Unawaza kwa kutumia nini?Weka tafsiri yako bas nzuri
Tumia akili za ziada,katuni ni fumbo unavyodhani au fikiria wewe ni tofauti na mwingine,wewe ndo JIPU,ukitaka kujua wewe ni jipu shauri serikali iende mahakamani ,mtauza jengo la Lumumba,makao makuu ,mapya ya CCM dodoma na redio uhuru na bado pesa za fidia hazitatosha,Kwa nini mnakuwa na akili mgando hivyo,yaan furaha yenu Rais atukuzwe basi mtafutieni nchi yake ya kusadikika,Ila hapa duniani lazima akosolewe,huwezi pendwa na watu wote,kama Yesu hakupendwa na watu wote na alikosolewa sembuse mwanadamu kama JPM,KWELI AKILI ZAKO CHANGANYA NA ZA MBAYUWAYU..................................View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Masoud Kipanya anavuka mipaka toka muda hadi ana kera kabisa halafu kuna mtu anakuja hapa kusema nchi hii ina udikteta..View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Kwahiyo umekubali fasihi ya tusi ya katuniExactly!
Nadhani hiyo ndiyo kazi ya Fasihi.Kumulika kila aina ya kinachoendelea katika jamii yake wakati wote.Hujawahi kusoma kitabu halafu ukakutana na matusi ya nguoni mule??
Basi ukikutana na Matusi,ujue muandishi kaimulika jamii yake kiusahihi kwakuwa hata hayo matusi aliyoyaandika yanasemwa kila kukicha.
Binafsi nadhani,Wewe "Njaga Tz" ndiye unapaswa kuchukuliwa hatua kwa kumleta Masoud Kipanya humu,Otherwise una lako jambo.
Kwao ni wapi?Ngoja wanyooshwe kwanza mpaka mwakani watajua tu njia za kuelekea kwao ziko wapi
hahahahhahah...kosa lake ni nini hapo?Masoud Kipanya anavuka mipaka toka muda hadi ana kera kabisa halafu kuna mtu anakuja hapa kusema nchi hii ina udikteta..
Huyu Mjinga Masoud ana kera sana na amepitiliza...
Umoja wa Kuchart MaraView attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Mkuu tafwadhari usifananishe kiazi na vitu vya kipumbavu,manufaa na faida za kiazi huwezi fananisha na huyo lofaBila shaka mleta mada ni kiazi....
Mkuu....Kabla sijaingia jf time hii kuna mtu kanionyesha hiyo katuni na tafsiri yake, hats kama Masoud hakuwa na maana hiyo hii kitu haijatulia.
, na nikianza kulewa hua nakua mgumu sana wa kuelewaHahahahaMkuu tafwadhari usifananishe kiazi na vitu vya kipumbavu,manufaa na faida za kiazi huwezi fananisha na huyo lofa