Massage ni hatari kwa ndoa

Massage ni hatari kwa ndoa

Mamii,usinifikirie vibaya,nina nia nzuri na nina ujuzi nilisomea Thailand holistic massage,so usifikiri ukija PM unakuja kutongozwa,ila kumbuka kuna fee utalipia kidogo ili nikurushie materials.
ka fees kidgo ili arushiwe materials
 
Mimi mke wangu akiniudhi tu sikuhizi namuaga naenda salon kunyoa
 
Siku nikimkuta Mume wangu anashikwa shikwa sijui ndio massage atajuta ..
Nyambafff starehe za kijinga.
Toba! Sijui wife naye anawaza hivi!!? Siendi ng"o!! Kupamba gazeti la shigongo na uzee huu nani anataka!!
Harafu ndo unakurupushwa ndani ya Boksa sasa, mbio mitaan!
Wapenda sifa nao.... "Nikiripoti kutoka massage parlour, Mimi ni Sam Mahela wa.... " mmh! Inatisha!!
 
Wakina dada msilalame sana baada ya kusikia kilio chenu nipo njiani kuwaletea na nyie Vassage
 
Siku nikimkuta Mume wangu anashikwa shikwa sijui ndio massage atajuta ..
Nyambafff starehe za kijinga.
Kama we umshikishiki na kumpa hizo Massage lazima atafute mahali ambapo atashikwashikwa na kuondoa uchovu wa wiki nzima
 
Wanamikono laini wale madada wa sallon sijapata ona yani anakuchokonoa sikio kwa kidole huku titi zikiwa usawa wa sura yako huku wakiongea kwa kudeka...uzuri siku hizi wengine wana hadi business card
hadi business card? hao balaa aisee
 
duh hata hii seikali....hii niishu binafsiacha watu wawekeze kiuchumi na saloon zao zenye huduma muruaaa
 
Halafu dada wa massage ndo kama huyu
898451bc3663efb0682af295008cef99.jpg
hapa ukiambiwa hata kunyoa laki utatoa si mchezo
 
Kama we umshikishiki na kumpa hizo Massage lazima atafute mahali ambapo atashikwashikwa na kuondoa uchovu wa wiki nzima
Kwa hiyo kama na sisi mwanaume zetu hawajui kuturidhisha kitandani tuende tukalalwe na wanaume wengine??
Acheni ujinga
 
Izo tatuu zenu zilizokaa kwenye makalio na wengine kwenye K mnachorwa na akina nani?
 
Back
Top Bottom