Massage Parlours/madanguro

Massage Parlours/madanguro

Wiki iliopita nilianza kuumwa mgongo na nikashauriwa na rafiki yangu nikafanyiwe massage itasaidia.Nikaenda kwenye massage moja iliopo namanga.

Baada ya kunifanyia massage yule msichana akaniambia wanatoa huduma ingine pia. Nikamuuliza huduma gani? Akasema ngono kwa elfu 20,kwahiyo massage 20 na ngono 20.Nikamwambia nina dozi ya malaria labda siku nyingine.

Jioni tukiwa kisimani [bar] nikawaambia wenzangu kisa kile, wakasema mbona ndio kawaida ya massage zote za dar. Nikaambiwa massage nyingi za Sinza, Kijitonyama, Kinondoni, Namanga, Msasani hata kwenye sehemu za mazoezi na hoteli kubwa hii extra baada ya massage ipo na tafauti inakua katika bei tu.

Kwanza nasikitika kipindi umeileta hii mada nilikuwa bado sijajiunga JF, pili usemacho kinaweza kuwa kweli lakini siyo massage parlours zote zinafanya uchafu huo. Kwa jinsi ulivyoielezea nadiriki kusema hii habari yako si ya kweli bali ni stori zile zile za vijiweni...na wewe ukaamuwa kuileta hapa.
 
ACHA UONGO, MIMI nimefika hapo kwa massage karibu mara tatu hata siku moja sikuwa kuambiwa extra. Wewe utakuwa uliomba hiyo extra baada ya kunogewa labda na massage(ulikaribia kupasua nguo yako ya ndani) binti nae kwa shida zake alizonazo akukujibu sawa. Bora uwe kweli kuliko kupaka matope biashara ya mtu kwamba hali niyo.

Uko sahihi rafiki yangu...mleta mada ni muongo sana! Mimi binafsi nimeshafika pale na kufanyiwa massage zaidi ya mara tatu na sijawahi kuona wala kuwahisi kama wanafanya uchafu huo. Mleta mada kaongeza chumvi ili kufurahisha baraza.
 
boma you are right ..katika parlour zote nilizopita magic wako proffession....sijawahi kupewa hiyo ofa ya extra...wanakufanyia ukimaliza unaaga....hayo mambo ya extra ni lazima mteja ndio utakuwa umeanzisha ....na binti ana hiyari ya kukupa contacts zake au vinginevyo......that is adult consent....

kuna parlour za uswahilini ambazo mabinti hawajui ku massage......hao ndio kila mteja anayefika hujaribu ku m divert kwenye ngono...kwa lugha nyepesi ..kwao ngono ni kazi rahisi kuliko kum massage mteja...tukumbuke masseur ni kazi inayosomewa na ni sanaa watu wana hadi diploma......kwa asiyeijua hatakuwa na namna ya kumfurahisha mteja zaidi ya kumpa ngono....

..kwa kawaida nikienda mahali wanapo innitiate ngono huwa sirudi tena ....hayo ni mazingira hatarishi!!!!

Kwa ufupi hakuna professional salon yeyote inayoweza kuruhusu upuuzi huo...hayo mambo yapo kwenye visalon vya uswahilini hasa vichochoroni tena siyo zote ni baadhi tu. Mleta mada ana lake jambo.
 
Kwa ufupi hakuna professional salon yeyote inayoweza kuruhusu upuuzi huo...hayo mambo yapo kwenye visalon vya uswahilini hasa vichochoroni tena siyo zote ni baadhi tu. Mleta mada ana lake jambo.

% kubwa za massage parlours ni madanguro huo Ndiyo ukweli
 
Hiyo si biashara kama biashara nyingine tu hao wamesajiliwa na wanalipa kodi kodi hiyo inasemesha watoto zako an babu zako huko vijijini na kuwajengea zahanati na barabara na kuboresha maisha yao tuache kuwanyanyasa watu hawa tuwaache wafanye kazi zao kwa uhuru

PAYE wanalipa?
 
Mkuu inawezekana ukawa unabishana na wamiliki wa madanguro....maana unawachafulia biashara yao....hahahahaaaaa....

Mkuu,sikatai kuwa huo upuuzi haupo...upo ila siyo kwenye hizi professional salon' hayo mambo utakutananayo kwenye massage parlours au salon za uswahilini kabisa...nako siyo salon zote wanafanya huo upuuzi ila ni baadhi tu.

Pili nataka kukueleza kitu kingine cha muhimu sana...asilimia kubwa ya wateja wa massage (nazungumzia wanaume) wanapokuwa massage room wao au yeye ndiye anaekuwa wa kwanza kumsumbua staff wa kike(muhudumu) na hii siyo kwenye salon za vichochoroni tu bali hata kwenye professional salon pia. Ila am sure kwenye professional salon ni vigumu sana staff wake akukubalie huo uchafu mkiwa huko chumbani sana sana mtaishia kuongea na kupeana namba za simu na biashara inaishia hapo. Ila uko uswahilini wahudumu wa hizo massage parlours wanakuwa wepesi wa kuvua chupi kutokana na mazingira yake ya kazi ukizingatia mishahara yao inakuwa ni midogo sana plus hawana elimu wa hiyo kazi kichwani.
 
Kweli huyo jamaa ni mdau wa hiyo biznes ndomana ana tokwa na povu

Ha ha haaaa unanifurahisha sana!! Ni kweli mimi ni mdau wa mambo ya salon na urembo kwa ujumla. Ila mimi nakuomba wewe tuende na fact na siyo kuongea kwa hisia tu. Na kila nikikusoma between the line nahisi ujawahi kufanyiwa hiyo massage na kama umewahi kufanyiwa basi ni huko upuuzini kwa wenzio ambako usikute wewe ndiye ulikuwa wa kwanza kumlalamikia muhudumu kimapenzi na baada ya kufanikiwa umekuja kumtangazia hapa ilihali wewe ndiye ulimshawishi kwa maneno na ahadi kem kem.
 
Miikion hair sijui wanachokata ni nini.. Wanaume wanawasumbua wadada thenwakipewa mbunye wanaume hao wao wanakuja hapa kulia lia . Si unguruwe huu ni nini?
 
Back
Top Bottom