Usinichukie Baby,nataka kufanya biashara tupate pesa.
Ukieleza utoe na location mkuuBaada ya huduma ya scrub,Dada wa salun akaniuliza utafanya massage half body, (nikamzuga...nitafanyaje massage hapa kila mtu anaingia) Nilivyomaliza kuuliza tu,mlango ukafungwa kwa kitasa haraka sana
Nikamuuliza kwa nini unafunga mlango wenzako watajua tunafanya tabia mbaya-akasema haina shida, wanajua Niko kazini
(Hapo tayari dushe lishaanza kushikwa),ndio hivyo tena,nishakuwa mteja wa kudumu na kesho naenda tena
Mimi nina unamili katika Hilo,Ivi hakuna mahali wanatoa kashort kozi ka how to massage maana c wote wenye utaalamu uliotukuka
Unaona utaam ee?Ukieleza utoe na location mkuu
Sana mkuuUnaona utaam ee?
Kama wewe hujui kuifanya unawaachia wenye utaalam wao wanakusaidia na pesa unawalipaSiku nikimkuta Mume wangu anashikwa shikwa sijui ndio massage atajuta ..
Nyambafff starehe za kijinga.
Mpaka hapo ulishachitiNaomba Mungu anisaidie nisije kucheat mke wangu majaribu ni mengi sana.
aisee we ulienda massage za manzese, huko utapata ukurutu mkuu. chumba cha kunyolea na cha massage ni icho icho, sasa kuna kitanda kweli hapo? ukisogea hata sinza tu, utakuta kuna chumba spesho, ukiingia kule ni self-contained kuna bafu hadi choo huko huko na mlango unafungwa mnakuwa wawili tu. unaweza kuoga na kufanya chochote. bei yake sasa, duh....Baada ya huduma ya scrub,Dada wa salun akaniuliza utafanya massage half body, (nikamzuga...nitafanyaje massage hapa kila mtu anaingia) Nilivyomaliza kuuliza tu,mlango ukafungwa kwa kitasa haraka sana
Nikamuuliza kwa nini unafunga mlango wenzako watajua tunafanya tabia mbaya-akasema haina shida, wanajua Niko kazini
(Hapo tayari dushe lishaanza kushikwa),ndio hivyo tena,nishakuwa mteja wa kudumu na kesho naenda tena
siwezi kukubali kahaba aninyoe vuziz, na hakika nimekoma, wengi wana ukimwi sana na wamejizira, usiwaone vile, wapo kusambaza na hawana hata huruma. we mtu akianza kukushika shavu tu wakati wa scrub tayari anafanya kwa nia ya kukulainisha ili ufanye naye, amefanya na wangapi? tena everyday.....wengi wa hao wa salon za uchochoroni walikuwa mahakaba barabarani na mabar medi. wamechoka kabisa na wako tayari hata kufa, hawajali maisha ya mtu washajisusa.Mi nachukiaga huku nikisikia utamu sasa sijui ni nini??? Mi huwa napenda ninyoe na nioshe kichwa tu basi, ila sasa anavyoniosha na kuingiza vidole kwenye masikiooooooo! hatareeee
Ingia youtube search "body massage" ujionee wanavyofanya,utapata training huko. Nenda duka la cosmetics ulizia olive oil for massaging utapata kamfanyie mumeo.We nielekeze tu chuo maana vyuo siku hizi ni vingi so naweza bahatisha kinachotoa hiyo kozi
Umenielewa vingine mkuu. Nachosema ni kuwa kuna zile saloon za unanyolewa Kichwa chenye ubongo sio kile cha nyama tu halafu unaenda kuosha ili usitembee na amnywele mtaani.siwezi kukubali kahaba aninyoe vuziz, na hakika nimekoma, wengi wana ukimwi sana na wamejizira, usiwaone vile, wapo kusambaza na hawana hata huruma. we mtu akianza kukushika shavu tu wakati wa scrub tayari anafanya kwa nia ya kukulainisha ili ufanye naye, amefanya na wangapi? tena everyday.....wengi wa hao wa salon za uchochoroni walikuwa mahakaba barabarani na mabar medi. wamechoka kabisa na wako tayari hata kufa, hawajali maisha ya mtu washajisusa.
Wewe acha tu, inabidi unisahaulishe kabisa hizi mamboKaz ipo
Mkuu umesoma na kuelewa nilichoandika?aisee we ulienda massage za manzese, huko utapata ukurutu mkuu. chumba cha kunyolea na cha massage ni icho icho, sasa kuna kitanda kweli hapo? ukisogea hata sinza tu, utakuta kuna chumba spesho, ukiingia kule ni self-contained kuna bafu hadi choo huko huko na mlango unafungwa mnakuwa wawili tu. unaweza kuoga na kufanya chochote. bei yake sasa, duh....