affinitytz
JF-Expert Member
- Feb 10, 2020
- 207
- 985
Nimekuwa nikifuatilia sana Katuni za ndugu Masoud Kipanya hasa katika ukurasa wake wa Twitter na nimegundua ana uwezo mkubwa sana wa kuwasilisha fikra pana za kisiasa na kijamii katika katuni.
Masoud anao ujumbe kwa wanajamii na wanasiasa.
Masoud anao ujumbe kwa wanajamii na wanasiasa.