Massage Parlour...

Massage Parlour...

Nisingekuacha aisee bora nifukuzwe kazi

Hahahahaa weewee usiache hisia zikutawale hasa kazini.... hata kama umejiajiri mwenyewe au kampuni ni yako unaweza kukosa wateja au kufutwa kazi halafu ukaishi kwa tabu...

Inatakiwa ulikubana na mazingira kama hayo unaomba business card tuu ya mteja wako au unayemsinga, kisha baada ya muda ya kazi ndo unasema humuachi....hapo hutofukuzwa kazi wala kupoteza wateja.
Pole kwa majukumu unayokumbana nayo.
 
Hahahahaa weewee usiache hisia zikutawale hasa kazini.... hata kama umejiajiri mwenyewe au kampuni ni yako unaweza kukosa wateja au kufutwa kazi halafu ukaishi kwa tabu...

Inatakiwa ulikubana na mazingira kama hayo unaomba business card tuu ya mteja wako au unayemsinga, kisha baada ya muda ya kazi ndo unasema humuachi....hapo hutofukuzwa kazi wala kupoteza wateja.
Pole kwa majukumu unayokumbana nayo.
Ila yataka moyo
 
Nilivyofikia sehemu uliyoandika amekupandisha genye nkasema kasie TAyari....Haya hongera kwa simulizi yako
 
Nilivyofikia sehemu uliyoandika amekupandisha genye nkasema kasie TAyari....Haya hongera kwa simulizi yako

Asante, haikuwa hivo nilitoka chumba cha kusinga salama salimini kabisa.
 
Haaaaahh haaaahh... ila hapana kufanyiwa hayo mambo na Men mwenzio sio poa labda a Lady.

Hahahahahaa unaanzaje sasa, wewe Ian misuli halafu anayekukanda nae awe na misuli... haifai kabisa, sawa na mwanamke kukandwa au kusingwa na mwanamke mwenzako. Hata sumaku zinabamba hasi na chanya na sio chanya kwa chanya au hasi kwa hasi..
 
Amina, siku hazigandi.... iko siku tuu...
Aya ila ukumbuke your promise to me, nisije nikasuri sana kama nasubiri treni ya kigoma ingawa wahenga wanasema subira yavuta kheri. 🙂 🙂 🙂
 
Aya ila ukumbuke your promise to me, nisije nikasuri sana kama nasubiri treni ya kigoma ingawa wahenga wanasema subira yavuta kheri. 🙂 🙂 🙂

Hahahahahaaa sina shaka nawe, maadam unajua misemo ya wahenga basi ujue mambo bam bam.
Kaa mkao wa kula.... ila si unajua mvumilivu hula mbivu? Kasie's promise is her rules of life, must be fulfilled.
 
Hii sio stori bali ni masimulizi ya uhalisia ulionitokea jana jioni. Sasa unataka chenchi ya nini, mie situngagi nasema kilichotokea. Kama sijakutana na mchi huwa nasema wazi tuu na hata nikikutana na mchi na ukanitwanga wala sifichagi kitu mie.....
Kasie yule yule wa kutabasamu muda wote.

Usijali, niaje lakini?
 
Hahahahahaaa sina shaka nawe, maadam unajua misemo ya wahenga basi ujue mambo bam bam.
Kaa mkao wa kula.... ila si unajua mvumilivu hula mbivu? Kasie's promise is her rules of life, must be fulfilled.
Ngoja nijikalie mkao wa kula nijilie mbivu zangu mie.
 
Hahahahahahaaa Fakalava.. ... nakukumbuka ujue..... kama sijakosea kuna mahali ulishasemaga tangu siku nyingi tuu unasubiri......
Kama hujakumbuka basi ntakuwa nimekosea....

Kwani, unajua kusinga? Ili siku nikipata wasaa nikukaribishe kwangu unisinge.... as you wish....
Aisee! Una kumbukumbu sana ujue, sasa huu wasaa ni lini unapatikana nikusinge Kasie nikaufurahie uumbaji wa Mungu?
 
Back
Top Bottom