Massage Parlours/madanguro


My take: Hivi inawezekanaje ukaishi na mke wako na usifaham anapofanyiakazi, au akawa anakueleza nafanyakazi mahali flani na haujawahi fika?

Nimewajibika kwa kufanya kazi ngumu wiki nzima... halafu inapofika w-end nataka mtu (mrembo) wa kunisinga na kunipunguzia hamu zangu... halafu eti polisi watuvamie? Hii haingii akilini hata kidogo. Hayo ni makubaliano ya watu wawili na hakuna sheria yeyote imevunja.
 
Nimewajibika kwa kufanya kazi ngumu wiki nzima... halafu inapofika w-end nataka mtu (mrembo) wa kunisinga na kunipunguzia hamu zangu... halafu eti polisi watuvamie? Hii haingii akilini hata kidogo. Hayo ni makubaliano ya watu wawili na hakuna sheria yeyote imevunja.
Kama kuna makubaliano ya fedha mwisho wa kusingwa na kupunguziwa hamu then sheria imevunjwa...kama ni mapenzi yenu bila ya fedha, sheria iko upande wako...there is a very fine line there....
 
Kama kuna makubaliano ya fedha mwisho wa kusingwa na kupunguziwa hamu then sheria imevunjwa...kama ni mapenzi yenu bila ya fedha, sheria iko upande wako...there is a very fine line there....

Mkuu,Tusaidie sheria gani inakataza makubaliano ya kutoa hela kwa kubadishana na ngono?
 
Mkuu,Tusaidie sheria gani inakataza makubaliano ya kutoa hela kwa kubadishana na ngono?

Soma hapa kwa lugha ya kigeni aka lugha ya kitaalamu....
Prostitution is the act or practice of engaging in sex acts for hire. Na lililopigiwa mstari ndio fine line niliyokuwa nikiizungumzia mkuu. Halafu unaweza kwenda kuangalia katika sheria za Tanzania inazungumzia vipi kuhusu prostitution.....Then utafikia kwenye conclusion niliyoizungumzia hapo awali.....
 
Ngono ni makubaliano ya watu wawili na huu ni uhuru wa kikatiba. Damn!!

waambie hawa kaka ...that is called two adults consent.....

..hata ulaya walioenda kwenye massage zao...sio ajabu kupewa ngono...iwapo umeomba naye akakukubalia...au amekuona akahamasika ..akakuomba ukakubali[sio sheria ,hairuhusiwi wala hailazimishwi,ila kama hakuna mmoja atakayelalamika..basi ruksaa]....

sasa huyo mwandishi wa habari aliyeenda kuchungulia mwenzake anafanyiwa massage ni mjinga sana!!!..

ndio maana kuna umuhimu kwa kuwa fani ya massage imeingia kwa kasi ....ni lazima idhibitiwe kwa kuwepon leseni,veta wafunze mabintyi..etc...kinachosababisha ngono kwenye massage ni ukosefu wa elimu ya uchuaji kwa mabinti walio wengi....na wengi hudhani massage ni kutia mteja ashki....

lakini if you go to a proffessional massuer....kwa namna atakovoku keep busy na programme zake ....wala hutapata wazo la kufikiria ngono....thats why kwa lugha nyepesi massuer wanaoshawishi ngono..they are just been un proffessional...and they think the way to please the customer is sex.....massuer wa tanzania unaingia eneo lake ...unamuuliza programme..hajui anacheka cheka tu....hajui misuli au viungo vya kushika...tatizo !!
 
Kama kuna makubaliano ya fedha mwisho wa kusingwa na kupunguziwa hamu then sheria imevunjwa...kama ni mapenzi yenu bila ya fedha, sheria iko upande wako...there is a very fine line there....

Mwazange

Nimependa kauli yako, "there is a very fine line there..."

Hii inanifanya niulize maswali haya:

1) Kama ukiwa na maelewano na mwanamke anayefanya "massage", akaja nyumbani kwako, ukamlipa kwa huduma zote, ikiwamo "ngono", ilhali wewe ni bachelor, (a) nani atakayejua, kwani mtakuwa kwenye faragha, na (b) sheria gani itakayovunjwa hapo?

2) Sheria ina mtazamo gani kuhusu mwanaume anayekwenda kwenye salon za massage, akapata huduma zote, ikiwamo ya "ngono", ama ya bure ama ya malipo? Uvunjwaji wa sheria utakuwapo ikiwa huduma hiyo ya ngono itatolewa bila malipo, na nyinginezo zinatolewa kwa malipo?
 
Nadhani watanzania tuna matatizo mengi ya kushughulikia, hili la starehe na wenye hela zao nadhani lingeachwa kwanza. Na hao polisi mbona hawaendi kukamata vibaka pale daraja la mazese?? wanaenda kwenye salon??
 
Soma hapa kwa lugha ya kigeni aka lugha ya kitaalamu....
Prostitution is the act or practice of engaging in sex acts for hire. Na lililopigiwa mstari ndio fine line niliyokuwa nikiizungumzia mkuu. Halafu unaweza kwenda kuangalia katika sheria za Tanzania inazungumzia vipi kuhusu prostitution.....Then utafikia kwenye conclusion niliyoizungumzia hapo awali.....

Penal code inasema hivi,146. Woman living on, or aiding, prostitution A woman who knowingly lives wholly or in part on the earnings of prostitution or who is proved to have, for the purpose of gain, exercised control, direction or influence over the movements of a prostitute in such a manner as to show that she is aiding, abetting or compelling her prostitution with any person, or generally, is guilty of an offence. Ukisoma kifungu hiki kilivyokuwa drafted toka mwanzo mpaka mwisho utaona dhahiri kuwa prostitution sio kosa, kosa ni kuishi wholly or in part on the earnings of prostitution. Kwa kuangalia vizuri utaona kuwa kuwa kuwa na majumba ya prostitution nndio kosa lakini sio kufanya prostitution.Hebu mijuze wewe binafsi unakionaje kifungu hiki???????
 
Penal code inasema hivi,146. Woman living on, or aiding, prostitution A woman who knowingly lives wholly or in part on the earnings of prostitution or who is proved to have, for the purpose of gain, exercised control, direction or influence over the movements of a prostitute in such a manner as to show that she is aiding, abetting or compelling her prostitution with any person, or generally, is guilty of an offence. Ukisoma kifungu hiki kilivyokuwa drafted toka mwanzo mpaka mwisho utaona dhahiri kuwa prostitution sio kosa, kosa ni kuishi wholly or in part on the earnings of prostitution. Kwa kuangalia vizuri utaona kuwa kuwa kuwa na majumba ya prostitution nndio kosa lakini sio kufanya prostitution.Hebu mijuze wewe binafsi unakionaje kifungu hiki???????

Samahani Mwazange, itakusumbua kusoma nashindwa kupata bold, italic na underline katika mashine yangu, moreover paragraph hata ukizaipanga hazikubali nivumilie tafadhali matatizo ya kiufundi.
 
waambie hawa kaka ...that is called two adults consent.....

..hata ulaya walioenda kwenye massage zao...sio ajabu kupewa ngono...iwapo umeomba naye akakukubalia...au amekuona akahamasika ..akakuomba ukakubali[sio sheria ,hairuhusiwi wala hailazimishwi,ila kama hakuna mmoja atakayelalamika..basi ruksaa]....

sasa huyo mwandishi wa habari aliyeenda kuchungulia mwenzake anafanyiwa massage ni mjinga sana!!!..

ndio maana kuna umuhimu kwa kuwa fani ya massage imeingia kwa kasi ....ni lazima idhibitiwe kwa kuwepon leseni,veta wafunze mabintyi..etc...kinachosababisha ngono kwenye massage ni ukosefu wa elimu ya uchuaji kwa mabinti walio wengi....na wengi hudhani massage ni kutia mteja ashki....

lakini if you go to a proffessional massuer....kwa namna atakovoku keep busy na programme zake ....wala hutapata wazo la kufikiria ngono....thats why kwa lugha nyepesi massuer wanaoshawishi ngono..they are just been un proffessional...and they think the way to please the customer is sex.....massuer wa tanzania unaingia eneo lake ...unamuuliza programme..hajui anacheka cheka tu....hajui misuli au viungo vya kushika...tatizo !!
You sound like bongo kuna masseuse tu na hakuna masseur?! Kwanini VETA ifundishe mabinti tu na si wavulana/wanaume pia?!!
 
u burst into someones room or office, find a girl there naked and u say she is a prostitute..? THIS IS SO EMBARRASSING..! WAT A SHAME..!

SO U GONNA CHARGE THEM WITH WHAT...? BEING NAKED BEHIND CLOSED DOORS..? so wat do u think happens behind walls and doors....? PRAYERS..?

stop misusing tax payer's money for such nonsensical witch hunt..! and go for big fishes, criminals.. bandits.. rapist... murderers even more worse FISADIS...!

DO U WANT THIS PIPO TO DO MASSAGE IN KANZU AND BAIBUI..?
 
Nadhani watanzania tuna matatizo mengi ya kushughulikia, hili la starehe na wenye hela zao nadhani lingeachwa kwanza. Na hao polisi mbona hawaendi kukamata vibaka pale daraja la mazese?? wanaenda kwenye salon??

Polisi wa Tz ukiwaitia uhalifu hawaji lakini ukiwaambia kuna magendo yanapita basi hizo mbio wanaweza kusababisha ajali. Wamebinafsisha mno jeshi la polisi kuwa kitegauchumi cha polisi wenyewe.
 
Hi there,
to one and all of this forum
myself manu i hale from UK and here for
some social cause,hope i wll be able to make some cool
frnds and have a gr8 time in Tanzania
 
Hii jamii sasa inachanganyikiwa,kama mtu kaamua kuliwa uloda we paparazi na polisi inawahusu nini?acheni hizo mbona sehemu nyingine duniani ni biashara inayolipiwa kodi, labda mngedai vat hapo sawa
 
Hizi huduma zinapatikana sehemu gani wan JF nifahamisheni nami nipate hiyo kitu
 
Back
Top Bottom