Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
Bila kusahau na kwenye vyoo vya waheshimiwa kule mjengoni......
bila kusahau na vichakani
Bila kusahau na kwenye vyoo vya waheshimiwa kule mjengoni......
Duh!!!...Bongo kweli mamtoni!...Hata hivyo kumbukeni kuvaa soksi!
Wiki iliopita nilianza kuumwa mgongo na nikashauriwa na rafiki yangu nikafanyiwe massage itasaidia.Nikaenda kwenye massage moja iliopo namanga.
Baada ya kunifanyia massage yule msichana akaniambia wanatoa huduma ingine pia. Nikamuuliza huduma gani? Akasema ngono kwa elfu 20,kwahiyo massage 20 na ngono 20.Nikamwambia nina dozi ya malaria labda siku nyingine.
Jioni tukiwa kisimani [bar] nikawaambia wenzangu kisa kile, wakasema mbona ndio kawaida ya massage zote za dar. Nikaambiwa massage nyingi za Sinza, Kijitonyama, Kinondoni, Namanga, Msasani hata kwenye sehemu za mazoezi na hoteli kubwa hii extra baada ya massage ipo na tafauti inakua katika bei tu.
ACHA UONGO, MIMI nimefika hapo kwa massage karibu mara tatu hata siku moja sikuwa kuambiwa extra. Wewe utakuwa uliomba hiyo extra baada ya kunogewa labda na massage(ulikaribia kupasua nguo yako ya ndani) binti nae kwa shida zake alizonazo akukujibu sawa. Bora uwe kweli kuliko kupaka matope biashara ya mtu kwamba hali niyo.
boma you are right ..katika parlour zote nilizopita magic wako proffession....sijawahi kupewa hiyo ofa ya extra...wanakufanyia ukimaliza unaaga....hayo mambo ya extra ni lazima mteja ndio utakuwa umeanzisha ....na binti ana hiyari ya kukupa contacts zake au vinginevyo......that is adult consent....
kuna parlour za uswahilini ambazo mabinti hawajui ku massage......hao ndio kila mteja anayefika hujaribu ku m divert kwenye ngono...kwa lugha nyepesi ..kwao ngono ni kazi rahisi kuliko kum massage mteja...tukumbuke masseur ni kazi inayosomewa na ni sanaa watu wana hadi diploma......kwa asiyeijua hatakuwa na namna ya kumfurahisha mteja zaidi ya kumpa ngono....
..kwa kawaida nikienda mahali wanapo innitiate ngono huwa sirudi tena ....hayo ni mazingira hatarishi!!!!
Kwa ufupi hakuna professional salon yeyote inayoweza kuruhusu upuuzi huo...hayo mambo yapo kwenye visalon vya uswahilini hasa vichochoroni tena siyo zote ni baadhi tu. Mleta mada ana lake jambo.
% kubwa za massage parlours ni madanguro huo Ndiyo ukweli
Hiyo si biashara kama biashara nyingine tu hao wamesajiliwa na wanalipa kodi kodi hiyo inasemesha watoto zako an babu zako huko vijijini na kuwajengea zahanati na barabara na kuboresha maisha yao tuache kuwanyanyasa watu hawa tuwaache wafanye kazi zao kwa uhuru
% kubwa za massage parlours ni madanguro huo Ndiyo ukweli
% kubwa za massage parlours ni madanguro huo Ndiyo ukweli
Mkuu nielekeze huku kinondoni kwetu nikajaribu nione kama ni kweli
Mkuu inawezekana ukawa unabishana na wamiliki wa madanguro....maana unawachafulia biashara yao....hahahahaaaaa....
Mkuu inawezekana ukawa unabishana na wamiliki wa madanguro....maana unawachafulia biashara yao....hahahahaaaaa....
Kweli huyo jamaa ni mdau wa hiyo biznes ndomana ana tokwa na povu