barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Cha ajabu ni yeye na bavicha kuamini kuwa jpm ni dikteta, dikteta hakupi airtime ya vitu kama hivi!!View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.
Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.