Massage Parlour...

Massage Parlour...

SAA MOJA NDANI YA CHUMBA CHA KUSINGA


Habari za usiku mnene mabibi na mabwana, leo nina tukio limetokea le oleo hivi bado ni la moto wala halijapoa.

Niko sehemu flani hivi mahsusi kwa ajili ya mishe flani hivi, baada ya kupiga kazi kutwa nzima nikapata mlo wa mchana kwa kuchelewa kidogo kutokana na umuhimu wa kazi iliyokuwa inasubiriwa na viongozi tayari kwa kujadiliwa kesho kwenye kikao asubuhi na mapema.

Sasa baada ya kula nikawa nasikia uchovu maana leo nilidamka tangu saa 11 alfajiri ndo nikaanza kuifanya hiyo kazi na jana nilichelewa kulala. Nikajikokota moja kwa moja hadi mahala pangu nilikopangiwa kulala, nikaoga maji ya uvuguvugu kasha nikaweka mvinyo nusu glasi, kabla hata sijapiga fundo moja nikajisikia hovyo. Nikawapigia watu wa mapokezi kuwa nahitaji mhudumu mmoja aje nione ananisaidiaje. Alipofika nikamueleza nnavojisikia akanishauri niende kusingwa kwa saa moja kisha niingie kwenye chumba cha mvuke wa moto (steam room) sijui ndo wanaita sauna and spa…. Halafu ndo ninywe wine ntajisikia vizuri huo ni uchovu tuu wa mwili.

Mhudumu Yule akaniambia huduma yote hiyo itagharimu dola 50, nikasema sawa pesa makaratasi na inatafutwa uzima kwanza. Akaniacha mule chumbani nikaingia tena bafuni kujimwagia maji ya moto tayari kuelekea chumba cha kusingwa (massage room)

Nikafika eneo la tukio (chumba cha kusingwa) kulikuwa na mapokezi yake, mhudumu wa pale akanitaka nijaze fomu kabla na kunielezea aina ya kusingwa ntakayofanyiwa. Akanishauri nisingwe aina ya kuondoa uchovu wenyewe wanaita (whole body relaxtation massage). Nikajaza fomu na kupewa maelekezo nikawa tayari kuelekea chumba cha kusingwa. Kabla sijaenda huyo mdada wa mapokezi akaniuliza, ungependa kusingwa na mwanaume au mwanamke?? Kwakuwa nilikuwa nimechoka nikamjibu kwa haraka mwanaume huku nikielekea chumba cha kusingwa. Yule dada wa mapokezi akanipeleka hadi kwenye chumba na kuniambia ataniacha kwenye chumba hicho kwa dakika 10 nibadili nguo zangu kisha akanielekeza mahali pa kuziweka. Akaniambia nina uamuzi wa kuvua cupi au kuiacha nikiwa nimeivaa wakati wa kusingwa. Kisha kuna kitanda kirefu chembamba akielekeza nikimaliza kuvua nguo nijifunge taulo kubwa tuu kutoka kifuani hadi miguuni chini, nikishajifunga taulo nilale kifudifudi au nilalie tumbo kisha mkaka atayenisinga ataingia na kuanza kazi yake.

Ndani ya Chumba cha Kusinga!!!

Yule mdada mhudumu aliniacha pale chumbani, mwanga wa chumba akaucha ukiwa hafifu alizima taa kali na kubakisha taa hafifu. Kulikuwa na mziki maliniiii au mziki wa taratibu wa ala. Yaani ni vyombo vya mziki tuu ndo vilikuwa vikiimba huku chumba kikiwa na joto la wastani kwa makadirio nyuzi 24.

Basi nikachojoa nguo zangu zote nikaziweka nilipoelekezwa na uchukua taulo nikajifunga na kujilaza hapo kitandani huku nikiwa nimelalia tumbo. Usawa wa kichwani kitanda kina tundu ambapo uso unakuwa unaangalia chini sakafuni ikiwa utafumbua macho au utaacha macho wazi. (mfano wa picha hapo chini)
619-00675648en_Masterfile.jpg

C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg


Basi mpenda starehe mie nikajilegeza mwili wote tayari kuubwaga uchovu kwa kusingwa, nikafumba macho huku nikisikilizia ala za mziki na utulivu wa kile chumba.

Kuja kuhamaki nasikia taulo linavutwa lile nililolilalia na kuwekwa kwa mtindo kama vile nimejifunika shuka bila kuchomekewa. Akanisalimia mkaka mweeh sauti nzito sikutaka hata kugeuka kumuangalia, nikaitikia salamu kisha akaniuliza napendelea mafuta yenye harufu ipi, nikachagua Rosiena kisha huduma ikaanza. Alichukua mikono yangu akaining’iniza chini kwa utaratibu kama vile isije ikanyofoka, kisha akafunua lile taulo hadi usawa wa matako yaani kiuno chote kikawa wazi. (mfano wa picha hapo chini)

673-03623249en_Masterfile.jpg

C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.jpg


Akaniambia ukiona tofauti au hujisikii sawa uniambie nipunguze mkandamizo au pia waweza sema niongeze, nikamuitikia sawa.

619-00675666en_Masterfile.jpg

Akaanza kunisinga mgongo kisha shingo kisha kiuno na tumbo la pembeni pande zote mbili kisha akashuka kwenye matako usawa wa kiuno mikono inaingia ndani ya taulo kidogoo kama anataka kuyatomasa matako… hapo ndo nikagundua kumbe naweza kufika orgasm / mshindo kwa kusingwa tuu.
693-06016511en_Masterfile.jpg

C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image003.jpg


Niianza kusikia damu inachemka, kusisimka hasa alipokuwa akishika maeneo kwa maeneo, kumbuka taulo limekunjwa hadi usawa wa matako ila yamefunikwa, mie nikawa nasikilizia jinsi uchovu unavotoka mwilini.

C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image004.jpg

693-06016510en_Masterfile.jpg


Akamaliza akanifunika na taulo hadi shingoni kisha akaniachama miguu ili kuwe na uwazi katikati bado nikiwa nimelalia tumbo, akafunua taulo upande wa mguu wa kushoto na kuliweka katikati ya miguu. Mguu wote ukawa wazi kuanzia kwenye paja hadi chini, tako tuu ndo lilikuwa limefunikwa. Akachukua mafuta na kuanza kunisinga oohh la laah… hapo ndo nikakumbuka nimekosea kuchagua msingaji wa kiume daah. Niseme ukweli tuu alinipandisha nyege maana alikuwa ananisinga kuanzia miguu chini anapanda kwenye mapaja kisha anaingiza mikono yake hadi chini ya matako na kurudi hadi miguuni chini. Daaah nikamwambia naomba breki kidogo akasema akisimama sitamaliza mwili wote na muda wangu ukiisha ntatakiwa kutoka ama laah nilipie tena.
masseur-makes-anticellulite-massage-young-woman-80457889

400-06690013en_Masterfile.jpg

masseur-makes-anticellulite-massage-young-woman-83293753

Nikatamani kusema nibadilishiwe msingaji aje wa kike, ila nikasema haya endelea hela yangu iende kihalali ila punguza makali kidogo maana chumbani niko mwenyewe. Basi nikamwambia apunguze mkandamizo ili usiniletee mhemko bali uchovu ndo utoke. Akamaliza na mguu wa kulia kisha akafunua taulo kujiziba uso na kuniamia nigeuke kulala kichali chali au nilalie mgongo ili anisinge na upande wa juu.
6100-06579571en_Masterfile.jpg

Nikafanya hivyo na hapa alinisinga usoni, kuanzia mapajani na kushuka chini hadi kwenye unyayo na mikono yote miwili.
600-03638841en_Masterfile.jpg

C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image005.jpg


Wakati ananisinga kwa upande wa juu mapajani alichukua kitaulo kidogo akakilowesha maji ya moto na kuniwekea shingoni kwa chini nikalalia kile kitaulo uuuh kikanipa tulizo zuri hadi nikawa nasikia damu inavochemka ndani. Kifuani na tumboni hakupasinga na hapo akawa amemaliza.
619-00525845en_Masterfile.jpg

C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image006.jpg


Saa ilipoisha akaniambia ananiacha kwa dakika 10 nijifunge taulo kisha anipeleke chumba cha mvuke wa moto. Basi nikaamka pale kitandani mwepesii nikajifunga taulo kubwa na kuvaa housecoat kuelekea chumba cha mvuke.

Huko aliniwekea nyuzi joto 42 nikakaa kwa dakika 10 kisha nikatoka kupoa kidogo. Nikiwa kwenye chumba cha mvuke, nilitoka majacho na kujisikia kama naondolewa dhambi zangu maana nilijiona uchovu wote kwisha. Basi nikaingia kuoga bafuni kisa nikavaa na kutoka mapokezi ya hiyo health club. Nika saini bili na kuelekea chumbani kwangu.

Nikafika bafuni nikaoga tena maji ya moto kwa kujisugua vizuri maana kule kwenye bafu la sauna baada ya kutoka kwenye mvuke wa moto nilioga maji ya baridi. Baada ya saa moja baadae nikala matunda na mtindi, wacha nikayaruke majoka maana uchovu wote kwisha.

Poleni kwa maelezo marefuuuu mie nashindwaga kufupisha mnisamehe bure, ila msiwaze kuwa huyu kaka wa kunisinga alifanya uhalifu kwenye mwili wa Kasie, hapana. Wafanyakazi wa hapa wamefunzwa kutii maadili ya kazi hivo pamoja na mie kupandisha mihemko wala hakuonesha dalili yoyote ya kushawishika kunanihii…..

Usiku mwema nyote, atakayeweza kusoma habaro yote awasoimulie watakaoona uvivu kusoma habaro yote, maana najua wako watakaosema habari ni ndefu na hawawezi kusoma yote….
Kasie.

680-02458010en_Masterfile.jpg

C:\Users\User\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image007.jpg


680-02458009en_Masterfile.jpg


Hii massage parlour nimeipenda itabidi niitafute… mwalimu yuko makini na kazi yake, hashawishiki hata kidgo…

Umenifurahisha na haya maneno "... nilitoka majacho na kujisikia kama naondolewa dhambi zangu ..."
 
Umenifurahisha na haya maneno "... nilitoka majacho na kujisikia kama naondolewa dhambi zangu ..."

Hahahahahahaaa unajua kuna wakati binadamu huwa anapata hisia za raha au utamu ambao huwezi kuuelezea..... sijui kama ulishawahi kukutana na hali kama hiyo.... sasa ukute mtu anataka umuelezee ulivokuwa unajiskia ndo unajikuta unatoa maneno kama hayo.
 
Hahahahahahaaa hapana, wala sio mtundu. Kasie ni mpole tuu hata haongeagi sana, yuu atabasamu tuu heheheheheheee.

Asantee.
Aah kumbe Kasie ni mpole na haongeagi kama Wegman, Kasie pia akitabasamu na kucheka anabonyea kwenye mashavu kama Wegman 🙂 🙂
 
Luse.... to some extent my brain is dull especially when I try to digest your words.....

Can you translate your intended msg into Swahili language please.

Wanasemaga kuuliza si ujinga, ujinga ni kutojua na kunyamaza bila kuuliza.

Ngoja nijaribu.

Ulikuwa unauliza maana ya "brownie points" right?

ndo nilikuwa nasema "brownie points", ni points mtu apatazo kwa kufanya jambo zuri. Pointi hizi sio halisi/real. They have no real application whatsover, ni msemo tu.

Ndo nikawa natolea mfano kuwa mtu anaweza akapata "brownie points" kwa kusaidia kazi za nyumbani, kuwa msikilizaji mzuri, kusaidia kupika chakula n.k

Ndo maana nikasema in my original post kuwa mtu akijifunza ku-give a massage, it also helps score some brownie points with the ladies.

Sijui nimeelezea vizuri au ndo nimeboronga kabisa. I hope umeelewa.
Sorry the explanation isn't fully in Kiswahili, as you would have liked.
 
Asante nashukuru, ni kuamua tuu kujipa raha maisha yenyewe haya mafupi. Nafanya kzi kwa faida yangu mwenyewe, sina hakika kama ntafika umri wa kustaafu (God knows) na kufaidi kiinua mgongo changu baada ya kustaafu. Hivyo kila nipatapo nafasi najipa raha kama mstaafu.

Wenye lugha yao wanasema its a matter of priority...
Kwa kweli maisha ni mafupi kuendekeza taabu, ukipata nafasi ya kula starehe . . , kula iliyonona . .

Kusingwa (massage) ni starehe sana . . , na ikimaliziwa na "happy ending" . . , ni utamu balaaa . .

Wabongo wengi tunajua starehe ni outing za Bar, Pub kwa pombe na nyama choma tuu . . , kumbe starehe ni pamoja na hii kusingwa . .
Mwanamke kusingwa na mwanaume ndio sawa zaidi ki saikolojia. Kama mwanamke ataona hajiamini kusingwa peke yake, anaruhusiwa kusingwa akiwa na mwenza wake au rafiki anayemwamini . .

Hata mimi ni msingaji mzuri tuu, ningekuwa huru kidogo ningefanya biashara hii niwatoe "stress" akina mama . . , hasa wa kuanzia miaka 35 kwenda juu . .
 
I wish I could be msingaji.

Hahahahahahaaa Fakalava.. ... nakukumbuka ujue..... kama sijakosea kuna mahali ulishasemaga tangu siku nyingi tuu unasubiri......
Kama hujakumbuka basi ntakuwa nimekosea....

Kwani, unajua kusinga? Ili siku nikipata wasaa nikukaribishe kwangu unisinge.... as you wish....
 
Aah kumbe Kasie ni mpole na haongeagi kama Wegman, Kasie pia akitabasamu na kucheka anabonyea kwenye mashavu kama Wegman 🙂 🙂

Hahahahahhahaaa wegman ujue unanifurahishaa heheheheheheee itabidi nimtafute huyu wegman nijue kama kweli anashabihiana na Kasie.. ..😛😛

Jumapili njema weg.
 
Ngoja nijaribu.

Ulikuwa unauliza maana ya "brownie points" right?

ndo nilikuwa nasema "brownie points", ni points mtu apatazo kwa kufanya jambo zuri. Pointi hizi sio halisi/real. They have no real application whatsover, ni msemo tu.

Ndo nikawa natolea mfano kuwa mtu anaweza akapata "brownie points" kwa kusaidia kazi za nyumbani, kuwa msikilizaji mzuri, kusaidia kupika chakula n.k

Ndo maana nikasema in my original post kuwa mtu akijifunza ku-give a massage, it also helps score some brownie points with the ladies.

Sijui nimeelezea vizuri au ndo nimeboronga kabisa. I hope umeelewa.
Sorry the explanation isn't fully in Kiswahili, as you would have liked.

Ooh luse, asante sana nimekuelewa sasa na ujumbe wako maridhawa umefika.
It's ok I gat what you meant.

Stay well!!
 
Kwa kweli maisha ni mafupi kuendekeza taabu, ukipata nafasi ya kula starehe . . , kula iliyonona . .

Kusingwa (massage) ni starehe sana . . , na ikimaliziwa na "happy ending" . . , ni utamu balaaa . .

Wabongo wengi tunajua starehe ni outing za Bar, Pub kwa pombe na nyama choma tuu . . , kumbe starehe ni pamoja na hii kusingwa . .
Mwanamke kusingwa na mwanaume ndio sawa zaidi ki saikolojia. Kama mwanamke ataona hajiamini kusingwa peke yake, anaruhusiwa kusingwa akiwa na mwenza wake au rafiki anayemwamini . .

Hata mimi ni msingaji mzuri tuu, ningekuwa huru kidogo ningefanya biashara hii niwatoe "stress" akina mama . . , hasa wa kuanzia miaka 35 kwenda juu . .

Ooh kumbe wewe ni msingaji mzuri eeh, ungekuwa na wasaa pamoja na muda wa kutosha, ungeanzisha Menyai Parlour na ukaitangaza humu JF ungepata wataka wengi tuu mradi wasingwe na wewe.

Kwenye usingaji usibague wateja, utaingiza hela hadi utapike. All the best dear, though am curious to know why your market target would've be ladies bin women aged 35 yrs and above only..... what's the secret or motive behind.. ..
 
Hahahahahhahaaa wegman ujue unanifurahishaa heheheheheheee itabidi nimtafute huyu wegman nijue kama kweli anashabihiana na Kasie.. ..😛😛

Jumapili njema weg.
Ha ha ha ha ha ha ha, ebu fanya hivyo upate kuujua ukweli kwamba sikudanganyi.

Jumapili njema pia Kasie
 
Ha ha ha ha ha ha ha, ebu fanya hivyo upate kuujua ukweli kwamba sikudanganyi.

Jumapili njema pia Kasie

Hahahaa haya wacha nipange ili siku hiyo tuonane nipate kuujua ukweli.
 
Back
Top Bottom