NasDaz nakuomba ujaribu kuwa flexible halafu panua wigo kidogo.Are you serious? Ni miaka ya 80 's ipi au ya karne gani ambayo uchumi wa Tanzania ulikuwa sawa na ule wa China? Hivi kweli unaifahamu vizuri historia ya uchumi wa Tanzania ndugu yangu? Hivi kuna wakati ambayo Tanzania ili-suffer kiuchumi kama hiyo miaka ya 80?
Turudi kwenye bajeti ya Tanzania ambayo almost 30% inakuwa financed na donors! Unapotaka kuu-finance mradi wa $ 10 billion wewe mwenyewe maana yake ni kwamba, tukate bajeti ya wizara mbali mbali na kuzielekeza kwenye ujenzi wa bandari! Hatujawahi kuwa na bajeti ya $10 billion kwa mwaka basi let's assume hiyo ndiyo bajeti yenyewe ambayo almost 30% inakuwa financed na outsiders! Now tell me, utapangaua bajeti ya wizara ipi ili pesa zake uelekeze kwenye ujenzi wa bandari ambapo hakuna wizara hata moja ambayo inapata angalau $1 kwa mwaka!!! More interestingly, ingawaje hakuna wizara hata moja ambayo inapata angalau $ 1 billion kwa mwaka lakini hata hiyo portion ambayo kwa wizara nyingi ni chini ya $ 500 million bado huwa haitoki, then hizo za kufinance ujenzi wa badari utatumia formula ipi kuhakikisha mfuko wa ujenzi wa bandari mpya unapata pesa ya kutosha na mambo mengine yanaendelea kama kawaida? Hata tukisema tukate bajeti ya kila wizara kwa 10% bado hatutakuwa na uwezo wa kupata angalau $1 billion kwa mwaka! Potelea mbali, let's assume baada ya kukata panga huku na kule, tunakuwa na uwezo wa kupata $1 billion kwa mwaka, je itakuchukua muda gani kumaliza project inayo-cost $ 10 billion hasa ukizingatia kwamba kadri muda unavyoenda ndipo gharama za mradi zitakavyoendelea kupanda juu! Ikiwa gharama and everything will remain constant, then the project will take 10 years to be completed but as long as there's no way everything will remain constant, then with your formular it'll take at least 15 years to be completed!
Itoshe tu kusema kwamba, dunia ya kwamba tuache tu kwani mwambao wa bahari ni wetu na tutakuja kujenga mwaka wowote tukipata uwezo dunia hiyo hivi sasa hatunayo tena!!!
Hivi longterm project za miaka 10-20 mbele huwa wanawezaje kuitekeleza?
Kujenga hii bandari maandalizi yanatakiwa na vilevile unakwenda kwa awamu coz master plan itakuwepo.
Sasa ni kujiuliza tujipange vipi, kutoka wapi, tufanyeje ili tufikie malengo?
Au tubaki na kunyong'onyea tu kwamba Tanzania hatuwezi na hatutakaa tuweze?
Sidhani kama ni sawa
Last edited by a moderator: