Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

.
Hata mhariri aliyepitisha katuni hii ana kesi ya kujibu.
Ingechapwa katika gazeti la udaku ningeelewa.
Lakini Mwananchi?
Mhariri umetia kinyaa wateja wako.
Mimi nashangaa kama mhariri anaruhusu kitu chenye ukakasi hv kuingia mtaani
 
Kwani "Umoja wa Kumpongeza Magufuli" ni matusi? Hata kifupi chake U.K.M hakiwezi kuwa matusi.
Nahisi mtoa mada ndiye anataka kuleleleza matusi humu ndani.
 
Sikia ata kama fikra ni mgando lakin hiyo katuni haileti maana nzuri ata ikiwa ni UKM hilo wazo ni la baadae sana
1472125538330.jpg
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.

Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Ebu kwanza toa tafsiri yake kifupi kama Wenzio walivyofupisha Umoja wa kupambana na Udikteta Tanzania(UKUTA), kisha tuendelee.
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.

Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.


Hiyo ni tafsiri ya akili yako mbovu mbovu tu!
 
Hivi Chama Cha Mapinduzi kifupi chake ni lazima kiwe CCMA?
 
Iko poa tu. Tuache tafsiri asiokusudia yeye. Hivi umeona yale masanamu ya Trump ? Ndo siasa ukiingia huko stahamili tu. Mbona mkwere alimeza tu
 
Nahisi mtoa mada ndiye anataka kuleleleza matusi humu ndani.
Una watoto hapo nyumbani wa darasa la tano wape wafupishe hyo katuni. Ninachotaka ujue ni kwamba hiyo katuni haijakaa vizuri kama ww unavyoenda direct kusema UKM
 
Iko poa tu. Tuache tafsiri asiokusudia yeye. Hivi umeona yale masanamu ya Trump ? Ndo siasa ukiingia huko stahamili tu. Mbona mkwere alimeza tu
Kama ni hvo uko sahihi lakini sio kwa tamuduni zetu haswa TANZANIA
 
Wewe ndo wasema, Masudi hajasema, sasa kama wewe umeona tusi, basi utuambie Kuwa ni tusi. UVCCM walisema maandamano yao ni ya umoja wa kumpongeza Magufuli.... Kipanya kahoji, kwann maneno yote hayo kusiwepo kifupisho? Wewe ndo unatuletea jibu na kutuambia Kuwa ni tusi.. Kipanya hajui ujuavyo wewe....
Kumbe hajui basi mfikishie ujumbe katuni yake inaukakasi sana
 
Mkuu....
Ebu naomba unitafsirie maana halisi ya katuni hii, alafu uniambie nini kosa la Kipanya.
Maana tayari nimeshaanza mambo yangu yaleee.... , na nikianza kulewa hua nakua mgumu sana wa kuelewa
shida ni Malcolm akitumia hiko kifupi atakacho kipata kwa kufupisha sentensi ya babae.
 
Back
Top Bottom