bandari kupeleka vibandari vyengine. ofcourse itafanya pia mambo mengine mengi.
Huo uhusiano uko sahihihi.
Hii ni bandari muhimu kuliko zote Africa inayojengwa miaka ya hivi karibuni, hizi ni one in a generation investments kama vile Suez Canal. The government did well to secure this investment. I think this is a BOT type of scheme. Wakirudisha fedha zao after 40 years bandari inakuwa ya kwetu 100%. wanaobeza wanasahau Suez Canal kwa mfano haijajengwa leo wala jana. Investment za aina hii hakuna anayeweza kuzirudisha in 5-10 years,kwa hivi vinchi vyetu maskini.
Ukimkopesha mwalimu wa msingi bilioni moja, jiandae kumdai yeye na wajukuu zake, ndio kilichotokea, hapa TZ ni kama mwalimu wa shule ya msingi, kinyume na hapo jua ni utapeli.
Bandari ya dar ina kazi za kutosha, kama kupokea mafuta,na bidhaa nyengine zinazoelekezwa kwa nchi kama Zambia n.k, infact ingekuwa vema kama Bandari ya dar ika-focus kwenye aina flani ya cargo ili kuongeza ufanisi. Bandari ya bagamoyo itakuwa kama Jalala, hakuna itakachoshindwa kupokea/kutuma.
Sina taarifa nyingi kuhusu financing structure.Ila nina uhakika wahusika wapo na wanafahamu zaidi.
Mkuu Kimweri heshima kwako. Wewe ni mmoja wa wanaJF ambao wana michango iliyonyoka kwelikweli. Hebu tunyoshee na hili;
Uwekezaji kama huu wa kampuni ya kichina utakao fanywa hapo bagamoyo port, share holders ni hao wachina peke yao au kuna wengine? Kama kuna wengine ni serikali ya Tanzania au kina nani hawa?