Massage ni hatari kwa ndoa

Massage ni hatari kwa ndoa

Halafu dada wa massage ndo kama huyu
898451bc3663efb0682af295008cef99.jpg
dada wa massage akiwa kama huyu lazima uachane na lem'bebe
 
Wanawake wenzangu hii ni week end inaanza leo kuna hizi saloon za kiume ambazo zinawahudumia wanaume kwasehemu kubwa zimekuwa majanga

Mwanaume akishaa anza kushikwa anakubali kila kitu nasikikia siku hizi wanamaliza huko huko

Serikali itusaidie kutenganisha kati ya saloon na maeneo ya massage maana kuzichanganya hizi sehemu moja imesababisha sisi wenye ndoa kuibiwa bila woga maana wakiingia ndani anahudumiwa bila woga wala wasiwasi

Wanawake week end hiyo tuchunge mizigo yetu ..
Hilo ni janga, na wanaume wenyewe wanapendaa serikali itusaidie kuondoa haya Madangulo ya kizungu
 
nyie wenyewe mnalalamika hamfikishwi kilele cha kibo,nyie haohao mnaliakuibiwa,nyie hao hao mnasema wanaume wabahili....!!!haya
 
Iwe hatari tu ndg. Wanawake zetu hata kutuosha viuso vyetu kama wale wa saluni hawawezi.
Unajikuta unaenda saluni kwa kumic tu huduma za wale wadada huku mke unae ndani.
 
Kwa hiyo kama na sisi mwanaume zetu hawajui kuturidhisha kitandani tuende tukalalwe na wanaume wengine??
Acheni ujinga
Cute b: haka kamchezo ni zaidi ya unavyodhani...Ukweli mchungu lakini kubali tu...Mwanaume awezi asipopata hiyo huduma lazima akimbilie sinza nk...by nature wenzenu tumeumbwa hivo yaani na nyie mnaweza kutukubali na madhaifu yetu hata yawe makubwa kiasi gani...! So, kwenye mikando yaani hata beibe wako anakwenda sana ila hawezi kusema mama...
 
Sasa kwan Mme wako ni mtoto? OK baby sitaenda msasani massage jumapil unipe massage LadyAj
Hiyo kazi niachie ntaifanya kwa ufanisi, tatizo lake wabongo hampendagi bidhaa za ndani mkiulizwa sababu huwa hakuna
 
Hapa tuu ndipo ninapowadharau wanaume.
Cute b: haka kamchezo ni zaidi ya unavyodhani...Ukweli mchungu lakini kubali tu...Mwanaume awezi asipopata hiyo huduma lazima akimbilie sinza nk...by nature wenzenu tumeumbwa hivo yaani na nyie mnaweza kutukubali na madhaifu yetu hata yawe makubwa kiasi gani...! So, kwenye mikando yaani hata beibe wako anakwenda sana ila hawezi kusema mama...
 
We mwanamke natamani ungekuwa mke wangu jinsi ulivobobea kuchunga mzigo ka CIA ,vizuri xn,hakuna haja ya kusaidiwa na serikali naomba JISAIDIE mwenyewe kwa kumpatia massage ilotukuka akiwa home ,ataisahau ya mtaani.

mkuu nimekuelewaa
 
Lakina mkumbuke kuna kale kamsemo kanasema "Mwanaume bila mchepuko ni sawa na Taifa bila chama cha upinzani,na Mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na Taifa lenye kikundi cha uasi."
Japo sijui kama ni kweli,ila wadada muwe wabunifu katika ndoa zenu.
 
Back
Top Bottom