kwanini watu hawaoni kuwa ni (U.K.M) kama ilivyo 'c.u.f' au 'c.c.m' au 'u.w.t' nkAcha kukurupuka wewe.Hakuna tusi hapo.
Hongera sana Komredi Masudi.
rudi darasani dogoMasoud Kipanya anavuka mipaka toka muda hadi ana kera kabisa halafu kuna mtu anakuja hapa kusema nchi hii ina udikteta..
Huyu Mjinga Masoud ana kera sana na amepitiliza...
Hii ni onyo maanake ni msiwe mnakurupuka mtapata sifa mbaya .hakuna ubaya hapo.View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.
Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
wadau hatuna shida..
Hata mhariri aliyepitisha katuni hii ana kesi ya kujibu.
Ingechapwa katika gazeti la udaku ningeelewa.
Lakini Mwananchi?
Mhariri umetia kinyaa wateja wako.
Hili ni onyo msiwe mnakurupukaHapo analeta mambo ya vijiweni sio kazi hiyo
Kama hujaona tatizo hapo mkuu, angalia kifupi cha hayo manenoKuna shida gani kwenye hiyo katuni? Au umeguswa kwa lipi?
Una dalili zote za mtu anaetaka nimkaze.We ndiyo mpuuzi, yeye kaandika kwa uhuru. Usifupishe maneno hayo kwa jinsi akili yako inavyotaka. Mi kwangu ni UKM, UMOKMA, UKUM, UKUSM, UKUSMA, UMOSM, UMOSUM, UKUSUPMA, N.K. sasa we fikiria ki""K"" hivo hivo. Hata akili ndogo ya kindergarten huna. Kiwango cha usanii cha KP ni cha PHD.
UKM.Kama hujaona tatizo hapo mkuu, angalia kifupi cha hayo maneno
Unaakili ndogo sanaView attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.
Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.