Massage Parlour...

Massage Parlour...

Wafikiri nimeficha hata kitu kimoja..... waalaaah nimesema yotee kama yalivotokea. Mbona huwa ikitokea nikachubwika huwa nasema.... japo sio vizuri kusema siwadolishii au kuwatia hamu laah, najikuta tuu nasimulia matukio ...
Aya mama ucjali nlikua nakutania tu
 
Hii habari ya kusingwa achana kabisaaaa....niliwahi kubambwa sehemu nikaingia Massage Parlour
Nilikuja kustuka akili zinarudi nipo kwenye gari,naangalia mfukoni sina hata shilingi mia mfukoni
Kumbe wakati ule nasingwa nilikuwa naombwa hela naelekeza tu mtu akatoe kwenye suruali...Achana kabisa na mambo ya "Happy Ending"

Hahahahhaha mkuu huu uraibu ni mbaya sana imefika mahali kila parlour ya mjini ushamaliza kuzizuru
 
Dahhhhh.....hivi Mzee Asprin kijana hakuhitimu ile course ya kusinga???
Acha kumuamsha huyo babu, ataniletea uchovu wakai mie nimeupunguza tayari kule kwenye chumba cha kusinga...

Anamsinga mkenya tuu while kwa Kasie anaachia wengine.

Weeh unataka kuvunja unyumba wa watu sio eehh... halafu uache uchokozi ntakusemea kwa nanihiii... heheheee

Inabidi kamati ya dharura ikutane kuweka mambo sawa.

Cc Daby

Kila kitu kiko sawa, shaka na hofu ondoa, Laiguu... Daby ana shughuli maalum (special project) anaendelea nayo acha kumsumbua, wakati ukuta ujue... akikasirika ujiandae kupigana nae kimasai mwenyewe heheheee
 
Izo sehemu kama unapesa ya mawazo usiende kabisa sana sana usiku

Uko sawa kabisa, na hizi sehemu sio za kwenda mara kwa mara. Shurti kuzuru ukiwa una uhitaji kweli kweli wa kusingwa na mwili umechoka unahitaji pumziko. Tena isiwe mara kwa mara, wala hutoona gharama kulipia.
 
Hii habari ya kusingwa achana kabisaaaa....niliwahi kubambwa sehemu nikaingia Massage Parlour
Nilikuja kustuka akili zinarudi nipo kwenye gari,naangalia mfukoni sina hata shilingi mia mfukoni
Kumbe wakati ule nasingwa nilikuwa naombwa hela naelekeza tu mtu akatoe kwenye suruali...Achana kabisa na mambo ya "Happy Ending"

Hhahahahhaaa poleee,
Basi hiyo massage parlour uliyoingia haikuwa na maadili mazuri hata kama wana happy ending huwa wanakwambia gharama yake kabla ya kuanza ili ujue mfuko wako unahimili au laah.

Pole mwaya, ila mwisho wa siku ulirudi kudai pesa yakoau ukarudi nyumbani kwa machungu? heheheheee wanaume ndo huwa mnarubunika kirahisi ila wanawake hadi watake wenyewe.

Ila itakuwa ulifaidi sana hadi ukatoa pesa zote hahahahaaa
 
Hhahahahhaaa poleee,
Basi hiyo massage parlour uliyoingia haikuwa na maadili mazuri hata kama wana happy ending huwa wanakwambia gharama yake kabla ya kuanza ili ujue mfuko wako unahimili au laah.

Pole mwaya, ila mwisho wa siku ulirudi kudai pesa yakoau ukarudi nyumbani kwa machungu? heheheheee wanaume ndo huwa mnarubunika kirahisi ila wanawake hadi watake wenyewe.

Ila itakuwa ulifaidi sana hadi ukatoa pesa zote hahahahaaa
Nilifaidi sana,yaani nilitoka mwepesiiii mpaka nikawa najiona kama napepea na upepo
Kumbe hii miili ni izito sbb tunabeba mawazo na mauchovu.

Tatizo kina Mama Yeyoo hamtaki kujifunza hata kwa kutumia mitandao jinsi ya kuwasinga waume zenu...Hii ni tiba nzuri sana!!Kuna wakati utataka kunywa panadol kumbe huumwi,ila ni ugonjwa

Mimi nafanya hii mara mbili kwa mwezi...Najisikia mwepesi sana siku hizi
 
Kasie, i like the flow of your post.

Thank you...

Anyways, learning how to give a massage is a nice skill to have, its pretty easy to learn the basics too. With just a little effort and people will thank you for it.

Thanks again...🙂


Helps score some brownie points with the ladies, too.

I didn't get you... what 'you mean....!!!??? if you could explain please...

Had a friend whose one of his go to move was that, as he would get the ladies back to his place, he would just offer them a massage/should or foot rub . Talking about how a day can be stressful and it would help them relax and ease the stress. And that would be the start of a slippery slope to pound town. 9/10 it works, even though its a silly move.

Hhahahahahhahaaaaaaaaa catch you.....

I know ........ but Kasie is somebody else.... she only do things when and only while she want it.... if not... you can't seduce or bribe her even if you / he is an expert in that angle....
🙂🙂🙂
 
Nilifaidi sana,yaani nilitoka mwepesiiii mpaka nikawa najiona kama napepea na upepo
Kumbe hii miili ni izito sbb tunabeba mawazo na mauchovu.

Tatizo kina Mama Yeyoo hamtaki kujifunza hata kwa kutumia mitandao jinsi ya kuwasinga waume zenu...Hii ni tiba nzuri sana!!Kuna wakati utataka kunywa panadol kumbe huumwi,ila ni ugonjwa

Mimi nafanya hii mara mbili kwa mwezi...Najisikia mwepesi sana siku hizi

Nakuelewa, ni njia nzuri sana kwa kutoa uchovu. Huwa siwaelewi wanaoenda kufakamia mipombe ili kupunguza uchovu wa kazi na mawazo halafu asubuhi yake wanaamka na mning'inio na mawazo juu zaidi ya waliyokuwa nayo jana yake... huwa siwaelewi kabisa ... Labda waje wanieleweshe hapa.

Ila hizo sehemu sio za kwenda mara kwa mara unaweza ukajitengenezea udhaifu au uteja kuwa bila massage parlour huwezi ishi. Mie huwa naenda kila nisikiapo uchovu mkali sanaaa na huwa yaweza pita hata miezi sita au tisa. Sina interval/kiwango cha/ ya kipindi maalum.

Hapo kwa kina mama yoyoo naona watakusikia, ngoja nikusaidie kuwasisitizia.

Jamani eeehhh, akina mama yoyoo na wanawake wote mlio olewa..... tangazooooooooo.....

Mjifunze jinsi ya kumsinga mumeo nyumbani ili asiwe anaenda kwenye nyumba za kusinga maana huko akipata happy ending ndo ujue wallet yote anaiacha huko. Na akinogewa basi ndo ataweka na ratiba kabisa kuwa kila baada ya miezi 2 au kila mwezi lazima arudi kusingwa.

Kazi kwenu wenye ndoa, na hii hata wanaume pia mjifunze kuwasiga wake zenu maana wakikamatwa huko kwenye nyumba za kusingwa ........ utamtoa huko na winchi hehehehehehee.

Kila la heri nyote na mfurahie wakati wenu vyema.
 
Nimeisoma hii thread kwa kuweka vituo vingi huku nimekunja nne ili kuepuka aibu kwenye basi nililopanda
 
Ingekuwa umechagua mwanadada akupe hiyo therapy story ingesisimua sana...
 
Back
Top Bottom