Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,095
- 24,323
Siku moja nikasogea kwenye hii chagua chagua pale Buguruni sokoni bus stand pale, Kwa Mnyamani. Kwa kweli viatu vilivyokuwa vimemwagwa pale siyo viatu ile ni uchafu!!
They never worthed kupanda Meli visafiri umbali wote ule na vishughulishe watu wetu kuwa eti wako kwenye biashara!
Mamlaka zina haja ya kuweka some minimum limitations kwenye what do we allow to be imported as used products.
Kuna viatu vinaitwa mafua, yani ni serembua, vinauzwa elfu mbili tu na machinga wannunua na kuviwekea gundi na kuuza elfu 20 maeneo ya vyuo na kwenye baa usiku ili mteja asione sehemu zilizofanyiwa marekebisho.
tuna kiwanda cha BORA BORA, BATA BATA, MAGEREZA , WOSO ORIGINAL PRODUCTS, WALKAROO na vyengine kibao lakini tunaletewa makombo ambayo infact ni dampo na si kwamba wanatuletea ili kuvaa.
Sijagusia chupi za kike na chupi za kiume!
They never worthed kupanda Meli visafiri umbali wote ule na vishughulishe watu wetu kuwa eti wako kwenye biashara!
Mamlaka zina haja ya kuweka some minimum limitations kwenye what do we allow to be imported as used products.
Kuna viatu vinaitwa mafua, yani ni serembua, vinauzwa elfu mbili tu na machinga wannunua na kuviwekea gundi na kuuza elfu 20 maeneo ya vyuo na kwenye baa usiku ili mteja asione sehemu zilizofanyiwa marekebisho.
tuna kiwanda cha BORA BORA, BATA BATA, MAGEREZA , WOSO ORIGINAL PRODUCTS, WALKAROO na vyengine kibao lakini tunaletewa makombo ambayo infact ni dampo na si kwamba wanatuletea ili kuvaa.
Sijagusia chupi za kike na chupi za kiume!