Una hasira sana mzee angalia mbele usijikwae, haya mambo hayataki hasira.Yeye mbona aewalisha maneno UVCCM?Ni wapi UVCCM walisema maandamano yao yataitwa kwa neno hilo?wale wengine wanaongea kwa vinywa vyao kwamba neno ni UKUTA.
Mkuu acha kutetea mambo ya hovyo hovyo,wachora katuni mahiri huzingatia kuelimisha na kuburudisha bila kuleta confussion na unnecessary misunderstanding,kwa yeyote mwenye akili timamu hapa jina la mheshimiwa Rais limedhalilishwa na ndio sababu watu wanakosoa,nae kama ni muungwana na mwenye kujitambua ni vyema aombe radhi kwa hilo.
ujumbe mmeupata?Masoud Kipanya anavuka mipaka toka muda hadi ana kera kabisa halafu kuna mtu anakuja hapa kusema nchi hii ina udikteta..
Huyu Mjinga Masoud ana kera sana na amepitiliza...
Sidhani kama umemuelewa vizuri kipanya hapo,hajajibu swali aliloulizwa,hila wewe ndy umetafuta jibu!View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.
Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Confusion umeitengeneza mwenyewe.Yeye mbona aewalisha maneno UVCCM?Ni wapi UVCCM walisema maandamano yao yataitwa kwa neno hilo?wale wengine wanaongea kwa vinywa vyao kwamba neno ni UKUTA.
Mkuu acha kutetea mambo ya hovyo hovyo,wachora katuni mahiri huzingatia kuelimisha na kuburudisha bila kuleta confussion na unnecessary misunderstanding,kwa yeyote mwenye akili timamu hapa jina la mheshimiwa Rais limedhalilishwa na ndio sababu watu wanakosoa,nae kama ni muungwana na mwenye kujitambua ni vyema aombe radhi kwa hilo.
Si muifupishe tu kwan kuna tabu gani hapo? Kama hukudhamiria kutukana basi utakua hujafanya kosa.... lakini akipewa discipline kuna wapuuzi watasema demokrasia inavunjwa ... Hii nchi acha tupelekane kibabe walimchezea sana JK.
Acha kujipendekeza au na wewe unataka u DC [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wewe huoni shida au umetumwa
Lets thinks outside the box usiongelee ushabiki...Inategemea na akili ya msomaji inawaza nini muda huo....
Na hii utasemaje? si utalia kabisa..Hapo analeta mambo ya vijiweni sio kazi hiyo
Niko makini mkuuUna hasira sana mzee angalia mbele usijikwae, haya mambo hayataki hasira.
Ya Umoja wa Kumpongeza Magufuli , perceptionKufanyaje mbona hatukuelewi mleta uzi ?! Au unamlisha maneno