Massage ni hatari kwa ndoa

Massage ni hatari kwa ndoa

Wanawake wenzangu hii ni week end inaanza leo kuna hizi saloon za kiume ambazo zinawahudumia wanaume kwasehemu kubwa zimekuwa majanga

Mwanaume akishaa anza kushikwa anakubali kila kitu nasikikia siku hizi wanamaliza huko huko

Serikali itusaidie kutenganisha kati ya saloon na maeneo ya massage maana kuzichanganya hizi sehemu moja imesababisha sisi wenye ndoa kuibiwa bila woga maana wakiingia ndani anahudumiwa bila woga wala wasiwasi

Wanawake week end hiyo tuchunge mizigo yetu ..
worse enough, mkishaingia chumba cha massage hadi massage yenyewe haifanyiki, mnafanya yenu mkishamaliza muda unakuwa umeenda sana yeye kwenda kuhudumia wateja wengine. nilishafanya makosa kama haya kwa mara tatu nzima. nikaamua kuhamia massage za kiswahili ambazo zina na kinyozi hapohapo, anakunyoa, anakuscrub halafu anakuomba kama aunganishe na massage chumba kipo hapohapo self contained. nilikataa massage, mdada si akaanza kubembeleza, akasema usihofu, hapa tukienda unamaliza kila kitu hapahapa, nikataka kumpima kama kweli anamaanisha, nikamwuliza, una ndom, kumbe wanazo aisee, nikamwambia mi nawai ofisini nitakufuata siku ingine, akaanza kubembeleza ati twende bwana hata dakika ishirini hazitaisha tutakuwa tumemaliza na utawahi ofisini....nilijiuliza maswali mengi sana, huo uchhi wake amewapa wateja wangapi hapa halafu mbona ananitongoza mimi mwanaume au anataka kuniambukiza ngoma, nilibadilisha sura akaona amekwamba, dah, akalalamika kweli, ati, sawa bwana, basi njoo siku ingine nikiwa off niite hata guest tu. jibu la mwisho niklimwambia mi huwa silali na malaya. nikasepa.
 
  • Thanks
Reactions: NHS
Saloon yenye Hot Massage kama hizo kwa Arusha zipo wapi?
 
Wanawake wenzangu hii ni week end inaanza leo kuna hizi saloon za kiume ambazo zinawahudumia wanaume kwasehemu kubwa zimekuwa majanga

Mwanaume akishaa anza kushikwa anakubali kila kitu nasikikia siku hizi wanamaliza huko huko

Serikali itusaidie kutenganisha kati ya saloon na maeneo ya massage maana kuzichanganya hizi sehemu moja imesababisha sisi wenye ndoa kuibiwa bila woga maana wakiingia ndani anahudumiwa bila woga wala wasiwasi

Wanawake week end hiyo tuchunge mizigo yetu ..
tulia weye, mambo ya saloon za kiume ww wayatakia nn, mbona wanaume hawaji saloon za kike?
 
Mbona sikuelewi salon za kiume halafu wakianza kushikwa wanamalizana akina nani hapo weka vizuri meaning
aisee we sijui uko dunia ya ngapi. ni salon za kiume, ila wameajiri wanawake wazuri sana kwaajili ya kuwahudumia wanaume wanokuja kunyoa. zipo zingine ambazo ni kwa therapy kabisa, na kuna professionals ambao ukiingia kama umezidiwa sana haupati mbunye labda akupige nyeto tu au blow job, ila hakubali uguse mbunye yake, hao ni professionals na wanajiheshimu. tatizo kuna hawa wanaovamia profession za watu, wanawabeba tu malaya waliozoea kufanya scrub, wanashikashika mashavu ya watu, ukiingia naye chumba cha massage, hajui massage zaidi ya kulembua macho, umlipe hela tena ndogo sana, umgonge halafu hata massage haufanyi, yaani ni kama danguro. just try to imagine, kwa siku mwanamke kama huyo analala na wanaume wangapi? pamoja na kwamba wanatembea na ndom kwenye mikoba yao na kwenye matiti.
 
Na walivyo na viiisaaa hao wadada wa massage haaaooo...utakandwakandwa hadi ikweta usipokuwa makini
ikweta wanajifanya wameshika kwa bahati mbaya, wakiona umetulia, wanashika kabisa sasa. response yako ndio inadetermine namna gani wakuheshimu au wasikuheshimu. wanakamatia chini wakiona umelainika wanakuuliza kama unahitaji msaada, ukisema ndio unampa kabisaa alafu anahifadhi hela yake ndio mnaendelea. nilikosea siku moja, usoni mzuriii, mwembaba mrefu, nilivyokuja kuingiza kwenye mbunye, hakika mbunye ile ilikuwa mbaya haina ladha na nahisi inagongwa kila siku na wanaume si chini ya watano, manake imedebweda hadi nilimwonea huruma.
 
Ebu tupatie location za hizo massage parlour zinapopatika nami nikapate huduma weekend hii
 
worse enough, mkishaingia chumba cha massage hadi massage yenyewe haifanyiki, mnafanya yenu mkishamaliza muda unakuwa umeenda sana yeye kwenda kuhudumia wateja wengine. nilishafanya makosa kama haya kwa mara tatu nzima. nikaamua kuhamia massage za kiswahili ambazo zina na kinyozi hapohapo, anakunyoa, anakuscrub halafu anakuomba kama aunganishe na massage chumba kipo hapohapo self contained. nilikataa massage, mdada si akaanza kubembeleza, akasema usihofu, hapa tukienda unamaliza kila kitu hapahapa, nikataka kumpima kama kweli anamaanisha, nikamwuliza, una ndom, kumbe wanazo aisee, nikamwambia mi nawai ofisini nitakufuata siku ingine, akaanza kubembeleza ati twende bwana hata dakika ishirini hazitaisha tutakuwa tumemaliza na utawahi ofisini....nilijiuliza maswali mengi sana, huo uchhi wake amewapa wateja wangapi hapa halafu mbona ananitongoza mimi mwanaume au anataka kuniambukiza ngoma, nilibadilisha sura akaona amekwamba, dah, akalalamika kweli, ati, sawa bwana, basi njoo siku ingine nikiwa off niite hata guest tu. jibu la mwisho niklimwambia mi huwa silali na malaya. nikasepa.
Hatari.. Na wanaume wengi hawafikirii kama wewe ulivokua na msimamo hapo mwisho
 
Kuna moja ambayo nilienda nilikuwa naskia story za huko na mimi nikasema ngoja na mim niende nikajionee yaliyomo, dah ni noma nikaona uvumilivu unanishinda nikaomba game nikaambiwa niogeze salio home nikarudi na 500 tu

Ukisha ingia kwa mara ya kwanza kuja kuacha ni mziki
 
worse enough, mkishaingia chumba cha massage hadi massage yenyewe haifanyiki, mnafanya yenu mkishamaliza muda unakuwa umeenda sana yeye kwenda kuhudumia wateja wengine. nilishafanya makosa kama haya kwa mara tatu nzima. nikaamua kuhamia massage za kiswahili ambazo zina na kinyozi hapohapo, anakunyoa, anakuscrub halafu anakuomba kama aunganishe na massage chumba kipo hapohapo self contained. nilikataa massage, mdada si akaanza kubembeleza, akasema usihofu, hapa tukienda unamaliza kila kitu hapahapa, nikataka kumpima kama kweli anamaanisha, nikamwuliza, una ndom, kumbe wanazo aisee, nikamwambia mi nawai ofisini nitakufuata siku ingine, akaanza kubembeleza ati twende bwana hata dakika ishirini hazitaisha tutakuwa tumemaliza na utawahi ofisini....nilijiuliza maswali mengi sana, huo uchhi wake amewapa wateja wangapi hapa halafu mbona ananitongoza mimi mwanaume au anataka kuniambukiza ngoma, nilibadilisha sura akaona amekwamba, dah, akalalamika kweli, ati, sawa bwana, basi njoo siku ingine nikiwa off niite hata guest tu. jibu la mwisho niklimwambia mi huwa silali na malaya. nikasepa.
Mkuu naomba location na bei zao tafadhali
 
Kuna moja ambayo nilienda nilikuwa naskia story za huko na mimi nikasema ngoja na mim niende nikajionee yaliyomo, dah ni noma nikaona uvumilivu unanishinda nikaomba game nikaambiwa niogeze salio home nikarudi na 500 tu

Ukisha ingia kwa mara ya kwanza kuja kuacha ni mziki
Tupe story za huko na sisi tukafanye uhakiki mkuu, total cost pia weka hapa
 
Kuibiwa na kutoibiwa kunategemea TABIA na HULKA za mmeo, ila ukiwa mtu wa DINI na unafuta yanayosemwa na dini yako HAKUNA SHIDA hata wakushike kuleeeeeeeee
 
Back
Top Bottom