Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

.
Hata mhariri aliyepitisha katuni hii ana kesi ya kujibu.
Ingechapwa katika gazeti la udaku ningeelewa.
Lakini Mwananchi?
Mhariri umetia kinyaa wateja wako.
ni kinyaa kwenu miungu watu, haitawezekana kamwe kutawaliwa kwa fikira za mtu, Nyerere alituasa kumkataa kiongozi wa aina hiyo, natutamkataa kweli kweli,
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.

Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.

Wewe una matatizo ndugu,yaani unalazimidha sisi tufikiri kama wewe ulivyo fikiri,tutafakari kama wewe ulivyotafakari.Una mapumgufu mengi sana kijana.Punguza mihemko kijana.Hiyo hata uende mahakama gani hawezi fungwa ana hundred reasons za kujitetea na akashinda.Usipende kufuata ubongo unvyokupeleka kila mara .Pole sana
...... Free ideas....
 
Akili kweli tunatofautiana! Mfikisha mada inabidi tukuchunguze wewe kwa kuweka maana unazozifikiria akili mwako!
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.

Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Sasa kwani Kipanya kakosea nini? Hayo maUVCCM wakati yanayapa jina maandamano yao hayakufikiri? Kipanya amesaidia tu kutonesha ukilazer wao!
 
Anaefupisha ndie anaetukana ingawa kiuhalisia masudi ana million saba za mchezo ngoja tumpe siku utasikia tu
 
Yan saivi hata tukimwita Magufuli kwa jina lake 'POMBE' tutaambiwa tunamtusi!
 
Anafanya kazi yake inavotakiwa, it maybe be provocative ila hakuna haja ya kuanza kumfungia
Nampenda sana Kipanya, na ni shabiki wake mkubwa.
Ila hiki kifupisho kina ukakasi, hakitamkiki mbele ya wazazi au watoto.
Swala sio 'rais' wala 'uhuru wa wanahabari' bali ni 'maadili ya ustaarabu na uungwana'.
Hata Kipanya mwenyewe hawezi kutamka hicho kifupi kwa nguvu hadharani.
Hapa ameteleza.
 
Hakuna abbreviation hapo wenye mawazo hayo mmezoea matusi na kukuza mambo. Katuni ni mjadala, wengine wameona UKUM.
Kimaadili hicho kifupi kina ukakasi, ukizingatia Ukuta unatumia silabi.
 
Kiko wapi hicho kifupi ambacho wewe umekiona? Mbona tunapenda kutafsiri vitu hovyo hovyo?
Ha ha ha...
Sina maadili pungufu ya kuweza kutamka hadharani.
Watukana wazee tu ndo wanaujasiri huo.
 
Back
Top Bottom