Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

Wewe huoni shida au umetumwa
Nitumwe na nani? Mi baba, labda we kama bado mtoto ndo unatumwa. Fafanua hili ueleweke, unajua watu kumi wanaweza kuangalia kitu kimoja lakini wakatoka na majibu tofauti. Kuna uwezekano ulivyoangalia umetafsiri tofauti na mimi ninavyotafsiri.
Punguza jazma, jadili kilichoko mezani ili ueleweke!
Kauliza swali "Maandamano ya UVCCM hayana kifupi chake?"
Tafsiri ya swali hili yaweza kuwa kama ifuatavyo:-
a) "Maandamano ya Umoja wa Vichaa wa Chama Cha Majambazi hayana kifupi chake?"
b) "Maandamano ya Umuhimu wa Vyama vya Chakula Cha Mifugo hayana kifupi chake?"
c) "Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chukua Chako Mmapema hayana kifupi chake?"
d) "Maandamano ya Umoja wa Vijana Chama Cha Mmafisadi hayana kifupi chake?"
Huu ni mfano tu wa namna watu tofauti wanavyoweza kutofautiana kwenye kuielewa sentensi moja. Na kuna uwezekano hapo kwenye a - d hakuna tafsiri sahihi. Kazi yako kama umeguswa ni kutuletea ufafanuzi sahihi wa kile kilicholetwa na Bwana Kipanya.
 
Maana ya neno huwa inatolewa na jinsi mtu anavyotafsiri jambo. Sasa mtoa mada hebu tupe ufupisho wako tuuone wala usimlishe maneno Kipanya wa watu.
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Maandamano ya kumpongeza Magufuli kifupi chake kinaweza kuwa UKM au UKURA - Umoja wa kumpongeza rais
 
Masoud Kipanya anavuka mipaka toka muda hadi ana kera kabisa halafu kuna mtu anakuja hapa kusema nchi hii ina udikteta..

Huyu Mjinga Masoud ana kera sana na amepitiliza...
anayevuka mipaka ni yule anayevunja katiba mbona hamumshambulii!!! kweli nyie ni maji ndo yamejaa kichwai mwenu mnadhani rais ataabudiwa ng'ooo katiba tu yakuheshimiwa kwanza Mwl. Nyerere alishasema kiongozi anayejaribu kuongoza kwa fikira zake bila kufuata katiba huyo hatufai kabisa;
 
Unatumia vigezo kufupisha kuwa ukuma na sio ukm? Fikra zako ni mgando sana
Sikia ata kama lakin hiyo katuni haileti maana nzuri ata ikiwa ni UKM hilo wazo ni la baadae sana
 
Haaaaaah akiambiwa mbowe mnakenua meno
Akiambiwa lema mnakenua meno
Kumtukana lissu nipoa
Kikwete tulimwambia ukweli ikawa sawa tuuu
Kwanini tumuogope ana nini cha ziada nguvu gani yuko nayo mtukufu kuliko kikwete??
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Wewe ndo wasema, Masudi hajasema, sasa kama wewe umeona tusi, basi utuambie Kuwa ni tusi. UVCCM walisema maandamano yao ni ya umoja wa kumpongeza Magufuli.... Kipanya kahoji, kwann maneno yote hayo kusiwepo kifupisho? Wewe ndo unatuletea jibu na kutuambia Kuwa ni tusi.. Kipanya hajui ujuavyo wewe....
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.

Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Wewe ndio unalerta tafsiri ambayo haipo. Kwani Masoud kosa lake lipi hapo? Kimtokacho mtu ndicho alichojaza kichwani.
 
Kwani "Umoja wa Kumpongeza Magufuli" ni matusi? Hata kifupi chake U.K.M hakiwezi kuwa matusi.
 
Back
Top Bottom