Massage Saloon (Massage Parlour)

siku hizi zipo nyingi sana...juzi tu jamaa yangu kaniambia amepata huduma hiyo ya extra kwa tsh 30,000/= naona huu utandawazi tuna utumia vibaya.
 
Well nimekuja kugundua kumbe massage ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Nimejaribi na kugundua ni nja nzuri sana ya ku release tensions ingawa ina addiction fulani hivi. It worths........try it my friends.
 
hata pale upanga opposite na geti la MUCHS unaweza kupata,kituo cha samaki msasani baada ya namanga kuna ile BEAUTY POINT,mikocheni kama unaingia AAR hospital mtaa wa mbele ukimaliza shule ya awali kushoto kuna barabara inaingia kuna kibao kinaelekeza. jaribu kote huko kumetulia nawe pia utatulia tu.!!
 
siku hizi zipo nyingi sana...juzi tu jamaa yangu kaniambia amepata huduma hiyo ya extra kwa tsh 30,000/= naona huu utandawazi tuna utumia vibaya.
mkuu mbona sioni link ya utandawazi?
 
Wakuu bado sijaziona za watoto wakigeni ni zipi hasa kwa ile kitu extra hata kwa montly salary nitajikamua.Au ndo zipo kwenye hizo hapo juu?
 
Bwana Kikahe jina sahihi ni massage parlour sio saloon wala salon,nitakutajia baadhi za bei nafuu manake kuna za mpaka laki.
1.Soft touch-Makumbusho kituoni 15,000/-chumba cha kawaida,25,000/-unawekewa sinema na kuoga(self contained),35,000/-unafanyiwa massage ndani ya jacuzzi.
2.Miriam-Victoria nyuma ya knight support 20,000/-
3.Revonia na Libra-TXmarket k'ndoni 15,000/-
4.Equal-manyanya k'ndoni 15,000/-
5.Magic-namanga 20,000/- ukitaka sauna baada ya massage unaongeza 5,000/-
6.Lisa-regent mkabala na Zantel utaona bango 20,000/-,sauna +5,000/-
7.Full dose-upanga karibu na Diamond 15,000/-
8.BMK-15,000/-
9.Lily-nyuma ya bestbite 20,000/-
Massage zote hizi ni za saa nzima na kuna 'hard' ya lotion au oil kuondoa maumivu,stress na tension,na 'soft' ya poda hii ni relaxation na sensual massage.Kwa maelezo kuhusu huduma za ziada tuma PM(kina fidel80,masanilo,yoyo hahaha!) sitaki kuharibu biashara za watu.
Kwa wale ambao pesa sio tatizo jaribuni kwa Mercy G-town centre karibu na hindu mandal 50,000/-.Massage zote hizi ni za wamatumbi wenzetu sijataja za wachina au mahoteli makubwa.


Aise safi sdana; una namba za simu za sehemu hizo????
 
In all the reading that I have done[which is not much,I confess]sijaona mtu yeyote anaelezea faida ya massage.
Halafu juzi,nilkuwa naona ITV,katika Television,linatolewa darasa la wanawake kusuka nywele,na kutumia vipodozi ili ''waweze kufanya mambo hayo kwa usalama,bila kudhuru afya zao''. The only good thing I can say about women having long hair,ni kwamba itaweza kuwalinda from the hot sun.
 
Kumbe hii biashara inalipa sana! kuna mtu hapa DAR nimeona kaamua kuitoa nyumba yake ya 5 Rooms na kuifanya Massage Parlour. Na anasema kwa sasa ana uhakika wa mshiko kama 200,000/- kila siku na kodi halipi. Hapo Imekaaje?
 
Kumbe hii biashara inalipa sana! kuna mtu hapa DAR nimeona kaamua kuitoa nyumba yake ya 5 Rooms na kuifanya Massage Parlour. Na anasema kwa sasa ana uhakika wa mshiko kama 200,000/- kila siku na kodi halipi. Hapo Imekaaje?

Siku akitaka kurudisha kuwa nyumba ya kawaida awaite viongozi wa dini waiombee maana itakua imegubikwa na pepo la ngono
 
IT Is very true pal!! We must differentiate the two!! In UK Or USA they do respect these parlours. The massage is done by proffessional therapists. But in Bongo we are taking it differently. I am not so sure if these Palours in Tanzania have trained ( qualified) massage therapist.

Training ipi zaidi unahitaji mkuu, what is a training so far? Does it need somebody to go to class with a pen na daftari na kupewa cheti ama? Kuna training ya vitendo wanapatiwa hawa watu!

Hata hizo massage za Ulaya still unaweza mtongoza mhusika mka-DO tuu, it is all about makubaliano, as long as mko wawili chumbani, ni kumshwawishi na kumjengea mazingira tu!
 
I wish you could have tested that service( Massage) You could answer youself if they are trained or not. I am telling you they are doing it proffessionally. Just test it one day and you will realize the truth in It. That is my routine once every week. It releases tensions a lot.
 
I wish you could have tested that service( Massage) You could answer youself if they are trained or not. I am telling you they are doing it proffessionally. Just test it one day and you will realize the truth in It. That is my routine once every week. It releases tensions a lot.

U said it kaka!
 
Massage parlour nzuri ni nyumbani kwako tu na shemeji (Utapata full package) ....wengine wote wezi tu.....:D
 
Back
Top Bottom