Massage Parlour...

Massage Parlour...

Hhahahahahaaa youu yuuuuuu......

Uwe unachuna ukistukia ishu looh hehehehee ila, umejuaje??!!!!😀

Yaani nilikuwa nasoma story nikitegemea kukutana na tukio muhimu, mpaka story inaisha bila bila.

Hapa nitadai chenji madam.
 
Hv kuna sehemu wana hii kitu kwa Mbeya maana najihisi uchovu flani hv.
 
Kasie umeliwa bhana

Kama unataka iwe hivyo sawa..... au kama ukisikia Kasie kaliwa nawe unapata furaha basi weye furahia tuu hakuna namna ingine hehehe.
 
Nimeisoma hii thread kwa kuweka vituo vingi huku nimekunja nne ili kuepuka aibu kwenye basi nililopanda

Hahahahahahaaa umenichekesha, sasa unaona aibu ya nini? Nchi huru hii bana jiachie tuu, kama watu wanaweza ja.mba. hadharani na ikaonekana ni sawa na kupumua kawaida sembuse kuperuzi kurasa za JF.....
Pole lakini.....
 
Mkeo au Demu wako akikuambia anaenda huko basi unatakiwa uwe na ujasiri wa ' kutukuka ' wa kujikaza kwani kwa 99.999% lazima tu ' atabetuliwa / atabanduliwa ' na zile Njemba.
 
Nimetamani kusingwa! naanzia wapi?

Eneo unaloishi tafuta hizi sehemu za kusinga maarufu kwa massage parlour.... ila kama una mke au wewe ni ke una mme basi mnaweza kujifunza kwa njia ya mitandao. Gugo jinsi ya kusinga au how to massage zitakuja video kadhaa kisha mtafanyiana nyumbani kupunguza gharama.
 
Hhahahahahaaaa jamani, npole kwa kuamsha maruhani, hehehehee yaani huwezi hata kuamini yaani wafanyakazi wa hiyo sehemu ya kusinga, wako waaminifu na makini kwenye kazi tuu. Hakuna kilichotokea kabisa labda kama baada ya kunisinga aliingia chooni kulia kwa maumivu hehehee
Pia simtetei sana ila watakuwa washazoea kushika mamshededemengi mengi hivo kuona kawaida tuu.
Kweli jamaa wanajitambua na kazi yao ndio maana wakakuhudimia vizuri
 
Kama unataka iwe hivyo sawa..... au kama ukisikia Kasie kaliwa nawe unapata furaha basi weye furahia tuu hakuna namna ingine hehehe.
Yaani nimeumia vibaya!!!!
Naenda kusema Nyumbani milimani lushoto
 
Yaani nilikuwa nasoma story nikitegemea kukutana na tukio muhimu, mpaka story inaisha bila bila.

Hapa nitadai chenji madam.

Hii sio stori bali ni masimulizi ya uhalisia ulionitokea jana jioni. Sasa unataka chenchi ya nini, mie situngagi nasema kilichotokea. Kama sijakutana na mchi huwa nasema wazi tuu na hata nikikutana na mchi na ukanitwanga wala sifichagi kitu mie.....
Kasie yule yule wa kutabasamu muda wote.
 
Kiongozi wangu Daby sijamwona kabisa hapa

Yuko busy na maandalizi ya uchaguzi wa Kenya, yuko kwenye kamati nyeti ishu ndogondogo kama hizi huwa anaacha nimalizan nazo.
Naona umemuita kwa kivuli na kuogopa ngoja nimuite kwa kum-mensheni ili akipata wasaa wa kusoma ataona jinsi ulivo mchochezi...... Daby
 
Hv kuna sehemu wana hii kitu kwa Mbeya maana najihisi uchovu flani hv.

Pole, Mbeya sina uzoefu nako ila najua wakazi wa Mbeya wako humu ngoja watakuja kukuhabarisha.
 
Mkeo au Demu wako akikuambia anaenda huko basi unatakiwa uwe na ujasiri wa ' kutukuka ' wa kujikaza kwani kwa 99.999% lazima tu ' atabetuliwa / atabanduliwa ' na zile Njemba.

Aiseeeh, nilikuwa sifahamu hili....

Haya wenye wake zenu, tangazo la Dr. Genta mmeliona?? mmelielewa??

Aabiria chunga mzigo wako ukiuacha bila kuuhudumia utahudumiwa na wengine.... (nimejaribu kutafsiri alichomaanisha Dr. Genta) naweza kuwa siko sawa pia...

Haya wacha mie singula bin singeli kigagula bibi Kasie niendelee kujiachia kadri niwezavyo kujidaka maana ndo mwendo mdundo wangu huu wa ME, MYSELF & I.
 
Kweli jamaa wanajitambua na kazi yao ndio maana wakakuhudimia vizuri

Hhahahahhaaaaa Wee Joseeee weeeweeee .... kwanini lakini??!!!! heheheheee
Nikisema wako makini sijui unanielewaaa.....😀
 
Yaani nimeumia vibaya!!!!
Naenda kusema Nyumbani milimani lushoto

Kwa nini umeumia hivyo mkekuu??? watiidheee???

Chakwikiadheee??

Weshuu, nzezee!!??? ukunda mbwaii?
 
Back
Top Bottom