Massage Parlours/madanguro

Massage Parlours/madanguro

Haya mambo au hizo taharifa ni habari za kufirikika na hisia zenye mihemuko tu...kwani hadi sasa hakuna alieleta ushahidi wa kimantiki zaidi ya porojo tu...mra oooh hivi mara oooh vile na blah blah kibao. Ukitaka kuamini kama hizi habari ni za uongo jiulize swali hili dogo tu-:

Inakuwaje member anaeleta au kuadithia stori hiyo hapa JF anatumia ID fake...sasa anaogopa nini kutaja jina la Salon au massage parlour aliyokwenda na akakuta uchafu huo? Ukimwambia ataje hata jina la staff anaefanya uchafu huo pia anashindwa ilihali hapa anatumia ID fake. So jibu lake ni rahisi sana...hizi habari zimejaa kufirikika kuliko uhalisia

Kwa hiyo sisi Ndiyo tutawaokota wafanyakazi corner bar ningejua nisingemleta mke wangu hapo kwenu
 
Pink Massage Parlour Sinza,kwanza wadada wachafuuuu...wananuka kwapa haalafu wanaomba hela haooooo

Ahsante sana, sasa Salon kama hiyo na yenye wahudumu kama hao ndio ndugu yako MRANGI anapenda kwenda kufanyiwa massage yake. Anasahau kuwa kunguni na chawa wanapenda kuishi na kuzaliana sehemu kama hizo...na ki kubwa kinachompeleka huko ni hao Ntombe Nkale.
 
Kwa hiyo sisi Ndiyo tutawaokota wafanyakazi corner bar ningejua nisingemleta mke wangu hapo kwenu

Ha ha haaa...Lol!! Munisamehe bure jamani' ulimi uliteleza na sintorudia tena. Ha ha haaaa
 
Ha ha haaa...Lol!! Munisamehe bure jamani' ulimi uliteleza na sintorudia tena. Ha ha haaaa

Ngoja nikutumie picha, attachment ya saloon yko hyo ndani
Ah usijali asante kwa kutupondaaa
 
Mara nyingi Massage Parlours huwa na huduma ya ziada na hasa huwa kupigishwa ngunga, hii nimeona sehemu nyingi.. lakini huduma yoyote ya ziada katika sehemu hizo mara nyingi huwa ni kati ya mwajili na mwajiliwa. Hivyo basi ni biashara haramu na inayokwenda kinyume na leseni. Serikali inajua hilo lakini inafumbia macho au inachelea kuchuka hatua yoyote ama kutokana na ugumu wa maisha na sababu zingine wazijuazo.

Cha msingi huu unaweza kuwa Mwanzo wa kurudi kwa madanguro yanayotambuliwa na serikali.


"Kupigishwa Ngunga" ndo kufanywaje tena mkuu??? Kibunango
 
Last edited by a moderator:
We nae hilo lilikuwa zali lako sio kila mtu anapewa na umembwela unakuja kusema kwa watu waliokubuhu wanakucheck tu na hiko ndio rafiki zako walikuona unamaganzi mpaka mgongo unauma we umri wako ni wa kuumwa mgongo kweli. Umeelekezwa kwa wajuvi na sister du aliona shida zako ndio akakuambia mpeleke mgonga nyundo wa tegeta uone kama ataambiwa atoe 20,000.

Wiki iliopita nilianza kuumwa mgongo na nikashauriwa na rafiki yangu nikafanyiwe massage itasaidia.Nikaenda kwenye massage moja iliopo namanga.

Baada ya kunifanyia massage yule msichana akaniambia wanatoa huduma ingine pia. Nikamuuliza huduma gani? Akasema ngono kwa elfu 20,kwahiyo massage 20 na ngono 20.Nikamwambia nina dozi ya malaria labda siku nyingine.

Jioni tukiwa kisimani [bar] nikawaambia wenzangu kisa kile, wakasema mbona ndio kawaida ya massage zote za dar. Nikaambiwa massage nyingi za Sinza, Kijitonyama, Kinondoni, Namanga, Msasani hata kwenye sehemu za mazoezi na hoteli kubwa hii extra baada ya massage ipo na tafauti inakua katika bei tu.
 
Achana na hiyo...kuna body treatment moja ya ajabu sana ambayo itakufanya uonekane kama mtoto mchanga mwenye ngozi nyororo na isiyokuwa na makwinyanzi hata kama umri wako ni miaka 50 hadi 70.

Hii ni Kianty full body brushing stem bath. Hii ni body treatment ya kimataifa na inafanyika kwenye professional salon zote za Ulaya na America' na hapa Bongo ipo kwenye salon zisizozidi tatu au nne...mzee unaingia ndani ya beauty clinic room,unavua nguo zako zote au unaweza kubakia na under wear tu. Unapanda kitandani muhudumu wa kike anaingia akiwa kwenye uniform za unesi...anaanza kukubrush na kianty scrub mwili mzima,then analeta kianty steaming unapakwa mwili mzima (cream mzito) then anakuwashia double steamer mashine ambazo zitakupiga mwili mzima uku ukigeuzwa geuzwa kama kuku anechomwa kwenye oveni.

Baada ya hapo utaenda kuoga humo humo ndani...ukimaliza kuoga unapanda tena kitandani then dada muhudumu atachukuwa Kianty natural mask (mfano wa tope gumu lililo laini) alafu atakupaka mwili mzima kuanzia usoni hadi unyayoni...hii utaachwa nayo kama nusu saa au dk 45 hivi. Baadae itaondolewa yote kwa wewe kwenda kuoga tena au kwa muhudumu kuifuta yote kwa kutumia taulo laini lenye maji ya moto (kumbuka hatua hii ni ngumu kidogo kwani hiyo mask huwa inavuta ngozi yako balaa but for something good and not bad)

Baada ya hapo utalala tena kitandani,dada muhudumu atakusogelea tena mkononi akiwa na Natural Sea Salt ya Kianty atakupaka tena mwili mzima then utaingia kwenya Sauna steam bath na ndani ya hiyo Sauna steam bath kutakuwa na slace za matango kama pc 200...utakaa kwenye hiyo mashine kama dk 45 huku ukipigwa na mvuke mkali sana wa tiba. Baada ya dk zako kwisha utaoga humo humo kwenye hiyo mashine. Mwisho kabisa utapakwa finishing lotion na teyari kwa kuondoka.

Rafiki yangu, ukitoka hapo inaitwa Kantangaze huko uendako...kitu ngozi laani,ng'avu na isiyo na makwinyanzi...uvutaji wa hewa unausikia tafauti na mapigo ya moyo unayasikia tafauti. Ukiweza kuifanya huduma hii kwa mwaka mara tatu basi nakupa grantee miaka miaka mia moja...hakuna cha vipele,chunusi ndogo ndogo,ngozi kuwa na rangi mbili wala kuwa na ngozi ngumu kama ya kenge...yaani hii kitu ni kama mtoto mchanga.

Sounds like a whole day activity😳! The thing is mazingira yetu hayatoi nafasi ya ngozi kuwa nzuri hata baada ya hizo treatment.... Maji tunayoogea, sabuni, hali ya hewa etc. Yaweza kuwa ni wastage of money kwa mtazamo wangu...
 
Sounds like a whole day activity😳! The thing is mazingira yetu hayatoi nafasi ya ngozi kuwa nzuri hata baada ya hizo treatment.... Maji tunayoogea, sabuni, hali ya hewa etc. Yaweza kuwa ni wastage of money kwa mtazamo wangu...

Nimependa uliposema huo ni mtizamo wako...pia nakubaliana na wewe kuwa mazingira tunayoishi yanaweza kusababisha hiyo treatment isifanye kazi. Lakini tambuwa hata uko Ulaya na America inakotokea hii product nako mazingira yao hayagandi. What i know napenda kukuhakikishia kuwa hiyo treatment inaendana na mazingira yote na zipo aina tatu na kila moja na ngozi yake na matatizo. Ipo ya kutumia kwenye kipindi cha joto na ipo ya kutumia kwenye kipindi cha baridi.

Lakini kubwa kabisa kabla ya kuanza huduma hiyo kuna mashine maalumu ambayo itapima kwanza ngozi yako kujuwa ni aina gani ya treatment ambayo itaendana na ngozi yako...zipo za oil skin,dry skin na balanced skin. Mkuu amini maneno yangu kwani niko kwenye hii game tokea kitambo sana...na siko hapa kujipigia debe kibiashara ila niko hapa kutoa elimu stahiki kuhusiana na mambo ya Salon na urembo kwa ujumla.

Ukitaka kuiona hiyo mashine ya kupimia ngozi yako kabla ya huduma basi nitaitupia hapa. Karibu tuendelee.
 
wazee wa massage,,,ila kama kuna mtu yoyote massage iliyoji ficha ficha...maana nimekula sana pweza nataka nikapunguze protini huko
 
Haya mambo au hizo taharifa ni habari za kufirikika na hisia zenye mihemuko tu...kwani hadi sasa hakuna alieleta ushahidi wa kimantiki zaidi ya porojo tu...mra oooh hivi mara oooh vile na blah blah kibao. Ukitaka kuamini kama hizi habari ni za uongo jiulize swali hili dogo tu-:

Inakuwaje member anaeleta au kuadithia stori hiyo hapa JF anatumia ID fake...sasa anaogopa nini kutaja jina la Salon au massage parlour aliyokwenda na akakuta uchafu huo? Ukimwambia ataje hata jina la staff anaefanya uchafu huo pia anashindwa ilihali hapa anatumia ID fake. So jibu lake ni rahisi sana...hizi habari zimejaa kufirikika kuliko uhalisia
Wewe jamaa ni mgeni hapa Duniani?
Ina maana huujui kuhusu Massage? Duuh!
 
Nimependa uliposema huo ni mtizamo wako...pia nakubaliana na wewe kuwa mazingira tunayoishi yanaweza kusababisha hiyo treatment isifanye kazi. Lakini tambuwa hata uko Ulaya na America inakotokea hii product nako mazingira yao hayagandi. What i know napenda kukuhakikishia kuwa hiyo treatment inaendana na mazingira yote na zipo aina tatu na kila moja na ngozi yake na matatizo. Ipo ya kutumia kwenye kipindi cha joto na ipo ya kutumia kwenye kipindi cha baridi.

Lakini kubwa kabisa kabla ya kuanza huduma hiyo kuna mashine maalumu ambayo itapima kwanza ngozi yako kujuwa ni aina gani ya treatment ambayo itaendana na ngozi yako...zipo za oil skin,dry skin na balanced skin. Mkuu amini maneno yangu kwani niko kwenye hii game tokea kitambo sana...na siko hapa kujipigia debe kibiashara ila niko hapa kutoa elimu stahiki kuhusiana na mambo ya Salon na urembo kwa ujumla.

Ukitaka kuiona hiyo mashine ya kupimia ngozi yako kabla ya huduma basi nitaitupia hapa. Karibu tuendelee.
Wewe binti hebu ni pm nijue location ya salon yako nije nipate Huduma!
 
Back
Top Bottom