Nakumbuka nikisoma mahali hivi karibuni kwamba serikali za Rwanda (ambayo Kenya na Uganda zinataka kuitosa kwenye mradi wa SGR in favor of South Sudan), Burundi, DRC na Tanzania zimetangaza tender kwa ajili ya mradi wa reli utakaochukua format ya PPP. Awali Sitta alikurupuka na kutangaza kwamba waChina wamepewa hiyo tender...serikali iliahidi ujenzi utaanza mwezi july.
..kuna miradi ya ujenzi wa reli ambayo mzee sitta aliahidi nayo inaelekea ilikuwa maneno matupu.
Kimweri, Kobello, msemakweli, Geza Ulole
Nakumbuka nikisoma mahali hivi karibuni kwamba serikali za Rwanda (ambayo Kenya na Uganda zinataka kuitosa kwenye mradi wa SGR in favor of South Sudan), Burundi, DRC na Tanzania zimetangaza tender kwa ajili ya mradi wa reli utakaochukua format ya PPP. Awali Sitta alikurupuka na kutangaza kwamba waChina wamepewa hiyo tender.
Wengi humu waliponda na kulaumu sana huo mradi, leo post ya zitto wanaulilia! Magu nyoosha hawa nyumbuPengine tunasahau tulikotoka ...