Ni og kabisa ni kama muuza karanga mkulima anaetoa shambani na ww unaenunua uuze upate faida hapo kwenye ushindani wa bei lazima ugaragazweNadhani mchina anauza mayai bandia
Wabongo tunaweka bei zisizo halisi. Siku hizi hoteli haina hadi soda bei Tsh 5,000, bia Tsh 10,000 ?
Hawezi kufa sema itabidi auze bei rafiki ili nae apate watejaHapo mmoja lazima afe😄. Hiyo vita isikie kwa watu aisee inavuruga ubongo acha kabisa
Tena mbaya mno. Hapo huyo black Moja haikai mbili haikai. Akitoka hapo anaingia kwenye vikao vya Siri kuona namna ya kumdhibitiAisee 😀 hii vita ni kubwa mno
Hiyo bei rafiki hawezi kuendana nayo. 11 elfu kwa elfu 6 ni parefu mnoHawezi kufa sema itabidi auze bei rafiki ili nae apate wateja
Wachumi wanakisia kuwa, wachina huwa wana tabia ya kuua ushindani kupitia bei rahisi Ila pale wanapoliteka soko na kuwa "monopolies", huwa wanaongeza bei hata mara mbili ya bei ambayo wazawa walikuwa wanauzia mwanzoni.Kwani na nyie mmekatazwa kufanya hiyo biashara
Ova
Exactly 💯 na hapo wanaenda kuandamana mda si mrefuTena mbaya mno. Hapo huyo black Moja haikai mbili haikai. Akitoka hapo anaingia kwenye vikao vya Siri kuona namna ya kumdhibiti
Mbongo anataka faida kubwaKwani na nyie mmekatazwa kufanya hiyo biashara
Ova
Hapo ni umafia utatumika, mshindi ndio ataendelea na gameExactly 💯 na hapo wanaenda kuandamana mda si mrefu
Naunga mkono hoja 🤣 😁Hapo ni umafia utatumika, mshindi ndio ataendelea na game
Mitaji yetu ni midogo so tunatafuta faida kubwa ili kukuza mitaji. Yule mwenye mtaji yeye anatafuta faida ndogo ndogo yenye mzunguko mkubwa kuongeza kipato. So huwezi shindana na mwenye mtaji mkubwa anaetafuta faida huku ww unamtaji mdogo unatafuta mtajiMbongo anataka faida kubwa