Michango mingine inaboa KbhHa ha ha, hiyo imetoka moyoni kabisa.
Michango mingine inaboa KbhHa ha ha, hiyo imetoka moyoni kabisa.
Michango mingine inaboa Kbh
dada wa massage akiwa kama huyu lazima uachane na lem'bebeHalafu dada wa massage ndo kama huyu![]()

Hilo ni janga, na wanaume wenyewe wanapendaa serikali itusaidie kuondoa haya Madangulo ya kizunguWanawake wenzangu hii ni week end inaanza leo kuna hizi saloon za kiume ambazo zinawahudumia wanaume kwasehemu kubwa zimekuwa majanga
Mwanaume akishaa anza kushikwa anakubali kila kitu nasikikia siku hizi wanamaliza huko huko
Serikali itusaidie kutenganisha kati ya saloon na maeneo ya massage maana kuzichanganya hizi sehemu moja imesababisha sisi wenye ndoa kuibiwa bila woga maana wakiingia ndani anahudumiwa bila woga wala wasiwasi
Wanawake week end hiyo tuchunge mizigo yetu ..
Wewe wanalipa kodi waleHilo ni janga, na wanaume wenyewe wanapendaa serikali itusaidie kuondoa haya Madangulo ya kizungu
Kulipa kodi isiwe sababuWewe wanalipa kodi wale
Cute b: haka kamchezo ni zaidi ya unavyodhani...Ukweli mchungu lakini kubali tu...Mwanaume awezi asipopata hiyo huduma lazima akimbilie sinza nk...by nature wenzenu tumeumbwa hivo yaani na nyie mnaweza kutukubali na madhaifu yetu hata yawe makubwa kiasi gani...! So, kwenye mikando yaani hata beibe wako anakwenda sana ila hawezi kusema mama...Kwa hiyo kama na sisi mwanaume zetu hawajui kuturidhisha kitandani tuende tukalalwe na wanaume wengine??
Acheni ujinga
Sasa kwan Mme wako ni mtoto? OK baby sitaenda msasani massage jumapil unipe massage LadyAjKulipa kodi isiwe sababu

Hiyo kazi niachie ntaifanya kwa ufanisi, tatizo lake wabongo hampendagi bidhaa za ndani mkiulizwa sababu huwa hakunaSasa kwan Mme wako ni mtoto? OK baby sitaenda msasani massage jumapil unipe massage LadyAj![]()
Wanafanya sh ngapi?na wapi?On my way to massage saloon ...
Cute b: haka kamchezo ni zaidi ya unavyodhani...Ukweli mchungu lakini kubali tu...Mwanaume awezi asipopata hiyo huduma lazima akimbilie sinza nk...by nature wenzenu tumeumbwa hivo yaani na nyie mnaweza kutukubali na madhaifu yetu hata yawe makubwa kiasi gani...! So, kwenye mikando yaani hata beibe wako anakwenda sana ila hawezi kusema mama...
We mwanamke natamani ungekuwa mke wangu jinsi ulivobobea kuchunga mzigo ka CIA ,vizuri xn,hakuna haja ya kusaidiwa na serikali naomba JISAIDIE mwenyewe kwa kumpatia massage ilotukuka akiwa home ,ataisahau ya mtaani.
Ingia YouTube,how to do massage.Ivi hakuna mahali wanatoa kashort kozi ka how to massage maana c wote wenye utaalamu uliotukuka