Massage ni hatari kwa ndoa

Massage ni hatari kwa ndoa

Kama hutaki kuibiwa kila weekend Nipe massage nitulie sasa jumapili uko busy na shoga zako what do u expect? Kule massage parlour bint ana massage mpaka tango linasimama anauliza do you need extra service? Unaongeza Pesa unapewa kitu mnatoo
 
Mwanamume anachungwa kwa MAOMBI Dada na sio kwa kumuweka kwapani kama pochi au kipimajito.... Take it from me.
Absolutely.
Kama waweza kutoa ushuhuda ungewajenga wengi. Lakini naamini hilo ni suluhisho pekee la kudumu
 
Baada ya huduma ya scrub,Dada wa salun akaniuliza utafanya massage half body, (nikamzuga...nitafanyaje massage hapa kila mtu anaingia) Nilivyomaliza kuuliza tu,mlango ukafungwa kwa kitasa haraka sana

Nikamuuliza kwa nini unafunga mlango wenzako watajua tunafanya tabia mbaya-akasema haina shida, wanajua Niko kazini
(Hapo tayari dushe lishaanza kushikwa),ndio hivyo tena,nishakuwa mteja wa kudumu na kesho naenda tena
 
Tatzo na wanawake wa siku hizi wavivu kwenye majukumu yenu hasa mkishakuwa ndani ya nyumba ndo balaa
 
Labda utembee naye kwenye pochi,wana janja janja nyingi sana,na wananyoa kila wiki hata kama hazijaota tehe tehe tehe
 
Baada ya huduma ya scrub,Dada wa salun akaniuliza utafanya massage half body, (nikamzuga...nitafanyaje massage hapa kila mtu anaingia) Nilivyomaliza kuuliza tu,mlango ukafungwa kwa kitasa haraka sana

Nikamuuliza kwa nini unafunga mlango wenzako watajua tunafanya tabia mbaya-akasema haina shida, wanajua Niko kazini
(Hapo tayari dushe lishaanza kushikwa),ndio hivyo tena,nishakuwa mteja wa kudumu na kesho naenda tena
Kaz ipo
 
Baada ya huduma ya scrub,Dada wa salun akaniuliza utafanya massage half body, (nikamzuga...nitafanyaje massage hapa kila mtu anaingia) Nilivyomaliza kuuliza tu,mlango ukafungwa kwa kitasa haraka sana

Nikamuuliza kwa nini unafunga mlango wenzako watajua tunafanya tabia mbaya-akasema haina shida, wanajua Niko kazini
(Hapo tayari dushe lishaanza kushikwa),ndio hivyo tena,nishakuwa mteja wa kudumu na kesho naenda tena

mkuu toa anwani ya hyo saloon nipe sa hv natoka mjn nipate hyo huduma ...nikifka nyumbani nimechokaaa!!! nasingizia naumwa...
 
Mie nimejifunza kunyoa, namnyoa mwenyewe staili anayotaka na massage juu. Akiamua kwenda kunyolea salon ni ruksa maana nguvu za kumchunga sina kabisa. Namuachiaga Mungu amchunge
 
Hii ni aina mpya tu ya biashara ya ukahaba kama zilivyo nyingine, wanatumia tu massage kujicamoufrage, japo sio wote.
Lkn vipi na nyinyi kwenye salon zenu kuna vile vijamaa vinavyowafanyia madicure&pedicure, usalama upo kweli?
 
Back
Top Bottom