Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Unaijua kazi nyingine ya KIPANYA wewe?
Kwahyo nyie ata kama mnafanya mnaletaWaacheni watu na vyombo vya habari vifanye kazi na kutoa
maoni yao. Hivi munaona kila linalofanywa na CCM pekee ndio sawa tu? Au kwa vile dola iko mikononi mwenu?
kama sio tusi nieleweshe alikuwa analenga nini maana ww inaonesha unaielewa vizuriTusi liko wapi hapo,we ulieleta huu uzi ni lofa wa kiwango cha lami,na nikupe tahadhari tu kua makonda anawasaka nyie wote mnaojamiiwa na wanaume wenzenu.
Huyu mleta uzi naona kama anataka tuamini taswira ya kile alicho kibaini baada ya kuisoma katuni ya Kipanya.Kufanyaje mbona hatukuelewi mleta uzi ?! Au unamlisha maneno

Mtu yoyote kwenye creative industry kazi yao ni kumulika what going on kwenye jamii na pia kumake you feel an emotion ukiangalia/sikiliza au soma their work. Haijalishi wether that emotion is fear, anger, sadness, happiness etc As long as they have made you feel something, then they have succeeded in doing their job.Exactly!
Nadhani hiyo ndiyo kazi ya Fasihi.Kumulika kila aina ya kinachoendelea katika jamii yake wakati wote.Hujawahi kusoma kitabu halafu ukakutana na matusi ya nguoni mule??
Basi ukikutana na Matusi,ujue muandishi kaimulika jamii yake kiusahihi kwakuwa hata hayo matusi aliyoyaandika yanasemwa kila kukicha.
Binafsi nadhani,Wewe "Njaga Tz" ndiye unapaswa kuchukuliwa hatua kwa kumleta Masoud Kipanya humu,Otherwise una lako jambo.
Inabidi utuambie ni ipi mipaka ya uhuru wamaoni??View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
hawa ndio wanaleta mantiki za kwao!Unatumia vigezo kufupisha kuwa ukuma na sio ukm? Fikra zako ni mgando sana
hiyo ni tafsiri yako ulivyosoma. mimi sijatafrisi kama weweView attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Sasa wewe unatokwa na povu jingiiii!!! walisema wanaandama kumpongeza si ndo nyie haohao uvciciyenu au inajitoa ufahamu; hicho ndo kifupi chake; mtapasuka matumbo tu safari hii,Hapo analeta mambo ya vijiweni sio kazi hiyo
.View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Uvccm walisema watafanya maandamano ya kumpongeza magufuli, tatizo liko wapiKwahyo nyie ata kama mnafanya mnaleta
kama sio tusi nieleweshe alikuwa analenga nini maana ww inaonesha unaielewa vizuri
Umemaliza mkuu.Mkuu achaa kujipendekeza. Kipanya anaweka taswila ya uhalisi wa mazungumzo mitaani. Kwani wewe ukiwa miitaani unapomwongelea Raisi unasema Mheshimiwa Magufuli au hata Raisi Magufuli? Si huwa tunasema tu Magufuli au hata Magu? Ni sawa na kudhani kwamba ukiwa nyumbani mnaitana na mkeo mke wangu au mume wangu kama kwenye michezo ya kuigiza.
Bandido2 hiyo bendera uliyojigubika ni taswira ya bendera ya nchi gani?Kipanya aandike Umoja wa Kumpongeza Magufuli... hafu ww ufupishe hafu umrushie mawe kipanya.... how comes?
Hahaahaaaa....sasa kwani hilo ni tusi au kifupi.. halafui hakuna kiungo chenye jina hilo labda kama umefananisha na uke
