Inasemekana ujenzi wa mradi huu utazinduliwa mwezi July.
Binafsi mpaka sasa hivi sijaweza kupata taarifa za kutosha kuhusu mradi huu mkubwa.
Inaonekana kuna mwekezaji anaitwa CHINA MERCHANTS HOLDINGS INTERNATIONAL ambao ndiyo wadau wakubwa ktk mradi huo.
So far taarifa zote ambazo nimekutana nazo zimeniacha na maswali mengi kuliko majibu.
Kwa mfano, kuna taarifa nimekutana nayo inaelekeza kwamba China Merchants Holdings wataendesha bandari hiyo kwa muda wa miaka 40.
Pia katika mradi huohuo kuna mwekezaji mwingine anaitwa OMAN STATE GENERAL RESERVE FUND ambaye atahusika na eneo huru la kibiashara.
Naomba wenye taarifa zaidi kuhusu mradi huu watueleze. zaidi ningependa kujua nafasi ya serikali ya tanzania, na mamlaka ya bandari TPA ktk mradi huu.
cc Sangarara, salaama, Kimweri, Zitto, laiza, limetumbuka, Nguruvi3, NasDaz, Mdondoaji, Fx Trader, Zitto, Tokyo40, Kibona
Binafsi mpaka sasa hivi sijaweza kupata taarifa za kutosha kuhusu mradi huu mkubwa.
Inaonekana kuna mwekezaji anaitwa CHINA MERCHANTS HOLDINGS INTERNATIONAL ambao ndiyo wadau wakubwa ktk mradi huo.
So far taarifa zote ambazo nimekutana nazo zimeniacha na maswali mengi kuliko majibu.
Kwa mfano, kuna taarifa nimekutana nayo inaelekeza kwamba China Merchants Holdings wataendesha bandari hiyo kwa muda wa miaka 40.
Pia katika mradi huohuo kuna mwekezaji mwingine anaitwa OMAN STATE GENERAL RESERVE FUND ambaye atahusika na eneo huru la kibiashara.
Naomba wenye taarifa zaidi kuhusu mradi huu watueleze. zaidi ningependa kujua nafasi ya serikali ya tanzania, na mamlaka ya bandari TPA ktk mradi huu.
cc Sangarara, salaama, Kimweri, Zitto, laiza, limetumbuka, Nguruvi3, NasDaz, Mdondoaji, Fx Trader, Zitto, Tokyo40, Kibona